LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Duh..
Ila Marekani mnafiki sana...
Hakuna jeshi alikopeleka....ule makala wote imebaki vikwazo, vikwazo, vikwazo...
UK anabweka tu ....France macron kimya.

Germany amekuwa mjanja tangu mwanzo...

Vikwazo vinakuumiza na wewe mwenyewe....hivi ni chance kwa CHINA kuchangamka
 
Mrusi hajawahi pigana vita ya maana akashinda, alipigwa Afghanistan aka kimbia, WW2 alijificha kwenye barafu north lole. Ngoja tuone sasa
Nani aliwahi shinda vita Afghanistan isipokuwa Genghis Khan

Uingereza kashindwa vita Mara mbili Tena mara ya pili akidhalilishwa vibaya mno kipindi hicho himaya yake ikiwa inanguvu kubwa sana.

USSR nayo yakamkuta ila yeye hakushindwa bali gharama ya vita ilikuwa kubwa mno akaamua kujitoa na kuiacha serikari iliyokaa kwa miaka mitatu

USA aliingia kilichotokea ni vita ya miaka 20 na Trillion dollar kuteketea na Bado serikari aliyoiweka haikuweza kukataa hata mwezi.

Hiyo vita ya pili bila mrusi Ulaya ingekuwa utumwani
 
Rais Vladmir Putin ameufungua mlango wa vita ambayo itakwenda kuyagharimu maisha ya warusi wengi katika siku za usoni. Vita hii hatapigana na Ukraine peke yake bali itaingiliwa na kila anaefungamana na serikali ya ukraine.

Vikwazo vya kiuchumi vinavyoendelea kuwekwa dhidi ya serikali ya Putin vitakwenda kuyagharimu maisha ya warusi wengi na huu ni mwanzo wa vita kuu ya tatu ya dunia na itasambaa ulaya yote ya mashariki mpaka mashariki ya kati.
Hakuna vita ya tatu ya dunia.

Acheni kujipa hizo hopes.

Hao wananchi watakufa njaa na maisha yataendelea.
 
We jamaa zina beba bombers ambazo hata satellites za urusi haziwezi detect
Duh...niseme tu kwamba nadhani uko nyuma Sana na Mambo ya kijeshi na Vita...yaani bomber ibebwe kwenye Nimitz?!?!
 
Ukraine should just let this one slide, they had many chances to join NATO before but they cowarded out. Now would be a bad time to do it. Imagine all the casualties with the current weapons
484548_c63d5d8448e4065da0c0474967cd0e48.jpg
 
Take it from me, hakuna vita hapo!

Kwa watu wa dini wenye mioyo minyoofu, hiyo ni ishara kubwa sana kwamba sasa uovu wa wanadamu umefikia kikomo kama ilivyokuwa wakati wa Gharika na Sodoma na Gomora.

Mungu yule wa Gharika na Sodoma na Gomora ndiye yule yule ambaye tunaye sasa. Hajabadilika.

Amekuwa na subira kwa muda mrefu, sasa:"Enough is enough "
Bwana asifiwe
 
Rais Vladmir Putin ameufungua mlango wa vita ambayo itakwenda kuyagharimu maisha ya warusi wengi katika siku za usoni. Vita hii hatapigana na Ukraine peke yake bali itaingiliwa na kila anaefungamana na serikali ya ukraine.

Vikwazo vya kiuchumi vinavyoendelea kuwekwa dhidi ya serikali ya Putin vitakwenda kuyagharimu maisha ya warusi wengi na huu ni mwanzo wa vita kuu ya tatu ya dunia na itasambaa ulaya yote ya mashariki mpaka mashariki ya kati.
Unadhani hawakujua kuwa hakutakuwa na vikwazo? Jamaa walijipanga na mipango yao imechukua zaidi ya miaka kumi...unashangaa nchi za magharibi ndizo zitaathirika na vikwazo...
 
Hivi yule tajiri anae imiliki Clabu ya Chelsea Ibramovic yuko wapi na Je ile Club yake wata mnyang'anya au...???

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
huwa ana uraia pacha russia/israel na tayari ameshaukana uraia wa urusi na hufanya hivi mara nyingi pale panakuwa na tafrani ya urusi na nchi za magharibi ila baadae hurudi kuwa mrusi
 
huwa ana uraia pacha russia/israel na tayari ameshaukana uraia wa urusi na hufanya hivi mara nyingi pale panakuwa na tafrani ya urusi na nchi za magharibi ila baadae hurudi kuwa mrusi
Mrusi nae ana wayahudi wa kutosha.............abramovic anajua kucheza karata zake.........shida hapa labda ikatokea israel akizinguana na mrusi....japo ni ngumu sana.......
 
Back
Top Bottom