Kutokana na yanayoendelea donbas,luhansck na donesck wanasiasa wa Ukraine wapo makini sana na maamuzi yao kwa sabab makosa kidogo tu hayo majimbo matat watayakosa jumla na nchi itavurugika.Taifa la Ukraine ni miongoni mwa nchi zinazomiliki silaha za Nyuklia na makombora ya masafa marefu
Ni taifa kubwa tu la watu milioni 45 kulingana na takwimu za mwaka 2020
Jamaa wana silaha za kila aina lakini wanapigwa biti na mrusi wanaufyata
Kila mtu anaijua nguvu ya Putin na Urusi,lakini nachotaka kusema hapa ni kuwa, kama nchi nyingine tusiwe kama Ukraine
Hata kama ni Russia na manguvu yote ukraine alitakiwa akitishiwa kuvamiwa naye aonyeshe misuli ya umwamba
Taifa la watu milioni 45 sio taifa dogo wakuu ni taifa ambalo linaweza kuwa na uwezo wa kutunisha misuli kwa taifa hata lenye watu milioni 300
Sasa wapo milioni 45 wanakua waoga hivyo na wanaonyesha udhaifu mkubwa,jee wangekua milioni 3 au 4 jee?
Taifa la watu milioni 45 mkiamua kuwekeza kwenye jeshi na uwezo mkubwa mnauwezo wa kulitunishia misuli dola lolote hapa ulimwengu, milioni 45 inakutosha kuwa superpower nawe ukatunisha misuli
Na silaha za nyukilia wanazo lakini wamekua watu waoga hivyo?Vita ikitokea Ukraine wakijipanga wakipigana na Russia hata kama mrusi atashinda lakini wangemuachia russia makovu fulani au kumporomosha kiuchumi,kwamba vita viww virefu vya kufa na kupona.
Ukraine anapitwa hadi na nchi kama Israel ambayo ina idadi ndogo lakini wanatunishia misuli madola makubwa,kila kitu ni kujipanga,Israel sio wengi ni nchi ndogo lakini kijeshi wanajitahidi vipi hao ambao wapo milioni 45 na wamejionyesha dhaifu hivyo
Una makombora ya masafa marefu yanayofika Moscow halafu unatishiwa kuvamiwa?Kwanini usitamke wazi kabisa kwamba ukivamiwa utaishambulia Moscow kwa makombora ya masafa marefu?
Hii nchi ni ya ajabu sana....Mimi kwa hili nasimama na Urusi katika huu mgogoro lakini Ukraine wanafeli sana masilaha yote hayo lakini wameshindwa hata kupiga mkwara tena watavamiwa na hawatafanya kitu,hawa jamaa ni useless kabisa
Ukraine hawafai kuigwa
Bonge la jibuHivi wewe pamoja Na lile panga lako uvunguni kali Sana, so mke wako huwa anakutukana? Kwa nn unakuwa mnyonge?
Uwajibikaji; akili mtu wangu!
Mchokoza mada unaleta utani vita sio lelemama kiongozi wa Ukraine anastahili kutunukiwa shahada ya amani silaha za Nyuklia zkitumika hakuna mshindi.Kutokana na yanayoendelea donbas,luhansck na donesck wanasiasa wa Ukraine wapo makini sana na maamuzi yao kwa sabab makosa kidogo tu hayo majimbo matat watayakosa jumla na nchi itavurugika.
Na ktk mapambano kuwa na silaha kali hakukupi dhamana ya kushinda pambano tumejionea kwa saudia na washirika wake dhidi ya wahouth.
Ingawaje unasema kuwa Ukraine wana silaha za nyuklia lkn sidhan km zinaweza wasaidia km hawapo vzr kiujasus,unapotaja nchi zinazotamba ktk ujasus huwez kutoitaja urus,us na nato licha ya ubabe wao lkn mara nyingi tu huwa wanalalamika kujasusiwa na urus sasa Ukraine unadhan amesalimika vp na ujasus wa urus ilhal juzi tu wamesema tovut yao ya usalama imedukuliwa kwa siku mbili mfululizo???
