LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Yangu macho maana kwa jinsi upepo unavyo enda huwenda Putin akapakatwa.

Maana misaada inayo tolewa na yeye ana sua sua **** liza kazi ita mkost

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app

Haya ndiyo yalikwa makubaliano kuwa leo mji mkuu wa Ukraine mapambano yasiendelee kwa ajili ya kufanya mazungumzo. Ukraine wamekataa. Operation inaanza muda huu kuanzia sasa.
 
Propaganda tu, vita bado haijapamba moto vifaru vingi namna hiyo waviteketeze?
 
India, Russia, the United States, China, the United Kingdom and France are the only countries that have operational ICBMs.
Nchi zinamiliki ICBM
 
Tsar bomb mnalijua nyie
Wewe jamaa umemeza kaneno kamoja TU. Nenda YouTube uangalie Siraha za Nyuklia alizokuwa Nazo Marekani wakati wa Vita baridi Kabla ya kuziharibu baada ya Mkataba wa Amani na USSR.

1.Atlas

2.Minuteman

3.Titan.

Hayo Makombora yalikuwa hatari Sana,japo inasemekana yaliharibiwa kwenye mkataba wa Amani,lakini nadhani huenda bado Marekani Anayo. Hayo Makombora ni LAND BASED SILOS MISSILE.
 
Urusi wamefikisha mitambo ya kujamm internet na electric shield. Mambo yanazidi kuchangamka
Kwahiyo Hizo Jamming zifanyika wapi? Mapigano yapo Kievu ya Kuviziana,Sasa Hizo Jamming wana Hack RPG ana STINGER MISSILES zinazobebwa Begani?
 
Kama hadi makombora yawekwe karibu ndo waogope maana yake ile zana na majigambo ya kua na makombora ya masafa marefu inakua haina maana.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Lakini mkuu nguvu iliyo tumika Iraq ni kubwa sana kwa sababu usiku wa kwanza wa uvamizi maelfu waliuwa.
 
Vita ilisimama tangu jana.. Putin aliamuru majeshi yake kutosonga mbele baada ya Zelensky kuomba mazungumzo na kusema yupo tayari Ukraine iwe neutral country isiyofungamana na upande wowote.. Putin akasema wakutane Minsk mji mkuu wa Belarus.. Zelensky kakataa anataka Warsaw Poland ambaye hasimu wa Russia.. Baadaye ghafla alipoona mashambulizi yamesita akasitisha mawasiliano.. Putin ameamuru mashambulizi yaendelee.
NA inasemekana huyo Rais ishaondoka Kiev yupo mji wa magharibi mpakani.. Picha anazotoa kuwa eti yupo Kiev inasemekana ni pre recorded... Yaani alizirekodi kabla.
Zinatumika kuhamasisha jeshi na watu wapigane Maana wakijua alishaondoka jeshi Lita surrender..
Inaonekana aliposema anataka mazungumzo Marekani imemzuia.. Maana walimwambia wameshamwandalia namna ya kumuokoa pamoja na hifadhi ili asiachie madaraka. Sasa ukweli utajulikana baadaye.. No one know exactly.
 

Sasa kwanini Putin azipangie nchi nyengine nini wafanye nini wasifanye? hii Dunia ni ya ajabu sana
 
Hii ikitokea wewe utapata faida gani..naona unaandika kwa bashasha..
 
Wamewaua Warusi 3500 dah
Hakuna video. Hakuna picha ya kusapoti taarifa zao zinazoonyesha hayo yanayofanyika.

Mbona leo walivyowakamata wanajeshi wa Chechen 4 kuwatoa ndani ya gari na kuwapiga risasi na kuwaua wameonyesha video yao. Chechen walitoka jana jeshi la askari 1000. Leo 4 wameuuliwa tena muda huu. Iweje hizo za Urusi washindwe kuonyesha video hao askari waliyo waua kwa kiasi hicho wanachokisema?

Ukraine leo asubuhi wamesema Llyushin ndege ya Urusi yenye uwezo wa kubeba wanajeshi 200 wameilipua. Lakini mpaka sasa hivi hakuna picha, hakuna video.

Jana asubuhi ikatangazwa wamelipua ndege SU-27 ya Mrusi kumbe wametungua ndege ya kwao. Kucheki engine ni ndege ya kwao.

Ukraine walionyesha video wamewakamata askari wa jeshi la Urusi na kuonyesha wanawahoji hao mateka. Kuna kitu kinaitwa accent/lafudhi. Lafudhi yao si ya Warusi wana lafudhi ya Kiukraine. Ni maigizo wanafanya.

Zelensky sasa huko twitter anadai meli ya kivita ya Turkey imeizuia meli ya kivita ya Urusi kupita black sea. Lakini mamlaka ya Turkey kwa haraka imejibu muda huu yaani sasa hivi kuwa hiyo taarifa ni ya uongo.



Ukraine kwa sasa hana airforce. Ukraine kwa sasa hana air defensive system. Ukraine hana drone. Ukraine hao hao wameua wanajeshi 3500 wa Urusi kwa siku 2. Amewaua kwa nini? Kwa vifaru?

Ukraine wanafanya propaganda nyingi sana kwenye mitandao ya kijamii ila siwalaumu kwani ni jambo zuri hususani nyakati za vita. Unabusti morali ya raia na wapambanaji wako. Ni psychological warfare. Ni hizi habari Warusi wakizisoma zinawachanganya maandamano yanazidi Urusi na Putin anapata pressure ndani ya nchi kutoka kwa raia. Hapa wamempiga bao Putin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…