LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hujakosea ndugu yangu kuanzia Kamanga,nyamatongo,katungulu,nyamililo,chamabanda,nyamililo,Ibondo,nyampulukano,Mission,kizugwangoma,sima na hata kasungamile wanafatilia habari za Urusi na ukraine,wanajua kabisa Kila kitu,maana ikitokea nchi moja kati ya mbili hizo ikapiga nyukilia basi watu wote watatumia na kufa hovyo.
Ogopa mionzi ya nyukilia itafika Hadi buhongwa,busisi na na nyampande.
Lkn wengi wao huko Wana Imani na mwamba Field marshall,KGB FSB, Lieutenant colonel Vladimir Vladimirovic Putin a.k.a VVP.
Huyu mwamba ni akili kubwa katika sayari hii dhidi ya Viongozi wote wanaoishi chini ya jua katika kizazi hiki.
Huko kwao wanasema ni mbadala wa mwamba Joseph Stalin kwa uwezo wa ki akili.
Ndio maana unaona Marais wa west wote wanakaa vikao kujadili lkn yeye hakaibna Viongozi wengine kuwa jadili west.
Ila anaweza kwenda china peke yake,au NOKO peke yake lkn haitishi vikao na kikundi Cha Marais kujadili vita.
Kikao pekee anakaa na kamati yake ya ulinzi na usalama wa Urusi akiwemo mhuni Dimitry Medvedev na wakuu wa vyombo vya majeshi TU.
Huyu VVP ndio rais aliyekoswa kuuwawa kuliko Rais yoyote hapa chini ya jua na ndio rais anaewindwa kuuwawa kuliko Rais yoyote pia.
Kwa kifupi ndio binadamu anaewindwa zaidi kuuwawa hapa duniani.
Unajua ni Kwa Nini?
Ni kwa sababu amewashinda wapinzani wake Kila idara,kijasusi,kivita,kiuchumi,kisiasa na kidiplomasia.njia pekee ni kutaka kumuua,lkn hiyo nayo imeshindwa.huyu ndio rais pekee duniani alierogwa hadharani nahajarogeka,ushahidi wa picha wa wachawi wa Ukraine wakimrogo upo humu.
Mimi nipo huku kome nakula samaki Sasa hivi.
Umetisha mkuu🙌 Putin atakuwa ni Disconnector 🦉🐒.

Ngoja ni subiri uchambuzi wa magharibi
 
Umetisha mkuu🙌 Putin atakuwa ni Disconnector 🦉🐒.

Ngoja ni subiri uchambuzi wa magharibi
We acha TU ndugu yangu Afta,hapa naongea facts tupu.
Hebu nikuulize maswali,
Anaepigwa ni Ukraine au kwa lugha nyingine vita ni kati ya Urusi na Ukraine.
Je NATO wanakaa vikao au hawakai?
Je G7 wanakaa vikao au hawakai?
Je EU wanakaa vikao au hawakai?
Je collective west wanakaa vikao au hawakai?
Hapa nauliza vile vikao vinahusu kuisaidia Ukraine.
Je hizo nchi zote hazijachangishana silaha kuipa Ukraine?
Je hazijachangishana fedha kuipa Ukraine?
Je hazijachangishana vikwazo vya kuiumiza Urusi,je Urusi imeumia?
Ndugu yangu Afta namba hua hazidanganyi.
Na vita ni tukio la wazi Kila mtu anaona,ni kama vile Football, Football ni mchezo wa wazi Kila mtu anaona.
 
We acha TU ndugu yangu Afta,hapa naongea facts tupu.
Hebu nikuulize maswali,
Anaepigwa ni Ukraine au kwa lugha nyingine vita ni kati ya Urusi na Ukraine.
Je NATO wanakaa vikao au hawakai?
Je G7 wanakaa vikao au hawakai?
Je EU wanakaa vikao au hawakai?
Je collective west wanakaa vikao au hawakai?
Hapa nauliza vile vikao vinahusu kuisaidia Ukraine.
Je hizo nchi zote hazijachangishana silaha kuipa Ukraine?
Je hazijachangishana fedha kuipa Ukraine?
Je hazijachangishana vikwazo vya kuiumiza Urusi,je Urusi imeumia?
Ndugu yangu Afta namba hua hazidanganyi.
Na vita ni tukio la wazi Kila mtu anaona,ni kama vile Football, Football ni mchezo wa wazi Kila mtu anaona.
Kwa upande wangu sijaona Cha kukupinga(Nimejibu kiujumla mkuu)

Ila Wafuasi wa Magharibi watasema North Korea,Irani na China wanaipa sapoti Urusi na sio jambo baya,ila licha ya yote Urusi Bado anaonesha ukuu na umwamba
 