Tena sio kidogo [emoji16]Wewe jamaa una masikhara sana
[emoji16][emoji16]Kama kuwa na watu wengi ndio uwezo wa watu wako na kivita pia,vipi nyie mna watu milioni 60+. Lakini hamjafikia hata robo ya Ukraine. Hakuna hata wazo la kufikia huko zaidi ya kumfikiria Mbowe
Eti na lucifa [emoji16][emoji16][emoji16]Ukraine ilikuwa sehemu ya urusi hivyo wanaifahamu moscow kuliko wewe na kitu usichokijua ni kwamba kipindi cha soviet union Ussr ilijitahidi kusambaza silaha kila kona ya himaya yao hivyo ukraine anaifahamu vilivyo urusi kuliko hata NATO.
Hata hivyo vidude alivyo navyo ukraine ni less than 1/10 ya madude yaliyopo urusi maana kuna midude kama vile Bulava, Topol, bila kusahau Satan usikute na Lucifer sasa hayoote yatue Ukraine hivi unadhan hadi kuufyata ufaikiri hawajui kilivhopo Russia?
Unajua andiko lako linatoa picha gani kuhusu wewe?Taifa la Ukraine ni miongoni mwa nchi zinazomiliki silaha za Nyuklia na makombora ya masafa marefu
Ni taifa kubwa tu la watu milioni 45 kulingana na takwimu za mwaka 2020
Jamaa wana silaha za kila aina lakini wanapigwa biti na mrusi wanaufyata
Kila mtu anaijua nguvu ya Putin na Urusi,lakini nachotaka kusema hapa ni kuwa, kama nchi nyingine tusiwe kama Ukraine
Hata kama ni Russia na manguvu yote ukraine alitakiwa akitishiwa kuvamiwa naye aonyeshe misuli ya umwamba
Taifa la watu milioni 45 sio taifa dogo wakuu ni taifa ambalo linaweza kuwa na uwezo wa kutunisha misuli kwa taifa hata lenye watu milioni 300
Sasa wapo milioni 45 wanakua waoga hivyo na wanaonyesha udhaifu mkubwa,jee wangekua milioni 3 au 4 jee?
Taifa la watu milioni 45 mkiamua kuwekeza kwenye jeshi na uwezo mkubwa mnauwezo wa kulitunishia misuli dola lolote hapa ulimwengu, milioni 45 inakutosha kuwa superpower nawe ukatunisha misuli
Na silaha za nyukilia wanazo lakini wamekua watu waoga hivyo?Vita ikitokea Ukraine wakijipanga wakipigana na Russia hata kama mrusi atashinda lakini wangemuachia russia makovu fulani au kumporomosha kiuchumi,kwamba vita viww virefu vya kufa na kupona.
Ukraine anapitwa hadi na nchi kama Israel ambayo ina idadi ndogo lakini wanatunishia misuli madola makubwa,kila kitu ni kujipanga,Israel sio wengi ni nchi ndogo lakini kijeshi wanajitahidi vipi hao ambao wapo milioni 45 na wamejionyesha dhaifu hivyo
Una makombora ya masafa marefu yanayofika Moscow halafu unatishiwa kuvamiwa?Kwanini usitamke wazi kabisa kwamba ukivamiwa utaishambulia Moscow kwa makombora ya masafa marefu?
Hii nchi ni ya ajabu sana....Mimi kwa hili nasimama na Urusi katika huu mgogoro lakini Ukraine wanafeli sana masilaha yote hayo lakini wameshindwa hata kupiga mkwara tena watavamiwa na hawatafanya kitu,hawa jamaa ni useless kabisa
Ukraine hawafai kuig
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸🙆🙆🙆🙆Unajua andiko lako linatoa picha gani kuhusu wewe?
