LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums

"Ukraine's membership in NATO is inevitable and the country is on the way to joining the alliance," - Blinken, United States Secretary of State
 
Nimejifunza kitu hapa, SMO siyo Vita
 
Kama hufuatilii Dunia inavyokwendana matukio yake busara kukaa kimya
 
Daah lini zimesha tumika kwenye field au bado ni story tu?
 

Multiple commentators for Russian state television on Sept. 11 expressed disappointment in former U.S. President Donald Trump's performance in the first debate against Vice President Kamala Harris.

TV hosts argued that Trump must have been "sabotaged" to perform so poorly against Harris.
 
''Urusi inapigana na NATO'' umetumia vigezo gani kusema hivyo? Mimi pia sikubaliani na nchi za magharibi kwa vitendo vyao dhidi ya urusi, lakini siwezi kupuuzia nguvu ya NATO kijeshi, NATO Bado haijaingia vitani na Urusi
 
NATO haipogani na Urusi zaidi ya kutoa silaha,hapa umenipiga kamba,
 
Russia akiamua vita na USA hakuna rangi USA ataacha kuiona.
Usitake kutujaza hapa.
US anatamani sana 🇪🇺 waingie vitani na 🇷🇺 sema ni hivyo inakuwa ngumu kuwashawishi waingie moja kwa moja kwani hadi sasa 🇪🇺 toka SMO ianze wao ndio wahanga wakubwa wa huu mgogoro.

🇺🇸 anatumia mgogoro wa Ukraine kuidhoofisha 🇷🇺 na 🇪🇺 kwa wakati mmoja. 🇪🇺 alivyo kilaza akaingia kichwa kichwa.
 
NATO haipogani na Urusi zaidi ya kutoa silaha,hapa umenipiga kamba,
Wewe unadhani huu mgogoro ukiisha na 🇺🇦 kuibuka mshindi, sifa atapewa atapewa 🇪🇺 , 🇺🇸 (NATO) na wengine wote waliotoa mchango kwa namna moja au nyingine.

Hata kutoa mchango wa chakula kwa mhalifu unakuwa umehusika na uhalifu.
 
Hiyo system inaitwa black hand ilibuniwa na wasoviet
 
URUSI ambaye ni mzalishaji mkubwa wa TITANIUM ........ amezuia madini hayo ghafi kutosafirishwa kwa nchi hasimu..... baadhi ya umuhimu wa madini hayo ni ....

Titanium is incredibly versatile and used in a wide range of applications due to its unique properties. Here are some of the key areas where titanium is commonly used:

Aerospace

  • Aircraft and spacecraft: Titanium’s high strength-to-weight ratio and resistance to extreme temperatures make it ideal for aircraft frames, engines, and spacecraft components.

Medical

  • Implants and prosthetics: Titanium is biocompatible, meaning it doesn’t react negatively with the human body. It’s used in joint replacements, dental implants, and surgical instruments.

Industrial

  • Chemical processing: Its resistance to corrosion makes titanium perfect for use in chemical plants, where it can withstand harsh environments.
  • Marine applications: Titanium is used in shipbuilding and submarines due to its ability to resist corrosion from seawater.

Consumer Products

  • Sports equipment: Items like golf clubs, tennis rackets, and bicycles often use titanium for its strength and light weight.
  • Jewelry: Titanium’s durability and hypoallergenic properties make it a popular choice for rings, watches, and other jewelry.

Energy

  • Power plants: Titanium is used in power plants, particularly in heat exchangers and condensers, due to its ability to withstand high temperatures and corrosive environments.

Automotive

  • High-performance vehicles: Titanium is used in the manufacturing of high-performance car parts, such as exhaust systems and engine components, to reduce weight and improve performance
 
Wewe jamaa ni muongo sana, NATO iliundwa kukabiliana na vitisho vya USSR na sio Russia,( Russia ilikuwa miongoni mwa nchi 14 washirika wa USSR) usiipaishe sana Russia hatakama unaihusudu,

2) Russia kuwa na mabomu mengi ya nuclear haimaanishi kuwa USA au nchi za magharibi haziwezi kuongeza huo uzalishaji, nivile sheria za kimataifa zinafuatwa, alafu haiitaji mabomu mengi ya nuclear kumaliza vita, hiyo ni namba tu kiufupi ukipiga bomu Moja la nuclear pale New York madhara yake ni makubwa mnoo.

3, unavyosema NATO wanaiogopa Russia sio kweli, NATO wameshavuka mstari mwekundu uliowekwa na Russia na Putin hajafanya lolote, kama unajua Simba ni mkali yanini uanze kumchokonoa? Kila mara NATO wanaichokoza urusi na hatuoni lolote linalofanywa na Putin, angesambaratisha basi hizo kambi za USA kule ulaya, tusiongee ushabiki muda mwingine
 
▎Makombora ya Storm Shadow: Je, Ni Muhimu kwa Ukraine?

Makombora ya Storm Shadow ni makombora ya masafa marefu yanayotengenezwa na Uingereza na Ufaransa yenye uwezo wa kufikia umbali wa kilomita 250 (maili 155). Yameundwa kuharibu malengo magumu kama vile mabanda ya siri na maghala ya risasi, na hivyo yanafaa sana kwa kulenga miundombinu ya kijeshi ya Urusi nchini Ukraine.

