Zero 2 Hero
JF-Expert Member
- Dec 16, 2012
- 532
- 1,072
Kinachoshangaza Warusi wanachinjwa kwa maelefu kila siku ila Ukraine inazidi kupoteza maeneoWakati huko urusi kwenyewe kukiendelea kuchakazwa
Huko pia kwenye battle field wanazidi kuchinjwa View attachment 3157562
Good analysisNaona watu walitegemea kuwa na majibu usiku wa leo, bit inawezekana hadi hii week inaisha kusiwe na retaliation, sababu huwezi kurupuka na kurusha missile hovyohovyo.
Russia watakuwa wanakusanya data na movement ya command center zinazo coordinate hizi attacks, lauching center, ammo concentration depot, Deployment and rotation point, radar and signal, Logistic and supply and vital energy zinazo support millitary operation.
Issue zio kujibu, ila ni hasara kwa kiwango gani unapeleka kwa adui ili kukata pumzi na uwezo wa kupambana frontline.
Ukraine na west wanategemea majibu within 4 days, ndio maana balozi nyingi zimefungwa hadi wiki ijayo, hii maana yake Ukraine na west wako on guard, radar and tracking pia ziko kwenye high alaert, sambamba na hayo pia watakuwa wamefanya relocation ya silaha muhimu na kuzificha. Nadhani mrusi anakusanya data ya silaha na makombora Ukraine waliyopkea, Expert waliotumika, lauching equipment, joint intelligency centers, depot na njia za usafirishaji ndio ajibu.
Usisahau ni gharama kubwa sana unatumia kuanzia equipment, resource, money na mind kuwa kwenye high alert
Urusi ameshatoa majibu tayari 😍 🤩 😍 🤩Naona watu walitegemea kuwa na majibu usiku wa leo, but inawezekana hadi hii week inaisha kusiwe na retaliation, sababu huwezi kurupuka na kurusha missile hovyohovyo.
Russia watakuwa wanakusanya data na movement ya command center zinazo coordinate hizi attacks, lauching center, ammo concentration depot, Deployment and rotation point, radar and signal, Logistic and supply and vital energy zinazo support millitary operation.
Issue zio kujibu, ila ni hasara kwa kiwango gani unapeleka kwa adui ili kukata pumzi na uwezo wa kupambana frontline.
Ukraine na west wanategemea majibu within 4 days, ndio maana balozi nyingi zimefungwa hadi wiki ijayo, hii maana yake Ukraine na west wako on guard, radar and tracking pia ziko kwenye high alaert, sambamba na hayo pia watakuwa wamefanya relocation ya silaha muhimu na kuzificha. Nadhani mrusi anakusanya data ya silaha na makombora Ukraine waliyopkea, Expert waliotumika, lauching equipment, joint intelligency centers, depot na njia za usafirishaji ndio ajibu.
Usisahau ni gharama kubwa sana unatumia kuanzia equipment, resource, money na mind kuwa kwenye high alert
Hiyo sio reply, bali ku appease public angerUrusi ameshatoa majibu tayari 😍 🤩 😍 🤩
View attachment 3157650
Dnipro huko Ukraine, Russia ameshambulia kwa kutumia ICBM.Hiyo sio reply, bali ku appease public anger
Bado ujachemaRussia ya Nikita Khrushchev au ya Stalin Putin kwa mwenendo wake unadhani angeiweza? Asingeiweza.
Nikita Khrushchev kipindi cha cold War alitungua ndege ya kivita ya US na US wakaufyata.
Baada ya Marekani kuizunguka Cuba na meli za kijeshi Nikita aliamuru meli ya kijeshi ya Russia ipite hivyo hivyo mpaka Marekani alikuwa aniajiuliza tufanyaje sasa?!
Heshima ambayo wenzake wameijinga dhidi ya Russia yeye anaibomoa kizembe sana! Si ajabu kesho kwa mikwara yake atawaambia kitengo cha nuclear kifanye mazoezi ya kujiandaa kwa vita.
Baada ya hapo atabadilisha doctrine yao kuhusu mambo ya nuclear atasaini nyengine. Baada ya hapo ndiyo kashamaliza.
Nilichogundua, Putin si kwamba ana huruma, bali Putin ni dhaifu.
Makamanda wake wengi wa kijeshi walitaka wamalize hii SMO mapema tu ila yeye anajifanya master mind.
Ukweli mchungu huu ila ngoja tuone ila saiv jukwaan anaetamba ni kipanya tuTukubali tukatae, Putin ni dhaifu.
Mwaka 1971 India ilikuwa inavamiwa kijeshi na USA akiwa na mixed allied force.
USA alipeleka 10 ship naval task, the US task force 74. US alienda na carrier yake ambayo ilikuwa the largest nuclear powered carrier in the world with 70 fighter Aircraft.
Muda huo huo UK akapeleka aircraft carrier yake naye!
India wakaenda kuomba msaada Russia!
Russia ikatuma nuclear armed ships na atomic submarines zenye uwezo wa kushambulia umbali usiyopungua 300km.
Ili Russia iweze ku counter meli za kijeshi na carrier za UK na USA, Russia ikafanya jambo la hatari la kujitoa kafara. Wakawazunguka wote ili wawaweke kati kati within their target na wakafanikiwa.
