LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Naona watu walitegemea kuwa na majibu usiku wa leo, bit inawezekana hadi hii week inaisha kusiwe na retaliation, sababu huwezi kurupuka na kurusha missile hovyohovyo.
Russia watakuwa wanakusanya data na movement ya command center zinazo coordinate hizi attacks, lauching center, ammo concentration depot, Deployment and rotation point, radar and signal, Logistic and supply and vital energy zinazo support millitary operation.
Issue zio kujibu, ila ni hasara kwa kiwango gani unapeleka kwa adui ili kukata pumzi na uwezo wa kupambana frontline.

Ukraine na west wanategemea majibu within 4 days, ndio maana balozi nyingi zimefungwa hadi wiki ijayo, hii maana yake Ukraine na west wako on guard, radar and tracking pia ziko kwenye high alaert, sambamba na hayo pia watakuwa wamefanya relocation ya silaha muhimu na kuzificha. Nadhani mrusi anakusanya data ya silaha na makombora Ukraine waliyopkea, Expert waliotumika, lauching equipment, joint intelligency centers, depot na njia za usafirishaji ndio ajibu.
Usisahau ni gharama kubwa sana unatumia kuanzia equipment, resource, money na mind kuwa kwenye high alert
Good analysis
 
Super power ameshatoa majibu tayari 😍🤩😍🤩
Screenshot_20241121-120813.png
 
Naona watu walitegemea kuwa na majibu usiku wa leo, but inawezekana hadi hii week inaisha kusiwe na retaliation, sababu huwezi kurupuka na kurusha missile hovyohovyo.
Russia watakuwa wanakusanya data na movement ya command center zinazo coordinate hizi attacks, lauching center, ammo concentration depot, Deployment and rotation point, radar and signal, Logistic and supply and vital energy zinazo support millitary operation.
Issue zio kujibu, ila ni hasara kwa kiwango gani unapeleka kwa adui ili kukata pumzi na uwezo wa kupambana frontline.

Ukraine na west wanategemea majibu within 4 days, ndio maana balozi nyingi zimefungwa hadi wiki ijayo, hii maana yake Ukraine na west wako on guard, radar and tracking pia ziko kwenye high alaert, sambamba na hayo pia watakuwa wamefanya relocation ya silaha muhimu na kuzificha. Nadhani mrusi anakusanya data ya silaha na makombora Ukraine waliyopkea, Expert waliotumika, lauching equipment, joint intelligency centers, depot na njia za usafirishaji ndio ajibu.
Usisahau ni gharama kubwa sana unatumia kuanzia equipment, resource, money na mind kuwa kwenye high alert
Urusi ameshatoa majibu tayari 😍 🤩 😍 🤩
Screenshot_20241121-120813.png
 
Russia ya Nikita Khrushchev au ya Stalin Putin kwa mwenendo wake unadhani angeiweza? Asingeiweza.

Nikita Khrushchev kipindi cha cold War alitungua ndege ya kivita ya US na US wakaufyata.

Baada ya Marekani kuizunguka Cuba na meli za kijeshi Nikita aliamuru meli ya kijeshi ya Russia ipite hivyo hivyo mpaka Marekani alikuwa aniajiuliza tufanyaje sasa?!

Heshima ambayo wenzake wameijinga dhidi ya Russia yeye anaibomoa kizembe sana! Si ajabu kesho kwa mikwara yake atawaambia kitengo cha nuclear kifanye mazoezi ya kujiandaa kwa vita.

Baada ya hapo atabadilisha doctrine yao kuhusu mambo ya nuclear atasaini nyengine. Baada ya hapo ndiyo kashamaliza.

Nilichogundua, Putin si kwamba ana huruma, bali Putin ni dhaifu.

Makamanda wake wengi wa kijeshi walitaka wamalize hii SMO mapema tu ila yeye anajifanya master mind.
Bado ujachema
 
Tukubali tukatae, Putin ni dhaifu.

Mwaka 1971 India ilikuwa inavamiwa kijeshi na USA akiwa na mixed allied force.

USA alipeleka 10 ship naval task, the US task force 74. US alienda na carrier yake ambayo ilikuwa the largest nuclear powered carrier in the world with 70 fighter Aircraft.

Muda huo huo UK akapeleka aircraft carrier yake naye!

India wakaenda kuomba msaada Russia!

Russia ikatuma nuclear armed ships na atomic submarines zenye uwezo wa kushambulia umbali usiyopungua 300km.

Ili Russia iweze ku counter meli za kijeshi na carrier za UK na USA, Russia ikafanya jambo la hatari la kujitoa kafara. Wakawazunguka wote ili wawaweke kati kati within their target na wakafanikiwa.

UK na USA wanafika wanakutana mbele na melinza kivita na nyambizi ya Russia ipo mbele!

Wakaamua kugeuza na kuacha kuivamia India.

Russia hii iliyojengwa ndiyo ikawafanya wamagharibi wawe wanafikiri kabla ya kutenda pindi Russia awepo!