Hujakosea ndugu yangu kuanzia Kamanga,nyamatongo,katungulu,nyamililo,chamabanda,nyamililo,Ibondo,nyampulukano,Mission,kizugwangoma,sima na hata kasungamile wanafatilia habari za Urusi na ukraine,wanajua kabisa Kila kitu,maana ikitokea nchi moja kati ya mbili hizo ikapiga nyukilia basi watu wote watatumia na kufa hovyo.
Ogopa mionzi ya nyukilia itafika Hadi buhongwa,busisi na na nyampande.
Lkn wengi wao huko Wana Imani na mwamba Field marshall,KGB FSB, Lieutenant colonel Vladimir Vladimirovic Putin a.k.a VVP.
Huyu mwamba ni akili kubwa katika sayari hii dhidi ya Viongozi wote wanaoishi chini ya jua katika kizazi hiki.
Huko kwao wanasema ni mbadala wa mwamba Joseph Stalin kwa uwezo wa ki akili.
Ndio maana unaona Marais wa west wote wanakaa vikao kujadili lkn yeye hakaibna Viongozi wengine kuwa jadili west.
Ila anaweza kwenda china peke yake,au NOKO peke yake lkn haitishi vikao na kikundi Cha Marais kujadili vita.
Kikao pekee anakaa na kamati yake ya ulinzi na usalama wa Urusi akiwemo mhuni Dimitry Medvedev na wakuu wa vyombo vya majeshi TU.
Huyu VVP ndio rais aliyekoswa kuuwawa kuliko Rais yoyote hapa chini ya jua na ndio rais anaewindwa kuuwawa kuliko Rais yoyote pia.
Kwa kifupi ndio binadamu anaewindwa zaidi kuuwawa hapa duniani.
Unajua ni Kwa Nini?
Ni kwa sababu amewashinda wapinzani wake Kila idara,kijasusi,kivita,kiuchumi,kisiasa na kidiplomasia.njia pekee ni kutaka kumuua,lkn hiyo nayo imeshindwa.huyu ndio rais pekee duniani alierogwa hadharani nahajarogeka,ushahidi wa picha wa wachawi wa Ukraine wakimrogo upo humu.
Mimi nipo huku kome nakula samaki Sasa hivi.
Unakula Sato kijana, Doh! Hiyo kitu napenda sana na imenifanya nisiwe natulia kwangu, kwa mwaka natembelea kanda ta ziwa mara tano, hasa kwa ajiri ya samaki tu

Hhiii bhaghoshaaa...!
 
Kwa upande wangu sijaona Cha kukupinga(Nimejibu kiujumla mkuu)

Ila Wafuasi wa Magharibi watasema North Korea,Irani na China wanaipa sapoti Urusi na sio jambo baya,ila licha ya yote Urusi Bado anaonesha ukuu na umwamba
Mkuu chukua maneno yangu.
North Korea na china bado hawajaingia mzigoni,muda ukifika wataingia.
Unajua Kuna kitu kimoja vitani,Kiko hivi,
Kuna nchi kama Iran iliwahi kuipa Urusi drone zake na zikafanya vizuri TU,Tena mwanzoni kabisa mwa vita.
Wakati huohuo ujue Urusi Ina drone zake.
Unajua lengo la Iran?
Kuipa drone Urusi?
Lengo ni kuzijaribu uwezo wa droni zake kama ziko effective vitani.
Hali kadharika na kwa Noko na hata china ,kama wanatoa ni kujaribu silaha zao kwenye uwanja halisi wa vita.
Kumbuka Urusi Leo hii inazalisha silaha mara Tatu kuliko NATO wote kwa mwezi.
Lakini sababu nyingine kwa Urusi Ukiona anatumia silaha za marafiki zake ni kutaka kuepuka kutumia stock yake hovyo.
Lakini sio Kwa kuwa wamezidiwa ama wameishiwa.
 
Hapana ndugu yangu Millerson,huko Nzega na maeneo yote ya jirani watu wanamuelewa sana mbabe wa vita asieshindwa toka vita vya Chechen ambayo aliwa angamiza kabisa ma Wakala wa USA.
Huko Ngonho hakuna watu wa Putin ila ukienda Ipilili,kitongo,Upuge,usoke,ndala na magili utakuta watu wanamkubali sana mwamba kiboko ya NATO.VVP.
huku ngonho,ziba,iborogelo mpaka nkinga tunamshauri tu zele apandishe bendera nyeupi maana huyo V.V.P hawezekaniki ni heavy element Iliyozaliwa baada ya star kufa
 
Wanajeshi wa urusi wawakamata mateka askari 19 wa ukraine katika jimbo la kursk ambako jeshi la ukraine lilivamia na kuteka siku kadhaa nyuma
Kazi imenoga
Kazi imeanza ado ado.
Lamamayeee😂😂😂😂😂.
Screenshot_2024-08-19-14-25-01-98_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Back
Top Bottom