MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Kuna ule msemo wa kichina, nadhani unapatikana katika kitabu Cha Sun Zhii Art of Warwamagaribu wametest uimara wa silaha zao na ukraine hata haelewi kama wenzake wapo kwenye practical field. tz hatuhitaji kupoteza hela kununua haya mavitu, hatutegemei kuwa na vita any time soon, vita dhidi ya nani? na kwasababu gani? labda dhidi ya zenji wakitaka kujitenga.
Hawa ni maadui wa kudumu wa Tz ila tu umasikini wao ndio unawafanya wawe wapoleYupo Malawi mzee.
Upo sahihi na wanyarwanda pia huwa wanatujaribu jaribuSiyo kirahisi hivyo mzee. Ukiwa weak wakenya watakuchokonoa mpaka kwenye makalio
Ndo maana nimeona aibu mimi ivi hawa pro Russian akili zao sijui zikoje yaani mnapenda kujisifu na vitu vilivyo fell kweli kweli mfano hawa makomandoo wenu uchwara wote waliuwa siku ya ya kwanza ya vita jioni yake na uwanja ukakombolewa siku ya kwanza ya vita jioni yake sasa eti mtu anashangilia mishen ambayo haikufanikiwa yaani mtu anashamgilia misheni iliyo fel ama kweli warusi mlijimwambafy sana kupita ata uhalisia saivi ndo mnavishwa shanga mnashangaaata hamuamini mnachokiona front line , JAVELLIN, STINGER, NLAW , MAN PADS ,hii combination ni hatari sana kwa usalama wa askari wenu uchwaraHawa walikufa wote
Una uwakika?Huko mlifika kitambo mume stuck hapo hapo.
Hii ni snake island.ni kisiwa icho kama ujui
Nimemuelewa Putin aliposema Ukraine Ni Neo NaziView attachment 2148260
Em tuzitizame hizi picha.... Af mnisaidie ni propaganda au reality...
View attachment 2148263
Hivi
View attachment 2148264
Hyo alama ni hapa chini
View attachment 2148267
Na kuna post nyingine ya NATO hii apa chini
View attachment 2148268
Hyo picha ya huyo Dada iangalie vizuri
View attachment 2148272
Angalieni hyo badge ya kifuani
View attachment 2148273
Ndo ile ile ya black sun View attachment 2148274
Hivi apa kuna nn Ukraine... Mmmh[emoji848]
Angalieni tena na hii ya Mzee Zelensky
View attachment 2148279
Iangalie vzur hyo alama kwenye bendera
View attachment 2148280
Ndo hii ilopostiwa apa na huyu jamaa...
Af angalia maana ya hyo symble
View attachment 2148282
Vipi wadau na hizo ni propaganda?
Tunawa f-k yourself 😁😁Hii ni snake island.ni kisiwa icho kama ujui
Mariupol ni eneo la bandari.ni eneo muhimu sana
Haha haya bhanaWapiiii! Ukraine Ina watu wewe!
Na bado,ila Crimea sio neo Nazi sio?Nimemuelewa Putin aliposema Ukraine Ni Neo Nazi
Mlichobakiza ni taarabu, sisi tunachukua nchi.Ukraine itakuwa jimbo letu jipyaTunawa f-k yourself [emoji16][emoji16]
Mtamaliza lini kuichukua? 🤣🤣Mlichobakiza ni taarabu, sisi tunachukua nchi
Hicho kisiwa kinaitwa snake island ambacho kilikuwa na border guard wa kiukraine 13 tu.
Af me nilichoelewa ni kua sio taifa zima la Ukraine ni Neo Nazi bali ndani ya Taifa hilo kuna Neo-nazi na zaidi wana influence kubwa kwe utawala kiasi kinachopelekea ata ile aman ndani ya Ukraine yenyewe haiko sawa kiasi cha kuanza kutengana wao kwa wao na zaidi kuuana wao kwa wao...Nimemuelewa Putin aliposema Ukraine Ni Neo Nazi
hivi hawa jamaa wana connection gani na NAZI? although, cha kushangaza, rais wa ukraine ni Myahudi ambaye babu yake aliuawa na NAZI kwenye consentration camps, tuseme na yeye anapenda au kuendeleza unazi? ambao ndio walimifanya ukoo wake ukakimbilia Ukraine kwa mateso makubwa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba kwanini Ulaya...
Ila hizo picha nashangaa kwe Media hazipo... Mfano hizi zingine apo chini...
View attachment 2148302View attachment 2148303View attachment 2148304View attachment 2148305View attachment 2148306View attachment 2148307View attachment 2148308