RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
Mnashika Raia mnawavalisha Sare kwamba ni wanajeshi Mungu anawaona kipanya.80% of all Russian prisoners of war captured during the Kursk operation are conscripts and young children. A number approximately 2300 kids.View attachment 3073768View attachment 3073769
Kichapo kipi mkuu, amka usijokojolee wote tunafatilia.Ukraine anatembeza kisago kweli kweli tena akiwa ndani ya ardhi ya mvamizi.
Umetisha mkuu🙌 Putin atakuwa ni Disconnector 🦉🐒.Hujakosea ndugu yangu kuanzia Kamanga,nyamatongo,katungulu,nyamililo,chamabanda,nyamililo,Ibondo,nyampulukano,Mission,kizugwangoma,sima na hata kasungamile wanafatilia habari za Urusi na ukraine,wanajua kabisa Kila kitu,maana ikitokea nchi moja kati ya mbili hizo ikapiga nyukilia basi watu wote watatumia na kufa hovyo.
Ogopa mionzi ya nyukilia itafika Hadi buhongwa,busisi na na nyampande.
Lkn wengi wao huko Wana Imani na mwamba Field marshall,KGB FSB, Lieutenant colonel Vladimir Vladimirovic Putin a.k.a VVP.
Huyu mwamba ni akili kubwa katika sayari hii dhidi ya Viongozi wote wanaoishi chini ya jua katika kizazi hiki.
Huko kwao wanasema ni mbadala wa mwamba Joseph Stalin kwa uwezo wa ki akili.
Ndio maana unaona Marais wa west wote wanakaa vikao kujadili lkn yeye hakaibna Viongozi wengine kuwa jadili west.
Ila anaweza kwenda china peke yake,au NOKO peke yake lkn haitishi vikao na kikundi Cha Marais kujadili vita.
Kikao pekee anakaa na kamati yake ya ulinzi na usalama wa Urusi akiwemo mhuni Dimitry Medvedev na wakuu wa vyombo vya majeshi TU.
Huyu VVP ndio rais aliyekoswa kuuwawa kuliko Rais yoyote hapa chini ya jua na ndio rais anaewindwa kuuwawa kuliko Rais yoyote pia.
Kwa kifupi ndio binadamu anaewindwa zaidi kuuwawa hapa duniani.
Unajua ni Kwa Nini?
Ni kwa sababu amewashinda wapinzani wake Kila idara,kijasusi,kivita,kiuchumi,kisiasa na kidiplomasia.njia pekee ni kutaka kumuua,lkn hiyo nayo imeshindwa.huyu ndio rais pekee duniani alierogwa hadharani nahajarogeka,ushahidi wa picha wa wachawi wa Ukraine wakimrogo upo humu.
Mimi nipo huku kome nakula samaki Sasa hivi.
We acha TU ndugu yangu Afta,hapa naongea facts tupu.Umetisha mkuu🙌 Putin atakuwa ni Disconnector 🦉🐒.
Ngoja ni subiri uchambuzi wa magharibi
Mwamba umetisha sana.Umesahau Nyamazugo, Nyachina, Nyatukara, Nyang'homango, Nyakubele kuwa wale ni Warusi halisi 😀😀😀
Kwa upande wangu sijaona Cha kukupinga(Nimejibu kiujumla mkuu)We acha TU ndugu yangu Afta,hapa naongea facts tupu.
Hebu nikuulize maswali,
Anaepigwa ni Ukraine au kwa lugha nyingine vita ni kati ya Urusi na Ukraine.
Je NATO wanakaa vikao au hawakai?
Je G7 wanakaa vikao au hawakai?
Je EU wanakaa vikao au hawakai?
Je collective west wanakaa vikao au hawakai?
Hapa nauliza vile vikao vinahusu kuisaidia Ukraine.
Je hizo nchi zote hazijachangishana silaha kuipa Ukraine?
Je hazijachangishana fedha kuipa Ukraine?
Je hazijachangishana vikwazo vya kuiumiza Urusi,je Urusi imeumia?
Ndugu yangu Afta namba hua hazidanganyi.
Na vita ni tukio la wazi Kila mtu anaona,ni kama vile Football, Football ni mchezo wa wazi Kila mtu anaona.
