LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mkuu silaha za Czech Republic sidhani kama zimefika wala kutumika. Hata za Poland zimetolewa jana zitakuwa zimeanza kutumika leo, Urusi wakitoa taarifa hawatoi evidence. At least Ukrainians wanaonesha video clips na picha sometimes.

Ikitokea any International community kama Red Cross ndio tutapata angalau picha ya nani ana casualties nyingi. Russia anaonesha weakness moja kubwa ni supplies na logistics. Akienda frontline harudi nyuma kwahiyo maiti na majeruhi wako uko uko. Hata resupply ya ammunition na chakula hana, wala hatengenezi corridors au pockets kwamba atakuwa anazileta hapo. Hajasecure supply lines maroli ya jeshi yakipita mitaani yanapigwa ambush na raia. Russia vita wameingia juzi ila washaanza kuwa exhausted na walijipanga miezi kibao. Nasema hivi kwa kuwa nalinganisha advancement ya juzi, jana na leo naona washachoka wakati Ukraine ndio wanazidi kupata nguvu. Sijui kama niko sahihi

NB: Wale wanaosema kuhusu Ghost of Kyiv na kills zake dhidi ya Russian Airforce sijathibitisha popote kwahiyo mpaka sasa nauita ni uzushi. Jikinge dhidi ya fake news na propaganda

Russia wanampa kichwa tuu, mara nyingi kwake ambacho kipo ni high spirit regardless how heavy casualties...!!! Tatizo hii vita yake ina different opinion among public tena humo humo Russia , hata Ile spirit na support ya raia kama WW2 haipo ...the same Kwa US against Vietnam or US against Afghanistan...!!!
 
Kama ulimsikia Zelensky alikuwa clear kwamba the aim ya Ukranian amry ni defense sio offensive war maana wanajua hawana resource kupigana offensive war,Wanachokifanya ni kuwasubir Russia infantry wajae target then wanawashambulia,hadi sasa tactick yao ime work 100%,hayo mengine ya kushambulia Moscow unasema wewe,ila Generals wa Ukraine wameshachagua tactic yao 'defensive'.
Halafu punguza hasira Russia watashinda vita ila chamoto lazima wakipate,na pia wataonyesha ulimwengu kwamba russian infantry haipo kama tulivyoaminishwa mwanzo...Hakuna kitu ngumu kama kupigana na mtu mwenye spirit na yuko tiyari kufa kutetea alichonacho,hiki ndio kinawaua warusi
Defensive ni pamoja na offensive,ni mpuuzi tuu nae.

Huna jeshi afu unacheza mchezo wa hatari matokeo yake ndio haya sasa.
 
Russia wanampa kichwa tuu, mara nyingi kwake ambacho kipo ni high spirit regardless how heavy casualties...!!! Tatizo hii vita yake ina different opinion among public tena humo humo Russia , hata Ile spirit na support ya raia kama WW2 haipo ...the same Kwa US against Vietnam or US against Afghanistan...!!!
Hana cha spirit anajivunia nukes tuu kama N.Korea ila hawezi pigana huyo na powers wenye nguvu.

Pia intelligence ndio wako vizuri zaidi otherwise sijaona maajabu..

Ukraine wangekuwa na surface to air missiles za kutosha,vifaru nk wangewanyoosha hao Russia vizuri tuu.
 
Critical assessment! Shida vita ipo nchini Ukraine.... Hii ni rahisi kuachwa madhara makubwa huko manake Hao warusi watakufa wanaolipwa na waliofunzwa kufa. Ukraine watakufa mpaka ombaomba
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa mjinga sana.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ujue humu kuna wapumbavu sana. Eti URUSI imedanganywa na wameshaingia kwenye Mtago. Yaan mtu anayejua haya anaishi kwa MTOGOLE hana hata Jeans ya 50k mwilini. Amesoma shule ya kata na hata hajawahi kuiona hata Beaker ikiwa maabara. URUSI wana kitengo cha usalama KGB na wanauwezo wa kuhack hata uchaguzi wa USA afu useme wameingia vitani bila ANALYSIS this is JOKE.
 
Yangu macho maana kwa jinsi upepo unavyo enda huwenda Putin akapakatwa.

Maana misaada inayo tolewa na yeye ana sua sua **** liza kazi ita mkost

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
huwa hap tu nawaZ walifanya fanyaje calculus zao mana naona kama anaend kupoteza
Waweza kuta wamefanya mkadirio lakini kuapply kwenye field hauko effective by 100% lakini ni lazima wamefanya assesment ya threat.
 
Kumbe walifeli so wanajipanga tena[emoji16],

Komaeni wanangu wa Ukraine.View attachment 2132005
Screenshot_20220226-164034.png

Kuwa makini kuna propaganda nyingi sana Ukraine wanacheza nazo kwenye mitandao.
 
Back
Top Bottom