LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Yaan ww kilaza wa SHULE ZA KATA ujue MTEGO afu KGB WASIJUE??? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwani lengo la kuivamia Iraq lilikua ni kuua magaidi gani?

Huko Iraq si mlisema Sadam Hussein ana silaha za WMD? Mkavamia mkaua watu na kuiharibu nchi lakini mpaka leo hizo silaha za WMD hazikuwahi kuonekana huko!
 
Hasara ipi mkuu, kuna miundombinu iliyoharibiwa URUSI?? Marekani walipoingia SYRIA walipata FAIDA??
 
Mwisho wa siku wataingia ulingoni liwalo na liwe.

 
Hata marekani pamoja na maguvu yake yote hawezi kukubali Russia au China waweke makombora yao ya nuklia Cuba, Haiti, Mexico, au Canada, japo ni nchi huru. Hiyo ni issue ya msingi sana kiusalama usiichukulie kirahisi hivyo.
Okay sawa!
Kwahiyo solution ni kwenda kumpiga na kuiharibu nchi ya mwenzie!? Duh
 
Lakini ukiona wanavyosifiwa hapa na wataalamu ya maswala ya Vita wa Jf utadhani basi tena Ukraine kwa sasa ndiyo basi tena[emoji23]
Mwenzangu wataalamu wa vita wa jf kiboko[emoji16][emoji119][emoji119][emoji119]
 


Baada ya kuona simu zake hazipokelewi na maraisi wote wa Ulaya, rais wa Ukraine 🇺🇦 ametoa wito kwa watu wote wenye mapenzi mema na nchi yake waende kumsaidia.

Hii ni nafasi kwa Watanzania mnaosema bora mzaliwe mbwa Ulaya kuliko binadamu bongo.

Nendeni mkabebe mtutu, hii vita ni fupi sana inaisha ndani ya siku tano tu
 
Norh korea bado wanadunda mpaka leo na vikwazo venu mbuzi
 
Kwa hiyo sasa hivi wana jeshi wa Urusi wanaiba chakula ?
je unakubalia na mm ya kwamba Urusi haijatumia nguvu kubwa sana na ndio maana vifo vya raia ni vichache tofauti na tulivyo tegemea?
Haijatumia hata 20% ya nguvu zake. Na huwezi nitajia operation ambayo Marekani iliwahi kutumia 20% ya nguvu zake. Hata WW2 wakati wengine wametumia nguvu zote na wamepitiliza Marekani alikuwa hana hata mapigano kwake. Hapa nafanya comparison kwa sababu umeanzia kwenye kulinganisha Iraq na Ukraine
 
Hapo hujanipinga umefanya summary ya nilichosema
 
Ila huyu raisi wa Ukraine nimemkubali ni mzalendo hasa,Kagoma kukimbia nchi yake baada ya kupewa ofa na Wamarekani,na alipoona uzushi unasambazwa kwamba eti kakimbia nchi akatoa video kwa kutumia simu akihutubia taifa akiwa mtaani nchini mwake.
 
Kusema kuwa simu zake hazipokelewi ni "kuongeza chumvi". Simu zake zinapokelewa kama kawaida, na anatoa updates za mazungumzo yeye mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…