Lee Van free
JF-Expert Member
- Aug 14, 2024
- 1,535
- 5,332
Ndugu zangu Pro Russia na Pro Hali,naona mmepanik mno kwa sababu mmezoea ushindi Kila siku.
Kama Kila siku tunavyoongea humu Kila siku kua vita hii sio baina ya Ukraine na Urusi,Bali ni kati ya Urusi na NATO.
Mpaka hapa Urusi ipewe heshima
yake.
Unajua nchi moja kupigana na nchi zote hizo sio jambo Dogo,Tena nchi zenyewe ni nchi za west,ambazo ni tajiri na ze tech ya Hali ya juu sana.
Amin nawaambieni kwa wale ambao mnamuona Putin kama mpole mtakuja kumuona kama mtu muuzaji na katili mno.
Vita ni piga nikupige,wakati wa Urusi wa kutumia nguvu kubwa na kupiga pigo kubwa kwa adui ilikua bado haujafika,nadhani Sasa umefika na tutegemee kuona kile watu mnachotaka.
Watu tunatofautiana kwa busara,Putin anaonesha busara ya Hali ya juu mno,na busara yake inaepusha vita vya Tatu vya Dunia na vita vya kinyukilia.
Nadhani wote mnakubali kua Urusi Ina silaha za maangamizi lkn mmashangaa ni Kwa Nini hataki kuzitumia.
Kila kitu kinaenda kwa hatua,kama angetumia hizo nguvu mnazozitaka mwanzo Kuna wengine mgesema Urusi imezidiwa na Ukraine Hadi imetumia silaha kubwa.
Naamini Urusi itatoa jibu ambalo wote mtabadili hasira zenu.
Hata hivyo hicho walichofanya Ukraine hakita rudisha majimbo yaliyochukuliwa Bali ni kulazimisha Urusi ipige moja kwa moja kwenye nchi za NATO ili Sasa iwe (rasmi) vita baina ya NATO na Urusi,RASMI.
Na Hali hii ikitokea Ukraine wanadhani ndio itakua nafuu kwao ingawa kiukweli Ukraine inaweza ikapotea kabisa.
Ndugu zangu naunga mkono busara za Putin ambazo Kuna baadhi ya Viongozi wa USA wako na busara kama zake,mfano ni Trump.
Vita ya nyukilia sio nzuri jamani.
Kama Kila siku tunavyoongea humu Kila siku kua vita hii sio baina ya Ukraine na Urusi,Bali ni kati ya Urusi na NATO.
Mpaka hapa Urusi ipewe heshima
yake.
Unajua nchi moja kupigana na nchi zote hizo sio jambo Dogo,Tena nchi zenyewe ni nchi za west,ambazo ni tajiri na ze tech ya Hali ya juu sana.
Amin nawaambieni kwa wale ambao mnamuona Putin kama mpole mtakuja kumuona kama mtu muuzaji na katili mno.
Vita ni piga nikupige,wakati wa Urusi wa kutumia nguvu kubwa na kupiga pigo kubwa kwa adui ilikua bado haujafika,nadhani Sasa umefika na tutegemee kuona kile watu mnachotaka.
Watu tunatofautiana kwa busara,Putin anaonesha busara ya Hali ya juu mno,na busara yake inaepusha vita vya Tatu vya Dunia na vita vya kinyukilia.
Nadhani wote mnakubali kua Urusi Ina silaha za maangamizi lkn mmashangaa ni Kwa Nini hataki kuzitumia.
Kila kitu kinaenda kwa hatua,kama angetumia hizo nguvu mnazozitaka mwanzo Kuna wengine mgesema Urusi imezidiwa na Ukraine Hadi imetumia silaha kubwa.
Naamini Urusi itatoa jibu ambalo wote mtabadili hasira zenu.
Hata hivyo hicho walichofanya Ukraine hakita rudisha majimbo yaliyochukuliwa Bali ni kulazimisha Urusi ipige moja kwa moja kwenye nchi za NATO ili Sasa iwe (rasmi) vita baina ya NATO na Urusi,RASMI.
Na Hali hii ikitokea Ukraine wanadhani ndio itakua nafuu kwao ingawa kiukweli Ukraine inaweza ikapotea kabisa.
Ndugu zangu naunga mkono busara za Putin ambazo Kuna baadhi ya Viongozi wa USA wako na busara kama zake,mfano ni Trump.
Vita ya nyukilia sio nzuri jamani.