1. Mwili wako umejaa makovu na ngeu kila mahala.
2. Huna rafiki anayekuamini ila tu watu wanakuwa na wewe kama kuna kitu wanahitaji kwako.
3. Unaweza kuwanyoa watoto wako vipara siku moja kabla ya harusi waliyondaliwa wasimamie.
4. Mkeo hajumuiki.
5. Hujawahi kuchaguliwa kuwa hata mjumbe wa kamati yoyote maishani mwako.
6. Kwenye mikutano ya jumla kazi yako ni kushambulia meza na wanakujua hivyo wanakuachaga kama ulivyo.
7. Una mahusiano ya mbali sana na hata majirani zako wakati huo huou huweze kuendana na hata ndugu zako wa damu.
8. Unatabia za kufuatilia na kukuza mambo na kwako kila jambo ni kubwa.
10. Uanjiona mpweke lakini ukwlei watu wanakukwepa kwa tabia zako za kupend ligi.
11. Unapenda kusutana kama genge la waimba taarabu.
12. Ni kama mtu umekua bila kupendwa na ukaachwa ujilinde na kujitegemea toka ukiwa umri mdogo, na bahati mbaya ukaishi kwenye mazingira ya visasi na kutokujali wengine.
13. Huamini katika amani na uvumilivu bali ni "Kama mbwai na iwe".
14. Huna sifa za uongozi.
15. Selfish.
16. Katili na hujali maisha ya kesho kwa yeyote.
17 Mihemuko kwa sana.
18. Kilakitu unafanya kwa kujihami na kuthibitisha.
19. Limitations kadhaa.
Pole sana ndugu.
Wingi wa watu, siyo nguvu wala uwezo.
Ngumi si suluhisho la kila changamoto.
Vita haina sura moja.
Hekima ni bora kuliko misuri.
Umeonyesha ni namna gani wewe si mtu sahihi wa kufanya maamuzi mikakati na ndiyo sababu hakuna mtu anayeweza kukuamini kukupa hiyo nafasi.
Chana mwema.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unajua andiko lako linatoa picha gani kuhusu wewe?
1. Mwili wako umejaa makovu na ngeu kila mahala.
2. Huna rafiki anayekuamini ila tu watu wanakuwa na wewe kama kuna kitu wanahitaji kwako.
3. Unaweza kuwanyoa watoto wako vipara siku moja kabla ya harusi waliyondaliwa wasimamie.
4. Mkeo hajumuiki.
5. Hujawahi kuchaguliwa kuwa hata mjumbe wa kamati yoyote maishani mwako.
6. Kwenye mikutano ya jumla kazi yako ni kushambulia meza na wanakujua hivyo wanakuachaga kama ulivyo.
7. Una mahusiano ya mbali sana na hata majirani zako wakati huo huou huweze kuendana na hata ndugu zako wa damu.
8. Unatabia za kufuatilia na kukuza mambo na kwako kila jambo ni kubwa.
10. Uanjiona mpweke lakini ukwlei watu wanakukwepa kwa tabia zako za kupend ligi.
11. Unapenda kusutana kama genge la waimba taarabu.
12. Ni kama mtu umekua bila kupendwa na ukaachwa ujilinde na kujitegemea toka ukiwa umri mdogo, na bahati mbaya ukaishi kwenye mazingira ya visasi na kutokujali wengine.
13. Huamini katika amani na uvumilivu bali ni "Kama mbwai na iwe".
14. Huna sifa za uongozi.
15. Selfish.
16. Katili na hujali maisha ya kesho kwa yeyote.
17 Mihemuko kwa sana.
18. Kilakitu unafanya kwa kujihami na kuthibitisha.
19. Limitations kadhaa.
Pole sana ndugu.
Wingi wa watu, siyo nguvu wala uwezo.
Ngumi si suluhisho la kila changamoto.
Vita haina sura moja.
Hekima ni bora kuliko misuri.
