LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Hayo makombora ya icbm hubeba kichwa chenye bomu la nyuklia.

Russia wametuma ujumbe kwa hizo kombora kuwa wakiendelea atazidisha dose.

Cha kuuliza ni je, Ukraine itaendelea kutuma makombora ya atcms na storm shadow?
Ukraine itaachaje kutumia hizo atcms na shadow?Tuko hapa utaona kama wataacha kuzitumia,bila kichapo kitakatifu Ukraine Ni mtoto mtukutu.
 
Hiki ndicho kilichowafanya wapenda damu za watu na vita wakataka Trump asije kufanikiwa.


View: https://vm.tiktok.com/ZMh

WKYsfF/
 
China ilikuwa na sababu kabisa hata za kuweza kuleta mzozo mkali kama vita Taiwan au hata kushambulia ndege ya Pelosi.

Je, watu tunajiuliza kwa nini uchina hawakufanya hivyo zaidi tu waliwaonesha Taiwan kuwa wanaweza kuwazunguka kwa kupitia mazoezi ya kijeshi waliyofanya.

Je, China ni dhaifu ?
Je, tunafikiri ni Xi pekee ndie aliyesema Taiwan isishambuliwe ?
Je, China haina wataalam wa kupima kila hatua watakazo chukua na kuona ni sahihi ama sio sahihi ?

Haya maswali tunaweza pia kujiuliza kuhusu Russia.

Silaha alizonazo Russia zinahitaji kabisa utulivu na Putin kwa kweli mpaka sasa namsifu kwa hilo.

Putin anaweza kukifanya kile anachofanya Netanyahu rahisi tu lakini je, matokeo ya maamuzi yake yupo tayari kuyabeba ? Je, hata marafiki zake watakubali kumkingia kifua ?

Kuwawinda viongozi wa Ukraine hawezi shindwa, kufanya collective punishment kisa kuua askari mmoja au wawili hawezi shindwa, kulipua raia hovyo sehemu mbalimbali na kutunga uongo kujitetea hawezi pia shindwa.

Mambo mengi ya ajabu Putin na jopo lake hawawezi shindwa kuyatolea maamuzi lakini matokeo ya maamuzi hayo ni mabaya sana kwa taswira ya urusi na warusi hata political instability ndani ya Urusi nina hakika lazima itokee na political instability mashariki mwa ulaya lazima itokee hii ni mbaya sana kwa usalama wa Urusi kuliko hata sasa.

Maisha ya Israel na Waisrael kwa kweli ni ya ajabu kisa matendo haya haya sidhani kama putin na warusi watakubali na kufurahi Russia ikiwa hivyo.
 
ma bunker hayatamsaidia, Mabunker ya command posts za vikosi vinavyotaka kukomboa Kursk yamesambaratishwa na storm shadow.

Zelensky ni mkweli, "The missiles will speak for themselves"
Mkuu embu share na sisi hizo taarifa za kuangamizwa command post za Russia,pengine unayo source reliable But Please usituletee source za CNN,SKYNEWS,BBC,VOA etc,hawa ni sehemu kamili ya disinformation na propaganda war ya UKRAINE na NATO hawaaminiki hata kidogo.Navojua mimi storm shadow zimekuwa katika matumizi na jeshi la Ukraine kwa muda mrefu tu,hata daraja la Crimea kuna wakati lilipigwa na storm shadow.
Sitegemei hizi ATACAMS za Ukraine zitaleta mabadiliko ya maana kwenye mizani ya vita.Bado scale iko in favour of RUSSIA.Kibaya nachokihofia kwa raia wa Ukraine wasio na hatia ni athari za mabadiliko ya silaha zitakazotumika na RUSSIA.Sitegemei Russia kutumia Nuklia bali ukubwa na intensity ya mabomu itazidi sana na kusababisha madhara kwa raia wengi.
 
sir if you're using chingili please let me paid for you just one cup there to amina chura mburahati . God bless you
 
Na Mr tom mengine atawapiga hata washirika wake kuhofia yeye anaweza potea alafu wao wa pata mtende ku survive
 
Eee mungu mkuu mwingi wa rehma mwenye kurehemu. Walio shuhudia hiyo miujiza nawahakikishia hata ukiwashikia bunduki hawawizi Tena kurusha kitu Russia
 
Wanajaribu kututoa mchezoni!Wewe kombora linabeba vichwa sita halafu halijazuiliwa na kitu chochote!

Arrest warrants issued for Netanyahu, Gallant and Hamas commander over alleged war crimes​


 
Bibie naona Putin kakupagawisha mpaka unachanganya mafaili🤩😍🤩😍🤩😍
 
naona Putin kakupagawisha mpaka unachanganya mafaili
Mwangalie baba yako alivyochanganyikiwa!

Zelenskyy: Russia has used a new missile that has 'characteristics of ICBM'​

Volodymyr Zelenskyy has claimed that Russia used a "new type" of missile in an attack on Ukraine today.

"Today, our crazy neighbour has once again shown what he really is and how he despises dignity, freedom, and human life in general," Zelenskyy said in a statement.
"He is so afraid that he is already using new missiles," he added.

The Ukrainian leader said the missile was of Russian origin, and that it "has all the characteristics - speed, altitude - of an intercontinental ballistic missile".

 
Sasa kwanza sisi hatutaki hii Achia Dude wambie watu wahame Kyiv wote kuanzia Kesho woote waondoke tumalize ule mji wote shenziii
 
Muulize kwanza hiyo Iran yenyewe lini imepigika!?
 
Hio video narudia Mara kumi kumi bado sielewi hilo bomu linavofanya
Hii kitu imewachanganya sana mpaka wamaemua kuhamisha magoli kwa Netanyahu!


View: https://twitter.com/worldupdates245/status/1859567946768494788
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…