Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 11,936
- 15,196
Wengine watamlaumu samia na JanuaryNatoa tu angalizo kufuatia hii vita ya Russia na Ukraine ni lazima bei ya Nishati katika soko la dunia itapanda.
Tujiandae kisaikolojia kununua petrol buku 3 na ushee kwa lita jijini Dar es salaam
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Angalia aliyepost hiyo anaitwa Olawusi ni mmatumbi kama sisi. Ka download picha na kuweka.Jamani hii ni kweli? Asee kama ni kweli russia hapana adhibiitiwe mapema hii ni htrView attachment 2131976
Mkuu silaha za Czech Republic sidhani kama zimefika wala kutumika. Hata za Poland zimetolewa jana zitakuwa zimeanza kutumika leo, Urusi wakitoa taarifa hawatoi evidence. At least Ukrainians wanaonesha video clips na picha sometimes.Kuhusu analysis ya uvamizi ilifanyika mapema, definitely! Hata intelligence za US na UK zilisema wazi kabisa kuhusu kuanza kwa uvamizi siku chache zilizopita.
Spirit ya Ukraine katika mapambano ni kubwa sana, so far. Nadhani dunia imeona, hivyo misaada ya kijeshi inayoongezeka si jambo la kushangaza. Silaha za kivita kama anti-tank missiles: British NLAW pamoja na Javelins kutoka Marekani zimesaidia kwa kiasi kikubwa sana kwa sasa dhidi ya vifaru vya Urusi pamoja na helicopters, kulingana na taarifa zilizopo.
Mizinga pamoja na stinger missiles kutoka Czech pamoja na Baltic states pia vimekuwa msaada mkubwa kwao, bila kusahau TB2 drones kutoka Uturuki. Kuna taarifa ya muda si mrefu kuwa nchi takribani 28 zimeridhia na zinapanga kupeleka misaada zaidi zikiwemo silaha.
Kuna taarifa pia kuwa Ukraine imeomba msaada kwa shirika la kimataifa la Msalaba Mwekundu kusaidia kuondoa maelfu ya miili ya wanajeshi wa Urusi kuirudisha nchini Moscow. Kama ni sahihi (kulingana na taarifa ya Naibu Waziri Mkuu), inaonesha resistance iliyofanyika ni kubwa sana.
Hata hivyo, bado ni mapema. Tusubiri tuone kile ambacho kitajiri hapo baadaye!
Gadaf na sadamnawakumbukaNATO na Marekani kama wanaona mbali,Huyu Puttin ni wa kuondolewa madarakani bila kuchelewa vinginevyo kuna siku watajuta.
Putin ameiamsha dunia iliyolala.Jamani hii ni kweli? Asee kama ni kweli russia hapana adhibiitiwe mapema hii ni htrView attachment 2131976
USA alifanya nini Japan? alitumia silaha ya mwisho kubwa kuliko zote.Haijatumia hata 20% ya nguvu zake. Na huwezi nitajia operation ambayo Marekani iliwahi kutumia 20% ya nguvu zake. Hata WW2 wakati wengine wametumia nguvu zote na wamepitiliza Marekani alikuwa hana hata mapigano kwake. Hapa nafanya comparison kwa sababu umeanzia kwenye kulinganisha Iraq na Ukraine
Media zote ni fake wana agenda zao hakuna Media yoyote ina balace kidogo nimeenda Fox news kwa mara ya kwanza wanajitahidi ku report kinachotokea au wanachokiona ila hawa wengine hasa CNN wamekuwa kama TBC tu ndio maana Trump aliwaita fake newsIdadi kubwa ya vyombo vya habari vinavyoripoti kile kinachoendelea katika mapambano ni kutoka Ulaya (ikiwemo Ukraine), pamoja na Marekani.
Vipo kadhaa ambavyo vinaeleza vizuri matukio na mwenendo wa mapigano pande zote. Vyombo vya habari hasa vya Urusi vimekuwa vikiripoti zaidi kuhusu progress ya hiyo "operation" yao.