Umeonyesha ni namna gani wewe si mtu sahihi wa kufanya maamuzi mikakati na ndiyo sababu hakuna mtu anayeweza kukuamini kukupa hiyo nafasi.
Chana mwema.
Nikukosoe Kidogo.Taifa la Ukraine ni miongoni mwa nchi zinazomiliki silaha za Nyuklia na makombora ya masafa marefu
Ni taifa kubwa tu la watu milioni 45 kulingana na takwimu za mwaka 2020
Jamaa wana silaha za kila aina lakini wanapigwa biti na mrusi wanaufyata
Kila mtu anaijua nguvu ya Putin na Urusi,lakini nachotaka kusema hapa ni kuwa, kama nchi nyingine tusiwe kama Ukraine
Hata kama ni Russia na manguvu yote ukraine alitakiwa akitishiwa kuvamiwa naye aonyeshe misuli ya umwamba
Taifa la watu milioni 45 sio taifa dogo wakuu ni taifa ambalo linaweza kuwa na uwezo wa kutunisha misuli kwa taifa hata lenye watu milioni 300
Sasa wapo milioni 45 wanakua waoga hivyo na wanaonyesha udhaifu mkubwa,jee wangekua milioni 3 au 4 jee?
Taifa la watu milioni 45 mkiamua kuwekeza kwenye jeshi na uwezo mkubwa mnauwezo wa kulitunishia misuli dola lolote hapa ulimwengu, milioni 45 inakutosha kuwa superpower nawe ukatunisha misuli
Na silaha za nyukilia wanazo lakini wamekua watu waoga hivyo?Vita ikitokea Ukraine wakijipanga wakipigana na Russia hata kama mrusi atashinda lakini wangemuachia russia makovu fulani au kumporomosha kiuchumi,kwamba vita viww virefu vya kufa na kupona.
Ukraine anapitwa hadi na nchi kama Israel ambayo ina idadi ndogo lakini wanatunishia misuli madola makubwa,kila kitu ni kujipanga,Israel sio wengi ni nchi ndogo lakini kijeshi wanajitahidi vipi hao ambao wapo milioni 45 na wamejionyesha dhaifu hivyo
Una makombora ya masafa marefu yanayofika Moscow halafu unatishiwa kuvamiwa?Kwanini usitamke wazi kabisa kwamba ukivamiwa utaishambulia Moscow kwa makombora ya masafa marefu?
Hii nchi ni ya ajabu sana....Mimi kwa hili nasimama na Urusi katika huu mgogoro lakini Ukraine wanafeli sana masilaha yote hayo lakini wameshindwa hata kupiga mkwara tena watavamiwa na hawatafanya kitu,hawa jamaa ni useless kabisa
Ukraine hawafai kuigwa
Hakuna aliyetayari kutumia nuclearTaifa la Ukraine ni miongoni mwa nchi zinazomiliki silaha za Nyuklia na makombora ya masafa marefu
Ni taifa kubwa tu la watu milioni 45 kulingana na takwimu za mwaka 2020
Jamaa wana silaha za kila aina lakini wanapigwa biti na mrusi wanaufyata
Kila mtu anaijua nguvu ya Putin na Urusi,lakini nachotaka kusema hapa ni kuwa, kama nchi nyingine tusiwe kama Ukraine
Hata kama ni Russia na manguvu yote ukraine alitakiwa akitishiwa kuvamiwa naye aonyeshe misuli ya umwamba
Taifa la watu milioni 45 sio taifa dogo wakuu ni taifa ambalo linaweza kuwa na uwezo wa kutunisha misuli kwa taifa hata lenye watu milioni 300
Sasa wapo milioni 45 wanakua waoga hivyo na wanaonyesha udhaifu mkubwa,jee wangekua milioni 3 au 4 jee?