Putin huyu hii Russia ya namna hii angeiweza? Sidhani! Kinachombeba anatembelea historia ya wenzake ndiyo inayompa umwamba.
Ukweli mchungu huu ila ngoja tuone ila saiv jukwaan anaetamba ni kipanya tu
 
Tukubali tukatae, Putin ni dhaifu.

Mwaka 1971 India ilikuwa inavamiwa kijeshi na USA akiwa na mixed allied force.

USA alipeleka 10 ship naval task, the US task force 74. US alienda na carrier yake ambayo ilikuwa the largest nuclear powered carrier in the world with 70 fighter Aircraft.

Muda huo huo UK akapeleka aircraft carrier yake naye!

India wakaenda kuomba msaada Russia!

Russia ikatuma nuclear armed ships na atomic submarines zenye uwezo wa kushambulia umbali usiyopungua 300km.

Ili Russia iweze ku counter meli za kijeshi na carrier za UK na USA, Russia ikafanya jambo la hatari la kujitoa kafara. Wakawazunguka wote ili wawaweke kati kati within their target na wakafanikiwa.

UK na USA wanafika wanakutana mbele na melinza kivita na nyambizi ya Russia ipo mbele!

Wakaamua kugeuza na kuacha kuivamia India.

Russia hii iliyojengwa ndiyo ikawafanya wamagharibi wawe wanafikiri kabla ya kutenda pindi Russia awepo!

Putin huyu hii Russia ya namna hii angeiweza? Sidhani! Kinachombeba anatembelea historia ya wenzake ndiyo inayompa umwamba.
Nonsense mtu dhaifu hawezi kuongoza urusi kwa zaidi ya miaka 20.
 
Putin anasubiriwa afanye kama anajikuna Ili wamgonbanie kama mpira wa kona
Unaongea kama umekunywa mataputapu.
Hapa Putin ameonesha kua ni kiongozi Bora kabisa katika sayari hii.
Putin ana silaha za kupiga Kila nchi ya NATO Kwa mara moja,hata kama wakijibu lkn watakua wote wamesha poteza Sasa watamgombania vipi.
Hapa hakuna atakae kaa baadae na kusema tulimshinda Putin.
Hebu fuatilia huko USA watu walivyokerwa na ujinga huu ambao wewe unaona na ujanaja.
Huwezi ukaitisha nyukilia power kama Urusi.
 
Nonsense mtu dhaifu hawezi kuongoza urusi kwa zaidi ya miaka 20.
Kwani Russia hii ndiyo mara yake ya kwanza kufanya kosa na baadaye kujutia?

Nenda kasome history alivyofanya kosa la kususia kikao baraza la usalama umoja wa mataifa halafu nini kilitokea!
 
Mr. Lee Van Cliff, habari zs miaka ndugu yangu!

Unajua Russia anapigana proxy war against the USA directly.

Sababu kuu na maalumu ya SMO ilikuwa ni kuepuka kwa Russia kushambuliwa na western missile moja kwa moja kwenye ardhi yao. Lakini kwa sasa wanapiga moja kwa moja kwenye ardhi ya Russia.

Haya ni mawazo yetu tu tunachangia: Russia inabidi ifikirie tena upya au history will be written for them.
Nakuelewa vizuri sana Mkuu wangu Comrade Hammaz.
Wewe pamoja na Pro Russia wengine natambua hisia zenu,najua hasira zenu na najua maumivi yenu,lkn natofautiana na nyinyi pakubwa kwa nyinyi kutaka Putin ajibu kama mnavyotaka.
Hali mliyonayo nyinyi Iko hata Urusi kwenyewe,Kuna watu wenye hasira Kali wanamuona Putin anawalea sana Ukraine,lkn Amin nawaambia hii vita Viongozi wa USA na NATO wameshakosea hivyo wanataka kumharibia Trump ambae tokea mwanzo alikua anaipinga.
Sasa kwa akili ya kawaida TU Putin kajua dhamira Yao,hivyo hapa inatakiwa busara ya Hali ya juu mno kuihandle Hali hii na ndio Putin anachokifanya.
Hivi si tunaamini kua Urusi ana silaha za nyukilia nyingi kushinda nyukilia zote za NATO kwa pamoja?
Sasa unafikiri anashindwa Nini kuipiga Ukraine?
Anaogopa Nini Sasa,maana anauwezo wa kuipiga nchi yoyote itakayoingilia kuisaidia Ukraine?
Haijalishi hata kama NATO wataingia,lkn anao uwezo wa kurusha makombora ya nyukilia kwa Kila nchi za NATO lkn je unafikiri kwa Nini hataki kujifanyia hivyo Ukraine?
Jibu ni moja TU hekima na busara za kujiingiza Dunia katika janga kubwa kama hili kijinga TU.
Lakini pamoja na busara na hekima hizo uvumilivu hua una mwisho.
Hata Sasa Dunia nzima imeona ujinga huu wa akina Biden kwa chuki zao TU dhidi ya Trump ambae walijaribu kumfanyia Kila figisu ili asiwe Rais ama hata afungwe kabisa njama hizi ziliposhindwa Sasa wanataka wamuachie jumba bovu.
Ujinga huu wa akina Biden umepokelewa kwa hasira Kali sana huko USA na UK ,nimekuja nikiangalia kwa social media baadhi ya raia wamekereka na kuingiwa na hofu na taharuki kua hawako tayari kuingia vita vya nyukilia na Urusi kwa sababu ya Ukraine ambae hata sio NATO.
Kuna hata seneta wanatakankumfanyia impichment Biden na wanasema tokea USA iwepo hajawahi kutokea Rais anaemaliza muda wake kutengeneza janga ili kumuachia Rais ajae kwa kumkomoa.
Mkuu Hammaz nakuhakikishia kua zile nyukilia za Urusi hawakutengeneza matoi ya kufanyaia maonesho,nakuambia kua Urusi akichoka kuvumilia atafanya jambo Dunia itakaa kimya na hakuna atakae mjibu,si USA wala taka taka yoyote ya ulaya.
Haya sio mawazo yangu pekee nafuatilia mojadala ya wataalamu ,maprofesa,waandishi na wachambuzi nguli kama akina Scott Rtter,Col Douglas Macgregor na Turker Curson na wengine,wote wanawaponda sana Biden na yule kibwengo wa UK.wanasema utulivu wa Putin sio uoga ni kwamba anaangalia madhara ya majibu,lkn kwa Hali ilivyo majibu hayako mbali sana Kwa maana tayari uvumilivu umeshawashinda Russia.
Wanasema "Putin is not bluffing ",Biden made mistake,don't poke the bear"
 
