kp kipanya44
JF-Expert Member
- Jun 23, 2022
- 12,971
- 15,248
Nashaur uwaache warusi wauguze maumivu ya super power kushindwa kumlinda mshirika wake na alama yake muhimu.., kwingineko huko front line wanaendelea kuchinjwa 🏃🏃Habari za feontline zinatakiwa haraka .Au ugomvi umesuluhishwa. Tunataka nani kampiga nani acheni ngonjera. Hivi wale machampioni wa habari za feont wameenda wapi
Juzi kwenye mahojiano Babu lavrov alisema majaribio ya silaha hiyo ilikuwa ni alarm kwa watu wa upande wa pili, aliendelea kusema alarms Ile mpaka muda huu imepokelewa kwa tahadhari nzuri ya kukiepuka kikombe cha jahannam.Baada ya Oreshnik na kuranda randa kwa drone juu ya US base kule UK, matumizi ya ATACMS na storm shadow yamekuwa prohibited
Kuna michezo na mipango mingi hatari kwa Binadamu na hizi vita ni kama plan ya kufikia malengoJuzi kwenye mahojiano Babu lavrov alisema majaribio ya silaha hiyo ilikuwa ni alarm kwa watu wa upande wa pili, aliendelea kusema alarms Ile mpaka muda huu imepokelewa kwa tahadhari nzuri ya kukiepuka kikombe cha jahannam.
Nikaunganisha nukta, kwa siku za karibuni mabwana wale hawajarusha hata jiwe mitaa ya URUSI.
nikabaki kucheka na kusikitika.
Hawa wajinga wawili bado wanawasiliana na wao ndio watakaoamua ni lini vita hii itakwisha na kipigo gani kitolewe kwa adui mpuuzi.
🇺🇸 na 🇷🇺 ni wanakharamu.
Huwa nahisi kitu kama hicho.Huwa naamini Urusi na Marekani wanatumiana kuwadhoofisha Ulaya.Kuna muda huu uadui unaona kabisa kama wa mchongo
We ndio kabisa uko mbali na mada za vita yani Russia aongeze wanajeshi milion 10 angekua na uwezo huo angepitisha bakuli kwa kiduku mzee amka usingizini kumekuchaAkili zako ndogo kwani wanajeshi si wataongezeka tu ..vita vikianza 8russi atakuwa na wanajeshi mil10 ndani ya miezi 10 tu ...tena kama mabomu ya nuke yasipo tumika ndiyo itakuwa hivyo
Hii vita bado ipo??? hawachoki tu aiseee.. vita mnapigana mpaka dunia inasahau kama kuna vita mahalii.
Wana wazimuu kwelii.. sema trump akija kusupport inavyotakiwa hii ishu kitawakaa haswaaa inaweza sababisha WW3.
Mkuu tofauti ya hizo nchi za Africa na Syria ni moja,Assad alikua ana maadui wengi mno.usa UK fr,Israel, turkey,saud Arabia,waasi n.k.Nimenusa harufu ya kufanyika kwa biashara kwenye ardhi ya Syria na biashara hiyo imeihusu moja kwa moja Russia.
Russia amepeleka vikosi burkinafaso, Mali, Afrika ya Kati sijui ndio Chad lakini ashindwe kupeleka nguvu kazi kwa Syria.
Haingii akilini.
Leo jioni nimevuta bangi ya kipemba, sipo serious.
View attachment 3172290
Hilo ni shambulizi lililofanyika 28 novemba kwenye mji wa chernomorsk. Huo mzigo ulikuwa unatokea RomaniaBaada ya Oreshnik na kuranda randa kwa drone juu ya US base kule UK, matumizi ya ATACMS na storm shadow yamekuwa prohibited