Taifa la watu milioni 45 mkiamua kuwekeza kwenye jeshi na uwezo mkubwa mnauwezo wa kulitunishia misuli dola lolote hapa ulimwengu, milioni 45 inakutosha kuwa superpower nawe ukatunisha misuli
Na silaha za nyukilia wanazo lakini wamekua watu waoga hivyo?Vita ikitokea Ukraine wakijipanga wakipigana na Russia hata kama mrusi atashinda lakini wangemuachia russia makovu fulani au kumporomosha kiuchumi,kwamba vita viww virefu vya kufa na kupona.
Ukraine anapitwa hadi na nchi kama Israel ambayo ina idadi ndogo lakini wanatunishia misuli madola makubwa,kila kitu ni kujipanga,Israel sio wengi ni nchi ndogo lakini kijeshi wanajitahidi vipi hao ambao wapo milioni 45 na wamejionyesha dhaifu hivyo
Una makombora ya masafa marefu yanayofika Moscow halafu unatishiwa kuvamiwa?Kwanini usitamke wazi kabisa kwamba ukivamiwa utaishambulia Moscow kwa makombora ya masafa marefu?
Hii nchi ni ya ajabu sana....Mimi kwa hili nasimama na Urusi katika huu mgogoro lakini Ukraine wanafeli sana masilaha yote hayo lakini wameshindwa hata kupiga mkwara tena watavamiwa na hawatafanya kitu,hawa jamaa ni useless kabisa
Ukraine hawafai kuigwa
Baada ya kuangu Kwa umoja kisoviet walizirudisha Urussi mkuu.Taifa la Ukraine ni miongoni mwa nchi zinazomiliki silaha za Nyuklia na makombora ya masafa marefu
Ni taifa kubwa tu la watu milioni 45 kulingana na takwimu za mwaka 2020
Jamaa wana silaha za kila aina lakini wanapigwa biti na mrusi wanaufyata
Kila mtu anaijua nguvu ya Putin na Urusi,lakini nachotaka kusema hapa ni kuwa, kama nchi nyingine tusiwe kama Ukraine
Hata kama ni Russia na manguvu yote ukraine alitakiwa akitishiwa kuvamiwa naye aonyeshe misuli ya umwamba
Taifa la watu milioni 45 sio taifa dogo wakuu ni taifa ambalo linaweza kuwa na uwezo wa kutunisha misuli kwa taifa hata lenye watu milioni 300
Sasa wapo milioni 45 wanakua waoga hivyo na wanaonyesha udhaifu mkubwa,jee wangekua milioni 3 au 4 jee?
Taifa la watu milioni 45 mkiamua kuwekeza kwenye jeshi na uwezo mkubwa mnauwezo wa kulitunishia misuli dola lolote hapa ulimwengu, milioni 45 inakutosha kuwa superpower nawe ukatunisha misuli
Na silaha za nyukilia wanazo lakini wamekua watu waoga hivyo?Vita ikitokea Ukraine wakijipanga wakipigana na Russia hata kama mrusi atashinda lakini wangemuachia russia makovu fulani au kumporomosha kiuchumi,kwamba vita viww virefu vya kufa na kupona.
Ukraine anapitwa hadi na nchi kama Israel ambayo ina idadi ndogo lakini wanatunishia misuli madola makubwa,kila kitu ni kujipanga,Israel sio wengi ni nchi ndogo lakini kijeshi wanajitahidi vipi hao ambao wapo milioni 45 na wamejionyesha dhaifu hivyo
Una makombora ya masafa marefu yanayofika Moscow halafu unatishiwa kuvamiwa?Kwanini usitamke wazi kabisa kwamba ukivamiwa utaishambulia Moscow kwa makombora ya masafa marefu?
Hii nchi ni ya ajabu sana....Mimi kwa hili nasimama na Urusi katika huu mgogoro lakini Ukraine wanafeli sana masilaha yote hayo lakini wameshindwa hata kupiga mkwara tena watavamiwa na hawatafanya kitu,hawa jamaa ni useless kabisa
Ukraine hawafai kuigwa