UK na USA wanafika wanakutana mbele na melinza kivita na nyambizi ya Russia ipo mbele!
Wakaamua kugeuza na kuacha kuivamia India.
Russia hii iliyojengwa ndiyo ikawafanya wamagharibi wawe wanafikiri kabla ya kutenda pindi Russia awepo!
Putin huyu hii Russia ya namna hii angeiweza? Sidhani! Kinachombeba anatembelea historia ya wenzake ndiyo inayompa umwamba.
Retaliation inayotakiwa kufanya awe crippled and dont dare againDnipro huko Ukraine, Russia ameshambulia kwa kutumia ICBM.
Nonsense mtu dhaifu hawezi kuongoza urusi kwa zaidi ya miaka 20.Tukubali tukatae, Putin ni dhaifu.
Mwaka 1971 India ilikuwa inavamiwa kijeshi na USA akiwa na mixed allied force.
USA alipeleka 10 ship naval task, the US task force 74. US alienda na carrier yake ambayo ilikuwa the largest nuclear powered carrier in the world with 70 fighter Aircraft.
Muda huo huo UK akapeleka aircraft carrier yake naye!
India wakaenda kuomba msaada Russia!
Russia ikatuma nuclear armed ships na atomic submarines zenye uwezo wa kushambulia umbali usiyopungua 300km.
Ili Russia iweze ku counter meli za kijeshi na carrier za UK na USA, Russia ikafanya jambo la hatari la kujitoa kafara. Wakawazunguka wote ili wawaweke kati kati within their target na wakafanikiwa.
UK na USA wanafika wanakutana mbele na melinza kivita na nyambizi ya Russia ipo mbele!
Wakaamua kugeuza na kuacha kuivamia India.
Russia hii iliyojengwa ndiyo ikawafanya wamagharibi wawe wanafikiri kabla ya kutenda pindi Russia awepo!
Putin huyu hii Russia ya namna hii angeiweza? Sidhani! Kinachombeba anatembelea historia ya wenzake ndiyo inayompa umwamba.
You nailed it pal 💅 🔨Nilichogundua, Putin si kwamba ana huruma, bali Putin ni dhaifu.
Makamanda wake wengi wa kijeshi walitaka wamalize hii SMO mapema tu ila yeye anajifanya master mind.
Unaongea kama umekunywa mataputapu.Putin anasubiriwa afanye kama anajikuna Ili wamgonbanie kama mpira wa kona
Nakubaliana na wewe Mkuu!Retaliation inayotakiwa kufanya awe crippled and dont dare again
Kwani Russia hii ndiyo mara yake ya kwanza kufanya kosa na baadaye kujutia?Nonsense mtu dhaifu hawezi kuongoza urusi kwa zaidi ya miaka 20.
Nakuelewa vizuri sana Mkuu wangu Comrade Hammaz.Mr. Lee Van Cliff, habari zs miaka ndugu yangu!
Unajua Russia anapigana proxy war against the USA directly.
Sababu kuu na maalumu ya SMO ilikuwa ni kuepuka kwa Russia kushambuliwa na western missile moja kwa moja kwenye ardhi yao. Lakini kwa sasa wanapiga moja kwa moja kwenye ardhi ya Russia.
Haya ni mawazo yetu tu tunachangia: Russia inabidi ifikirie tena upya au history will be written for them.
Uko sahihi kabisa Mkuu,wala hujakosea.Naona watu walitegemea kuwa na majibu usiku wa leo, but inawezekana hadi hii week inaisha kusiwe na retaliation, sababu huwezi kurupuka na kurusha missile hovyohovyo.
Russia watakuwa wanakusanya data na movement ya command center zinazo coordinate hizi attacks, lauching center, ammo concentration depot, Deployment and rotation point, radar and signal, Logistic and supply and vital energy zinazo support millitary operation.
Issue zio kujibu, ila ni hasara kwa kiwango gani unapeleka kwa adui ili kukata pumzi na uwezo wa kupambana frontline.
Ukraine na west wanategemea majibu within 4 days, ndio maana balozi nyingi zimefungwa hadi wiki ijayo, hii maana yake Ukraine na west wako on guard, radar and tracking pia ziko kwenye high alaert, sambamba na hayo pia watakuwa wamefanya relocation ya silaha muhimu na kuzificha. Nadhani mrusi anakusanya data ya silaha na makombora Ukraine waliyopkea, Expert waliotumika, lauching equipment, joint intelligency centers, depot na njia za usafirishaji ndio ajibu.
Usisahau ni gharama kubwa sana unatumia kuanzia equipment, resource, money na mind kuwa kwenye high alert
Nakubaliana na wewe kabisa.Russia anauwezo wa kuifuta Marekani kwenye uso wa dunia kwa hiyo usiwaze Russia kupoteza hivi vita.
Mkuu kama unataka tujadili kama washabiki wa Simba na yanga Mimi sitakua tayari,lkn kama unataka tujadili kama watu wenye hofu na uharibifu wa Dunia yetu karibu.Atakaa vikao sana, lakini kuingia kwenye vita ya muda mrefu namna hii kwa kutegemea wingi wa askari, Putin alichemsha sana.
1. Amesababisha vifo vya warusi wengi sana.
2. Amesababisha vifo vya wa ukraine wengi sana.
3. Na sasa more than 100,000 North Koreans wameingizwa kwenye conveyor belt.