Mpaka sasa sijaona chombo cha habari cha Urusi kikizungumzia kwa undani madhara yaliyopatikana kwa upande wao kitu ambacho ni tofauti sana na media zingine tunazozifahamu.
Ngoja nikueleweshe Kidogo hapa.Hivi pesa inamchango mkubwa katika stage vita iliyofikia?
ShukranNgoja nikueleweshe Kidogo hapa.
Makampuni ya Kutengeneza Siraha nchini Marekani Kama Reython,Northgrop,Boeing na Mengine yanamilikiwa na watu binafsi Chini ya Sheria ya kudhibiti Siraha ya Marekani.
Kwahiyo,Biden anaposema Anatoa $ 600m kwa ajili ya msaada wa kijeshi kwa Ukraine anamaanisha hivi;
Akipata Hizo pesa atanunua Siraha kutoka kwenye Makampuni ya Marekani,Siraha hizo ndizo hutumwa nchini Ukraine.
Usione Makampuni ya Siraha ya Marekani yanatumia Pesa Nyingi Sana kuwafadhili wagombea Urais na Ubunge nchini Marekani,Kwasababu wanatafuta Influence ya kuuza Siraha. Vita ni faida kwao. Pia,hawawezi kuuza Siraha Popote pale Duniani bila idhini ya Bunge.
Kwahiyo Usifikili Biden ana ghala la Siraha pale Marekani,laa hasha,yeye anatoa fedha za Serikali kununua Siraha kutoka kwenye Makampuni ya Marekani.
Habari ni pesa....Media zote ni fake wana agenda zao hakuna Media yoyote ina balace kidogo nimeenda Fox news kwa mara ya kwanza wanajitahidi ku report kinachotokea au wanachokiona ila hawa wengine hasa CNN wamekuwa kama TBC tu ndio maana Trump aliwaita fake news
Hilo la Chini sio ICBM Tena,Hilo ni Gofu la Injini ya Rocket na Lipo nchini Ukraine. Baada ya Mkataba wa kumaliza Vita vya Dunia,Marekani na USSR walikubaliana kuharibu baadhi ya Siraha za Nyuklia. Moja ni Hilo la Chini lililolala Chini,Liko Makumbusho pale Kiev ambayo ndio ilikuwa Kambi ya Majeshi mengi ya USSR.Jamani hii ni kweli? Asee kama ni kweli russia hapana adhibiitiwe mapema hii ni htrView attachment 2131976
huwa hap tu nawaZ walifanya fanyaje calculus zao mana naona kama anaend kupotezaBado kuna watu wanaamini Russia hajafanya Assesment yoyote kabla ya kuingia Ukrane
Chanzo ni pale jirani yako anawakaribisha watesi wako kwake, wanakuchimba chimba. Sasa dawa kuanza kisago kwa huyo anayewapokeaKwa mtu yeyote anaeweza kunisaidia nn chanzo cha vita inayoendelea kati ya Ukraine na Russia, chimbuko lake hasa limeanzia wap
Hakuna vita bila pesaHivi pesa inamchango mkubwa katika stage vita iliyofikia?
Ndio Mambo yalivyo ndugu. Makampuni Kama Raython na Northgrop wanatamani Vita ziendelee. Kukiwa na Amani watafilisika.Shukran
Hatari sana😆😆Ndio Mambo yalivyo ndugu. Makampuni Kama Raython na Northgrop wanatamani Vita ziendelee. Kukiwa na Amani watafilisika.
Wakati masikini wakifa Vitani Basi Matajiri wanazidi kuongeza ukwasi wao.
We jamaa [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Uongo huo,hajapeleka jeshi lote lakini kala hasara ambayo hakuitegemea.
Ukraine hakuna kitu pale Hata spending ya budget Kati ya Tzn na Ukraine Kwenye Jeshi Tzn tumewazidi..
Yaani migambo wa hesbullah wanawashinda jufyatua rocket hata moja kuingia Russia?
Waasi wa Yemen wa Kihouth wanapigia hadi Riyadh afu hao wapuuzi wa Ukraine hawawezi hata jufyatua rocket moja.