LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
The Ukrainian Armed Forces advance west of Sudza. It is reported that the Armed Forces entered the village of Ruska Konopelka and are now fighting on the northern outskirts.View attachment 3075223
1724221190650.png


Soma vizuri hizo takwimu kwenye ramani
 
Hadi vita inaisha Ukraine atakuwa powerful na Russia atamuheshimu sana. And if we don't take it serious pengine Ukraine wameaanza kuunda Bomu la kiatomic
Hapa lazima heshima iwepo, kila Mmoja atakuwa anatrend carefully kwa mwenzake!
 
Bora ungetoa tahadhari kabla ya kupost, picha zinaogopesha. Moderator uzi huu unaudhi sana maudhui yanakera
Wewe kijana unakuudhi pekeako na hujaitwa huku

Tumekustukia pro nazi umeona unakula spana huko field ndio maana unalia lia

Nenda kwenye uzi wenu kule ukale tunda kimasihara huku hujaitwa lakini kijana😀
 
Dogo,
Matusi ulianza wewe. Au unataka utakane halafu wewe usitukanwe.

Wahenga walisema unavuna unachopanda.

Eti uletewe taarifa rasmi ya serikali ya China!!! Nani alikudanganya kuwa serikali za kikomunisti husema ukweli???
Sasa mbona unaamini huo uongo walousema hapo wakati unakiri kua hawasemi ukweli😀😀😀
 
Sasa mbona unaamini huo uongo walousema hapo wakati unakiri kua hawasemi ukweli😀😀😀
Hakuna uongo wowote pale, ni kweli tupu.

Nimemkosoa huyo dogo aliyesema apewe taarifa kutoka kwa siri-kali, ndo nikamwambia huko hakunaga ukweli kabisaa. Ni kama kwa Tz utarajie kupata ukweli kupitia TBC, utakuwa hujitambui
 
The Armed Forces of Ukraine regained control of Martynivka after being in the gray zone due to Russian counterattacks. Geolocation images also show how Ukrainian Armed Forces forces advance east of the city, close to the railway tracks. The battles take place in the direction of Ruska Konopelka and Pushkarny.
1724239077938.jpg
 
Mie nilikua sijakubaliana na Russia kuvamia Ukraine,niliona kama vile imetumika nguvu pasipo na sababu.
Ila tokea Ukraine iunge mkono na kusapoti uvamizi wa Israel ndani ya Gaza aisee yani naombea hata Russia itifue makombora kila eneo la Ukraine pabaki jivu.
Ukraine nilisapoti kuchapwa kwasababu kadhaa
Kwanza wanahatarisha usalama wa russia
Pili walipeleka majeshi iraq wakaua watu sasa zamu yao
Acha wafe ikibidi hata wote watazaliwa wapya
 
Hakuna uongo wowote pale, ni kweli tupu.

Nimemkosoa huyo dogo aliyesema apewe taarifa kutoka kwa siri-kali, ndo nikamwambia huko hakunaga ukweli kabisaa. Ni kama kwa Tz utarajie kupata ukweli kupitia TBC, utakuwa hujitambui
Sasa mbona juu pale ulisema china hawatoi takwimu za kweli

Hueleweki kijana
 
Back
Top Bottom