LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Huu ni uongo mkuu
Wewe na watu wengi mnaopenda kujadili mambo mkiwa na upande.

Taarifa yoyote ambayo hujaishuhudia kwa Macho ni ukweli, hakuna Taarifa ambayo ni uwongo kama huwezi ukaonesha ukweli wake basi Kuna hatihati ya kupunguza IQ yako.

Russia wakionesha wameteka watu wewe kubali, Ukraine wakisema wameua watu wangapi wewe Kubali cause we can't independently verify the claims.

Vita sio tu mabomu na Idadi ya Askari, pia vita Ina vitu kama information Wars, hizi zinaweza kuwa hatari kuliko hata hizo risasi.

Imagine Askari wa Russia aliyejiandaa miezi 6 kuivamia Ukraine alafu akaambiwa tutashinda vita ndani ya siku 3 alafu aone Askari wenzake wanavokufa, atajisikiaje?

Imagine Askari wa Russia anaona vibibi vizee vya Ukraine vinashika bunduki atajisikiaje?

Imagine wewe uko Kharkiv na unasikia wenzako waliokuwa wanaenda Kiev wametawanyika na wanashambuliwa?

Vita ni zaidi ya mabomu na Risasi pokea Taarifa zote Bila kuchagua upande
 
Na hata hyo GDP yenyewe sizan kama inafahamika kwa wengi... Au inaeleweka katika uhalisia wake au kimazoea.

Sasa na hyo HDI uloongeza ndo kaaabisa baadhi tutapoteana...

Nilichokiona binafs asilimia kubwa tuko low hasa kwenye wingi wa details za mambo tofauti tofauti katika uchumi siasa na mengineyo kiasi kwamba tunakuwa wepesi sana kuwa manipulated kwa kila jambo linalokuja mbele etu..

Msemo wa zaman ile mtu anasema uko "shallow"... Kias kwamba kwasabab hamna taarifa rejeshi kichwani au zilizopp sio sahihi bas kwa kila taarifa ni kupoteana tu.

Hisia ndo zinabaki zinatawala uwezo wa kufikiri.
 
Umetoa mfano mzuri sana kwa upuuzi unaofanywa na pande zote.

Dunia inaenda kubaya sana, kosa la mtu mmoja wanaadhibiwa watu wengine kabisa.
Mambo yakienda hivi dunia itaingia kwenye vita mbaya sana.

Hungary President he has spoken the truth in details.
 
Wote waapuuzi tu, fateni Qur'an, ina mfumo wote wa Maisha. Hakuna situation ambayo haina sharia yake.

Baba akiwa hai, mali yake haikuhusu wewe mtoto, si yako. Ana haki ya kumpa yeyote amtazamie awe mwanawe asiwe mwanawe.
Naam Ila FaizaFoxy apo sijatolea mfano wa kumuita mjomba kimaana ya familia...

Nimetumia mjomba na Baba kama Viongozi.... Familia ndo kama Nchi husika... Na watoto ndo kama Wananchi au Raia wa Kawaida...

Ko rejelea tena utupe mawazo yako....
 
Usilete siasa kwenye uchumi. Haya twende kwenye vita pale Ukraine tubishane.
Naam uko sahihi... Wala ata uko kwenye vita sibishani mie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] apo nimefanya kukamilisha ulichokizungumzia...

Kwe huu uzi wengi wana Mahabba y pande walizoshika... Ajab mahabba siku zote huwa yanafinya uwezo wa kufkiri...

So utaona mtu anazungumza jambo af unaliangaliaaaaaa... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kisha unasema "Daaaah haya bn"
 
Sitaki kukogambanisha itikadi zetu za imani kwa sababu mungu aliumba usiku na mchana na dini tofauti ili wote wamfahamu kupitia njia tofauti zinazofaa.

Asilimia kubwa na mwemuko mkubwa inaonyesha ushabiki mkubwa wa kufurahi au wengine kukaa kimya si tu bali uowaga au nini !

swala limekuwa ushabiki wa udini kushangilia kwa kuvamiwa urusi kisa kuna mataifa mengine yalisha vamiwa kwa sababu imani yao ikuangaliwa dunia nzima wala kukemewa ulimwenguni.

Ushabiki huu unataka kuona muhasimu wake naye afanyiwe .

kama mnabisha nyie chunguzeni tu
 
Wewe mwenyewe umechagua upande
 
Bora uendelee kuandika kwa unafiki, maana watu wanakufa pale Ukraine, wakubwa wanapambana kwenye ardhi ya wenzao, yaliyo Syria ndio yanatokea Ukraine. Mimi na wewe tupo nyuma ya keyboards tunabishana. Nasubiri Nigeria kuipita urusi kiuchumi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
 
Ndio Jomba...

That's why kila mda nasema katika watu siwaelewi kabisa yani KAAABISA... ni wana siasa.

Mwanasiasa asye mstaraab anaeza akaua au kudhuru mamilion wasio na hatia katika kumchafua mwenzake kisiasa.

Ajab huyo Hungarian President atapuuzwa kwasabab hajaizungumzia Hasi Urusi na Kuitetea Ukraine...

Na kwa kirefu zaidi taarif yake haitapewa kipaumbele kwenye Vyombo vya habari...
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ase nimecheka sana....

Na me nasubir TZ kupaa kimataifa kwenye gas asilia... Dunia yote itakuwa inategemea kwetu kwa asilimia milion nane na nusu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
MKUU MBONA KAMA UNAWASEMA MAAMUMA MKUU??? WAARABU WEUSI WA UMATUMBINI VIJUKUU VYA YULE JAMAA ALIEPEWA UTUME NA VATICAN😂😂😂
 
McDonald's plans to suspend the work of restaurants across Russia from March 14 - RIA Novosti.
 
The European Peace Fund will allocate an additional 500 million euros for military assistance to Ukraine - the head of EU diplomacy Borrell.
Liwagu
Galip SV
 
The Prime Minister of Slovenia said that among the leaders of the EU countries there are disagreements about Ukraine's membership.

At the same time, the President of Lithuania stated that it is currently impossible to grant the status of an EU candidate to Ukraine.
Liwagu
Galip SV
 
In the British Basildon, a man was arrested who, in protest against the Russian special operation, tried to remove vodka from the supermarket shelves.

According to The Independent, the visitor quarreled with the staff of the Sainsbury's chain. According to the man, he went to the store for a cake, but noticed vodka on the shelves.

The citizen took all the bottles to the employees of the network, but they said that they needed to return the products to their place. As a result, a quarrel ensued. Galip SV Liwagu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…