LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Rais ana uhakika wa ulinzi. Mambo yakiwa magumu anaondokanani ya nchi na ndege muda wowote.

Pia labda matajiri hawajaiva kama vita vilikuwa na ulazima wakaona wawaachie nchi yao kea muda wanaoona vita fresh.
 
India hawez kuingilia .pia china ana uwadui majiran zake wote kasoro Korea kaskazin.Ujeruman ina Hela anawez nunua gesi kokote Urussi ndo loser ndoman madai yake yame kataliwa na majeshi anarudisha.afu aliyevkwambia Us anauza gesi nani? yaye anazalisha pia nimtumiaj mkibwa kiasi kwamba ana import
sudden, complete cutoff of Russian gas to Europe is unlikely — but if it were to happen, experts warn it would be painful. Another option available to Russia would be to cut off gas exports via pipelines in Ukraine — a move that would notably affect Germany. (Its reliance on Ukraine-based pipelines is part of the reason for its interest in Nord Stream 2.)
With supply drastically affected, Europe's already-high energy prices would likely skyrocket.
"If we will get additional volumes from Norway and from Azerbaijan and from Qatar and from the United States, then we can build up a scenario how to handle the situation that is theoretically possible if we have full disruption of gas flows from Russia," said European Commissioner for Energy Kadri Simson, speaking at a news conference on Tuesday.
One short-term solution is importing liquefied natural gas from countries like Qatar and the U.S. The U.S. has dramatically increased its exports of LNG to Europe in recent years. But experts say that LNG supplies would likely be unable to cover all needs in the case of a complete Russian cutoff.
 
unajua back up ya mrusi kumpiga Hitler aliipata wapi?.
acheni ushabiki wa kishamba US ndiye alitia nguvu upande wa Urusi ndiyo maana habari inasomeka hivyo, asingelifanya hivyo habari ingelikuwa kinyume chake.

unajua Japan aliwai Kalia eneo Urusi kimabavu wakati huo anatawala China, ufiripino, Siberia, Taiwan, Hong Kong,Manchuria.

Japan ndiyo mtabe wa huo ukanda, sio hao wazungu njaaa na wauza Vodka.. Japan ikiwa katika ubora wake akakutana jinamizi...
sasa kamuulize Japan nini kilimfanya asiwe interested na vita hadi LEO? na wana siku mahalum ya kusikitika nchi nzima.
sasa hayo yametokea enzi hizo wakati baadhi ya wazungu wa Urusi wanatumia vibatali majumbani mwao unless uniambie toka wakati huo US walisimama kudeal na sayansi ya nyuklia na mabomy yote kwa ujumla ndiyo nitakubaliana na madai yako kua US ni mchumba tu kwa Urusi.
Asante mkuu Kwa ufafanuzi,kwakweli watu wanaongea tu bila kujua historia.Hitler wakati anavamia urusi alikua anapigana vita nyingi sehemu mbalimbali ulay na pia alishaivamia Hadi ndani ya urusi ila tu masuala ya logistic na baridi yalimkwamisha ila urusi alikula kishasanda
 
Unajua andiko lako linatoa picha gani kuhusu wewe?

1. Mwili wako umejaa makovu na ngeu kila mahala.
2. Huna rafiki anayekuamini ila tu watu wanakuwa na wewe kama kuna kitu wanahitaji kwako.
3. Unaweza kuwanyoa watoto wako vipara siku moja kabla ya harusi waliyondaliwa wasimamie.
4. Mkeo hajumuiki.
5. Hujawahi kuchaguliwa kuwa hata mjumbe wa kamati yoyote maishani mwako.
6. Kwenye mikutano ya jumla kazi yako ni kushambulia meza na wanakujua hivyo wanakuachaga kama ulivyo.
7. Una mahusiano ya mbali sana na hata majirani zako wakati huo huou huweze kuendana na hata ndugu zako wa damu.
8. Unatabia za kufuatilia na kukuza mambo na kwako kila jambo ni kubwa.
10. Uanjiona mpweke lakini ukwlei watu wanakukwepa kwa tabia zako za kupend ligi.
11. Unapenda kusutana kama genge la waimba taarabu.
12. Ni kama mtu umekua bila kupendwa na ukaachwa ujilinde na kujitegemea toka ukiwa umri mdogo, na bahati mbaya ukaishi kwenye mazingira ya visasi na kutokujali wengine.
13. Huamini katika amani na uvumilivu bali ni "Kama mbwai na iwe".
14. Huna sifa za uongozi.
15. Selfish.
16. Katili na hujali maisha ya kesho kwa yeyote.
17 Mihemuko kwa sana.
18. Kilakitu unafanya kwa kujihami na kuthibitisha.
19. Limitations kadhaa.
Pole sana ndugu.
Wingi wa watu, siyo nguvu wala uwezo.
Ngumi si suluhisho la kila changamoto.
Vita haina sura moja.
Hekima ni bora kuliko misuri.
Umeonyesha ni namna gani wewe si mtu sahihi wa kufanya maamuzi mikakati na ndiyo sababu hakuna mtu anayeweza kukuamini kukupa hiyo nafasi.
Chana mwema.
Wewe huna akili kabisa sifa zote hapo ulichoandika hakifanani na mimi hata kidogo
 