Naona watu walitegemea kuwa na majibu usiku wa leo, but inawezekana hadi hii week inaisha kusiwe na retaliation, sababu huwezi kurupuka na kurusha missile hovyohovyo.
Russia watakuwa wanakusanya data na movement ya command center zinazo coordinate hizi attacks, lauching center, ammo concentration depot, Deployment and rotation point, radar and signal, Logistic and supply and vital energy zinazo support millitary operation.
Issue zio kujibu, ila ni hasara kwa kiwango gani unapeleka kwa adui ili kukata pumzi na uwezo wa kupambana frontline.

Ukraine na west wanategemea majibu within 4 days, ndio maana balozi nyingi zimefungwa hadi wiki ijayo, hii maana yake Ukraine na west wako on guard, radar and tracking pia ziko kwenye high alaert, sambamba na hayo pia watakuwa wamefanya relocation ya silaha muhimu na kuzificha. Nadhani mrusi anakusanya data ya silaha na makombora Ukraine waliyopkea, Expert waliotumika, lauching equipment, joint intelligency centers, depot na njia za usafirishaji ndio ajibu.
Usisahau ni gharama kubwa sana unatumia kuanzia equipment, resource, money na mind kuwa kwenye high alert
Uko sahihi kabisa Mkuu,wala hujakosea.
Kwanza Kwa vita hii tumegundua toka mwanzo Urusi hua hakurupuki na Hana mihemko.
Siku zote imekua hivihivi baadae hapa watu watakuja na kuanza kusema Urusi kutumia nguvu kubwa mno.
 
Atakaa vikao sana, lakini kuingia kwenye vita ya muda mrefu namna hii kwa kutegemea wingi wa askari, Putin alichemsha sana.
1. Amesababisha vifo vya warusi wengi sana.
2. Amesababisha vifo vya wa ukraine wengi sana.
3. Na sasa more than 100,000 North Koreans wameingizwa kwenye conveyor belt.
Mkuu kama unataka tujadili kama washabiki wa Simba na yanga Mimi sitakua tayari,lkn kama unataka tujadili kama watu wenye hofu na uharibifu wa Dunia yetu karibu.

Kwa kifupi TU ni kwamba ukifika muda wa "vita kamili kabisa"kati ya NATO na Urusi,ambao kwa jinsi ninavyoona hauko mbali kama busara isipochukua nafasi yake ni kwamba mwanzo hapatatumika kabisa matumizi ya askari wa miguu,mwanzo itakua ni vita vya makombora,na haitachukua masaa mengi yatakua ni makombora ya nyukilia,na hii yote ni kuogopa kuwahiwa na mmojawapo kuteketezwa makombora yake yakiwa bado kwenye hifandhi.
Sasa hebu fikiria Urusi ina makombora 6000 mfano na USA Ina makombora 5000.
Hebu fikiria Tena USA Ina majimbo 50 je unadhani Kila jumbo litapigwa kwa makombora mangapi?
Fikiria na Urusi Ina majimbo 50 ,nayo Kila Jimbo litapigwa na makombora mangapi?
Ijapokua ni ufafanuzi wa ki layman lkn jiulize TU kiwango Cha maangamizi na uharibifu.
Ref.Hiroshima na Nagasaki.
 
Kuongoza mataifa makubwa sio kitu chepesi kama watu wanavyo fikiri.

Maamuzi ya North Korea na Iran hayawezi kuwa sawa na maamuzi ya China na Russia.

Hata kwa nafasi walizonazo Kim na Ayatollah wangekuwa nazo China na Russia wasingefanya maamuzi wanayofanya.
 
Back
Top Bottom