Kwa nini ni muhimu kwa Ukraine?

• Kulengwa kwa mistari ya usambazaji na viwanja vya ndege vya Urusi: Ukraine inaamini kwamba uwezo wa kushambulia viwanja vya ndege na besi za Urusi zinazozindua mashambulizi ndani ya Urusi ni muhimu kukabiliana na mashambulizi ya mara kwa mara ya miji na mstari wa mbele wa Ukraine. Hivi sasa, wamezuiliwa kutumia silaha hizo ndani ya mipaka ya Ukraine.

• Kupambana na mashambulizi ya anga ya Urusi: Makombora na mabomu mengi yanayoharibu miji na nafasi za kijeshi za Ukraine yanazinduliwa kutoka eneo la Urusi. Ukraine inasema kwamba bila uwezo wa kulipiza kisasi katika maeneo hayo ya uzinduzi, wanapigana kwa mkono mmoja umefungwa mgongoni.

• Kuboresha ufanisi wa ulinzi wa Ukraine: Ingawa Ukraine ina mpango wake wa ndege zisizo na rubani, zina uwezo mdogo wa kufikia umbali mrefu na kubeba mzigo mdogo. Makombora ya Storm Shadow, pamoja na mifumo mingine ya masafa marefu kama vile ATACMS ya Marekani, yangeboresha sana uwezo wa Ukraine kujilinda dhidi ya mashambulizi ya anga ya Urusi.

• Inaweza kubadili usawa wa nguvu: Kwa kulenga miundombinu muhimu ya Urusi, makombora ya Storm Shadow yanaweza kuingilia usambazaji na shughuli za kijeshi za Urusi, na hivyo kumpa Ukraine faida ya kimkakati katika uwanja wa vita.

Kwa nini Magharibi yamekuwa yakisita kuruhusu Ukraine kuyatumia dhidi ya malengo nchini Urusi?

Hofu kuu ni kuongezeka kwa mzozo. Magharibi inaogopa kwamba kuruhusu Ukraine kushambulia ndani ya Urusi kunaweza kusababisha majibu makali kutoka Urusi, ambayo yanaweza kusababisha:

• Migongano ya moja kwa moja na NATO: Urusi inaweza kulipiza kisasi dhidi ya nchi zinazosambaza makombora, kama vile Poland, na hivyo kuongeza mzozo zaidi ya Ukraine.

• Uchokozi zaidi wa Urusi: Watu wenye msimamo mkali ndani ya Kremlin wanaweza kusukuma majibu makali zaidi kutokana na kuingiliwa kwa Magharibi.

• Kuongezeka zaidi kwa vita: Mgogoro unaweza kupanuka kijiografia na kuongezeka, na kusababisha vita vikubwa zaidi.

Kwa kifupi, makombora ya Storm Shadow yanawakilisha mabadiliko makubwa yanayoweza kutokea kwa Ukraine, kutoa uwezo unaohitajika sana wa kulipiza kisasi dhidi ya vikosi vya Urusi vinavyozindua mashambulizi kutoka ndani ya Urusi. Hata hivyo, Magharibi yanasita kutokana na hatari kubwa ya kuongezeka kwa mzozo na mzozo mpana zaidi.


Ni muhimu kukumbuka kuwa hali inabadilika kila mara, na uamuzi wa kuondoa vikwazo vya matumizi ya makombora ya Storm Shadow dhidi ya malengo nchini Urusi bado unazingatiwa na Marekani na Uingereza.

Kwa mujibu wa What are Storm Shadow missiles and why are they crucial for Ukraine? - BBC News
 
Hayo makombora hayatasaidia chochote
 
Bro mbona maneno mengi halafu point sifuri!??
USSR taifa kuu lilikua Russia.
Russia ndio ilikua USSR yenyewe na supreme power ilikua ikitoka Russia.
Na hata ukitizama ramani sehemu kubwa ya USSR ilikua ni Russia.
Katizame kuhusu Warsaw pact halafu uje hapa uone kama USA anaihofia Russia ama laaah!?

Muda mwingine usiongee tu bro kwa kukurupuka.
Hata kama USA amemchokoza Russia ukiona Russia haja react jua bado red line haijaguswa.
Na kila uchokozi aloufanya USA basi Russia ameulipiza.
Kama unabisha sema tuchambue tukio moja moja hapa.
 
Acha ubishi hadi sasa NATO wanajaribu kila namna kumsogolea 🇷🇺 kama siyo Kumuhofia nini? 🇵🇱 na 🇬🇧 wanahofia Ipo siku Russia yenye nguvu itarudi kuwameza majirani zake.
 
Anatakiwa kujua kama si kiherehere cha Poland na 🇬🇧 huu mgogoro usingefika huku wao ndiyo waliwasha moto.. DOLA la Uingereza lina chuki kuu sana na 🇷🇺 kama ilivyo kwa Poland naye ni kama kachawa tu wanataka kuishi kama Wamarekani.
 
Kwahyo ulichoandika wewe hapa unaona ni point sio? Unadhani Mimi sifahamu kuwa headquarter ya USSR ilikuwa Moscow? Hiyo haiondoi ukweli kuwa nchi zingine pia zilichangia nguvu yao kwenye huo muungano, huwezi kuingelea USSR bila kuzitaja nchi zote zilizounda umoja huo, naona mahaba yamezidi sana kwa Russia,
?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…