Nikukosoe Kidogo.

Ukraine Hana hata Kombora moja la Nyuklia. Baada ya kusambaratika kwa USSR mwaka 1990,Ukraine ilijitenga rasmi na umoja wa Kisoviet na kuwa nchi huru mwaka 1991.

Wakati huo,Ukraine ilikuwa na Makombora ya Nyuklia 1,900 ambayo yalikuwa ni moja ya Siraha za Umoja wa Kisoviet. Ili kupata Uhuru wake kamili,Mkataba Kati ya USA na Russia ulifikiwa na makubaliano yalikuwa Kama ifuatavyo:

1.Ukraine akabidhi Siraha zote za Nyuklia na 90% ya ndege za Kivita na 85% ya Vifaru na 100% ya viwanda vya Kutengeneza Siraha kwa Urusi.

2. Urusi kutoivamia Ukraine na Ukraine kuwa nchi huru dhidi ya uvamizi wa Urusi.

Mwaka 1991 mwezi June ndipo Ukraine akakabidhi Kila Kitu kwa Urusi. Hivi tunavyosema,Ukraine alikuwa Hana hata Ndege moja ya Kivita,Ndio imeanza kununua Siraha za Kivita za zamani za Urusi kutoka Latvia,Bulgaria baada ya Urusi kulinyakua Jimbo la CRIMEA.

Ingelikuwa unayoyasema kwamba Ukraine ina Makombora yake 1900 ya Nyuklia,nadhani Urusi asingelithubutu hata Kurusha Risasi huko Kievu kabisa. Walikuwa wajinga kukubali mikataba ya kwenye makaratasi huku wakikabidhi Siraha zao za Nyuklia kwa Urusi. Now Urusi anajimegea TU maeneo. Mwaka huu washukuru NATO wamejiingiza moja kwa moja kwenye huo mgogoro na hivyo Urusi imeona maji mengi na hasara kubwa endapo watavamia hata Kama wataiteka Ukraine.

North Korea kasaidiwa na Nyuklia mpaka USA kaogopa kumvamia kijeshi,laa sivyo North Korea kungelikuwa ni Moshi wa mabomu TU.

USHAURI.

Kosa kubwa atalokuja kulifanya Iran ni kuacha Mpango wake wa Nyuklia ili aondolewe vikwazo. Iran itabidi ikomae na vikwazo kwa Hali yoyote ile lakini wapate japo Mabomu 10 ya Nyuklia. Huo ndio utakuwa Usalama wa Irani. Si Israel Wala USA atakaye thubutu Kuvamia TAHRAN akijua Kuna NUKES.

Huu umebaki kuwa Ulimwengu wa wenye Nguvu TU. Kama wewe NI udhaifu utabaki kuwa kibaraka wa China,Russia au USA TU.
[emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319][emoji1319]
 
Taifa la Ukraine ni miongoni mwa nchi zinazomiliki silaha za Nyuklia na makombora ya masafa marefu

Ni taifa kubwa tu la watu milioni 45 kulingana na takwimu za mwaka 2020

Jamaa wana silaha za kila aina lakini wanapigwa biti na mrusi wanaufyata

Kila mtu anaijua nguvu ya Putin na Urusi,lakini nachotaka kusema hapa ni kuwa, kama nchi nyingine tusiwe kama Ukraine

Hata kama ni Russia na manguvu yote ukraine alitakiwa akitishiwa kuvamiwa naye aonyeshe misuli ya umwamba

Taifa la watu milioni 45 sio taifa dogo wakuu ni taifa ambalo linaweza kuwa na uwezo wa kutunisha misuli kwa taifa hata lenye watu milioni 300

Sasa wapo milioni 45 wanakua waoga hivyo na wanaonyesha udhaifu mkubwa,jee wangekua milioni 3 au 4 jee?