Na pale Nyaluyeye, kule nyambogo, nyakagwe pia, nyamazugo, nyakahongolwa, kote huko kuna warusi wataalam wa vitaUmesahau Nyamazugo, Nyachina, Nyatukara, Nyang'homango, Nyakubele kuwa wale ni Warusi halisi 😀😀😀
Unakula Sato kijana, Doh! Hiyo kitu napenda sana na imenifanya nisiwe natulia kwangu, kwa mwaka natembelea kanda ta ziwa mara tano, hasa kwa ajiri ya samaki tuHujakosea ndugu yangu kuanzia Kamanga,nyamatongo,katungulu,nyamililo,chamabanda,nyamililo,Ibondo,nyampulukano,Mission,kizugwangoma,sima na hata kasungamile wanafatilia habari za Urusi na ukraine,wanajua kabisa Kila kitu,maana ikitokea nchi moja kati ya mbili hizo ikapiga nyukilia basi watu wote watatumia na kufa hovyo.
Ogopa mionzi ya nyukilia itafika Hadi buhongwa,busisi na na nyampande.
Lkn wengi wao huko Wana Imani na mwamba Field marshall,KGB FSB, Lieutenant colonel Vladimir Vladimirovic Putin a.k.a VVP.
Huyu mwamba ni akili kubwa katika sayari hii dhidi ya Viongozi wote wanaoishi chini ya jua katika kizazi hiki.
Huko kwao wanasema ni mbadala wa mwamba Joseph Stalin kwa uwezo wa ki akili.
Ndio maana unaona Marais wa west wote wanakaa vikao kujadili lkn yeye hakaibna Viongozi wengine kuwa jadili west.
Ila anaweza kwenda china peke yake,au NOKO peke yake lkn haitishi vikao na kikundi Cha Marais kujadili vita.
Kikao pekee anakaa na kamati yake ya ulinzi na usalama wa Urusi akiwemo mhuni Dimitry Medvedev na wakuu wa vyombo vya majeshi TU.
Huyu VVP ndio rais aliyekoswa kuuwawa kuliko Rais yoyote hapa chini ya jua na ndio rais anaewindwa kuuwawa kuliko Rais yoyote pia.
Kwa kifupi ndio binadamu anaewindwa zaidi kuuwawa hapa duniani.
Unajua ni Kwa Nini?
Ni kwa sababu amewashinda wapinzani wake Kila idara,kijasusi,kivita,kiuchumi,kisiasa na kidiplomasia.njia pekee ni kutaka kumuua,lkn hiyo nayo imeshindwa.huyu ndio rais pekee duniani alierogwa hadharani nahajarogeka,ushahidi wa picha wa wachawi wa Ukraine wakimrogo upo humu.
Mimi nipo huku kome nakula samaki Sasa hivi.
Mkuu chukua maneno yangu.Kwa upande wangu sijaona Cha kukupinga(Nimejibu kiujumla mkuu)
Ila Wafuasi wa Magharibi watasema North Korea,Irani na China wanaipa sapoti Urusi na sio jambo baya,ila licha ya yote Urusi Bado anaonesha ukuu na umwamba
huku ngonho,ziba,iborogelo mpaka nkinga tunamshauri tu zele apandishe bendera nyeupi maana huyo V.V.P hawezekaniki ni heavy element Iliyozaliwa baada ya star kufaHapana ndugu yangu Millerson,huko Nzega na maeneo yote ya jirani watu wanamuelewa sana mbabe wa vita asieshindwa toka vita vya Chechen ambayo aliwa angamiza kabisa ma Wakala wa USA.
Huko Ngonho hakuna watu wa Putin ila ukienda Ipilili,kitongo,Upuge,usoke,ndala na magili utakuta watu wanamkubali sana mwamba kiboko ya NATO.VVP.
Kazi imeanza ado ado.Wanajeshi wa urusi wawakamata mateka askari 19 wa ukraine katika jimbo la kursk ambako jeshi la ukraine lilivamia na kuteka siku kadhaa nyuma
Kazi imenoga
Na inanoga haswa.Kazi imeanza ado ado.
Lamamayeee😂😂😂😂😂.View attachment 3074086
Sasa hawa si warusi wenyeweNa inanoga haswa.
Mwanagu umeua.Na pale Nyaluyeye, kule nyambogo, nyakagwe pia, nyamazugo, nyakahongolwa, kote huko kuna warusi wataalam wa vita
Tena usiwaambie kabisa mkuu 🤣🤣