Taifa la watu milioni 45 mkiamua kuwekeza kwenye jeshi na uwezo mkubwa mnauwezo wa kulitunishia misuli dola lolote hapa ulimwengu, milioni 45 inakutosha kuwa superpower nawe ukatunisha misuli

Na silaha za nyukilia wanazo lakini wamekua watu waoga hivyo?Vita ikitokea Ukraine wakijipanga wakipigana na Russia hata kama mrusi atashinda lakini wangemuachia russia makovu fulani au kumporomosha kiuchumi,kwamba vita viww virefu vya kufa na kupona.

Ukraine anapitwa hadi na nchi kama Israel ambayo ina idadi ndogo lakini wanatunishia misuli madola makubwa,kila kitu ni kujipanga,Israel sio wengi ni nchi ndogo lakini kijeshi wanajitahidi vipi hao ambao wapo milioni 45 na wamejionyesha dhaifu hivyo

Una makombora ya masafa marefu yanayofika Moscow halafu unatishiwa kuvamiwa?Kwanini usitamke wazi kabisa kwamba ukivamiwa utaishambulia Moscow kwa makombora ya masafa marefu?

Hii nchi ni ya ajabu sana....Mimi kwa hili nasimama na Urusi katika huu mgogoro lakini Ukraine wanafeli sana masilaha yote hayo lakini wameshindwa hata kupiga mkwara tena watavamiwa na hawatafanya kitu,hawa jamaa ni useless kabisa

Ukraine hawafai kuigwa
Ni kweli mkuu hata mimi nashangaa,N.K hapo wapo around 20m na Israel around 8m lakini wako vizuri sasa hao mazuzu wanalia Lia kama wajinga.
 
Sio sawa kuwasema Ukraine yenye watu milioni 45 itunishiane msuli na Mrusi wakati nchi yako ina raia milioni 60 lakini wala haiwezi kuthubutu kutunishiana misuli na hata hiyo Ukraine!! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]waache uoga, vita ikianza hakuna wa kupona hata wafanyajw, mybe kwa usalama zaid wakimbilie Afrika ambako hatuna bifu na hao mabwana

huku uswahilin tuwastiri kidogo japo madada zetu kina mwajuma watawafirisi zote wabaki mifuko mitupu
 
Let us close this baseless argument because we won't gain anything out of it, after all none of us is a Russian or Ukrainian.

Those are neighbours in glass houses and neither of them is ready to throw a rock and that's why the belligerent Russians have decided to demobilize peacefully.
heheee sawa MKUU
 
India hawez kuingilia .pia china ana uwadui majiran zake wote kasoro Korea kaskazin.Ujeruman ina Hela anawez nunua gesi kokote Urussi ndo loser ndoman madai yake yame kataliwa na majeshi anarudisha.afu aliyevkwambia Us anauza gesi nani? yaye anazalisha pia nimtumiaj mkibwa kiasi kwamba ana import
kama German angekua nahela kama unavyosema angeagiza gas huko nje kama unavyosema akaachana na ya RUSSIA hvyo mpaka kujengwa hilo bomba maaa yake nikwamba hawezi kununua nje ya RUSSIA ndio maana akajenga bomba na punde anaanza kuuziwa gesi na RUSSIA
kama madai yake yamekataliwa mbna bado hatujaiona UKRAINE ndani ya NATO na kama majeshi yamerudishwa kama unavyodai tumuamini nani kati yako wewe ba US kuhusiana na hayo majeshi
US kwasasa anahio mipango ya kuuza gesi ndio maana anaufanyia figisu mradi wa bomba la NORD 2 ili usifanikiwe ila kwabahati mbaya PUTIN na RUSSIA kwaujumla wanawa out smart US nawatawauzia EU gesi licha yakelele za US zakutaka mpaka kuitia UKRAINE vitani ili tu kuuhujumu mradi wa bomba la gas
 
Asante mkuu Kwa ufafanuzi,kwakweli watu wanaongea tu bila kujua historia.Hitler wakati anavamia urusi alikua anapigana vita nyingi sehemu mbalimbali ulay na pia alishaivamia Hadi ndani ya urusi ila tu masuala ya logistic na baridi yalimkwamisha ila urusi alikula kishasanda
alikua[emoji23][emoji23][emoji23]
waswahili mnakwamia wapi nalugha yenu wenyewe
alikua lakini ndio hakua tena
 
Matajiri wamekimbia akina nyadundo tunahororoja humu. Kushadadia vita.
 
Madhara ya vita hua huwapata watu masikini wasioweza kukimbilia popote...
 
Back
Top Bottom