LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Watu wanaichukulia poa Urusi pia wanadhani Puttin ni Rais wa maneno la haha,Rais Puttin ni mtu hatari na Mzalendo kwa nchi yake! Yupo tayari kwa lolote kuliko kuacha nchi yake ionewe na wapuuzi wa magharibi. Puttin anasema yeye atakayeingilia huu mgogoro basi atakachikipata hakijawahi kutokea katika historia ya maisha yao! Hiyo ni kauli nzito USA kaona kuua askari wake kama Baghdad au Afghanistan hataki tena, kwani kampeni zake nilutoingiza nchhi katika mzozo wowote ambao utasababisha kuawq askari wake!. Kifupi Nuke iliyopo Russia [emoji635] ni nusu ya Nuke zote walizona wamiliko wote wa Nuke! Pia wyanajua mambo yatakapo kuwa magumu Puttin ataIitumia kwa mtu yeyeto yule bila kujali kwani anafahamika kichwa chake kimejaa moshi wa vifaru na risasi sasa mchezee.

Wale timu USA lazima male mapema leo [emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Tatizo lenu ushabiki wa simba na yanga ndio mnauleta kwenye mambo ya msingi kama haya!!hivi kwa akili zako, akili alizo nazo putin ndio wawe nazo viongozi wa NATO, wakiongozwa na USA, nini kitatokea duniani?!!

Labda kama angekuwa akipigana na N.KOREA, wote akili zao ni pipa na mfuniko, lakini kwa ULAYA MAGH., na USA, wao hawawezi kutumia akili hiyo, kwani zitaleta athari kubwa sana duniani kiuchumi, jiulize ni kwanini Urusi alipowekewa vikwazo , kukaibuka wadukuzi wengi sana waliokuwa wakifadhiriwa na serikali ya putin?

Sasa wazungu wao watajua tu jinsi ya kumbana kisayansi tu, Wewe angalia marafiki wote wa urusi, kuna mwenye akili nzuri humo?
USA, ndio UN.
 
Assessment niliyofanya mpaka sasa kwa Russian landing forces, their military gears, troops, tectics nakuhakikishia Russia hana uwezo wa kuvamia Marekani. Labda hiyo Marekani uwe unaisema iliyochorwa kwenye kikaratasi chumbani kwako umeiweka uvunguni mwa kitanda. Poland tu the way walivyo wanaweza mount resistance kwa invading Russian forces. Uturuki hii pekee inaweza zuia landing kama iliyofanyika leo.

Silaha kubwa zilizotumika leo: ukituma Mi-8s na Ka-52s unakutana na MANPADS na short range air defence systems, ukituma tanks ardhini unakutana na Uturuki au Poland wanazo German made Leopard 2 na ATM za kutosha. Ukija na Sukhoi na MiG haziko stealth hata bila ground radar Poland wakinyanyua AWACS mbili tu angani zinatoa mwongozo wa fighters zao kushambulia adui akiingia anga lao. Russia ikitumia artillery, self propelled howitzers na MRLS kama Smerch, Uragan hao members wa NATO karibia wote huwa wana counter battery radars. Kitu pekee ambacho Russia ana edge ni missiles hizo Kalibr zilizotumwa kama 160 hivi. Russian navy ilikuwa na meli zaidi ya 12 baharini na imeteka mji wa Maliupol na navy base ya Ukraine. Meli zinaleta shida kiasi, hakuna ASM za range kubwa ila landing crafts zitazuilika. Kuna nchi kibao hapo zinaweza hold more than a month zikivamiwa na Russia.

Ukraine sio level za Urusi na haina silaha za kutosha, wala sioni kama ina mobilization ya maana, kwanza jeshi ni 160,000 hivi ukiongeza na reserve wasiofika milioni moja. Hata hivyo Ukraine imefanya counter attack mida ya jioni, imepeleka mashambulizi kujaribu kuzuia airports za karibia na mji mkuu kutekwa. Naamini wakishindwa wataweka craters kwenye runways ili ndege za Urusi zisitue hapo.

Siwezi ilinganisha Russian na Marekani, ikitokea vita kati yao doctrine zao zinaonesha kabisa kwamba Russia atakuwa na defensive position na US atakuwa na offensive position. Hatotokea mwanajeshi yeyote wa Urusi aingie ardhi ya Marekani. Kwa mfano atapita wapi na kwa kutumia nini?
Kuhusu nuclear capabilities achana na idadi ya warheads sema nuclear delivery systems, preemptive strike capability na response. Hawazidiani sana idadi ya makombora na hawahitaji kutumia hata robo yake kumaliza vita.

Vita ya Russia vs USA haipo. NATO vs Russia haipo zitakuwepo operations za kuunga mkono au kumpinga third party
 
Kuwa super power, kuna mambo mengi ambayo bado USA, anayo na ataendelea kuwa nayo kwa miaka mingi sana!!!hivi unafikria NATO, na wao wangekuwa na akili za putin, nini kitatokea duniani kwa sasa?!! Kwa miaka hata 20 ijayo bado siioni RUSSIA,wala CHINA kuja kuwa super power, kutokana na kukosa sifa hizi, ushawishi, nguvu ya kiuchumi, nguvu ya kitamaduni.
Mkuu hivi unaona mapinduzi yanayoendelea afrika ya Magharibi kwa jicho la tatu, pale anaye poteza Ushawishi ni ufaransa na anayegain ni Urusi hii vita akishinda kutakuwa na greater geopolitical shift kati ya Urusi na Mmarekani.
Warusi wanalitambua hilo vizuri kabisa
 
Tatizo sisi Wabongo tunapenda ushabiki maandazi, vita Haina maana ni kupoteza watu, nguvumali na pesa Putin Kwa umri alionao Hana Cha kupoteza ila historia itamhukumu kutoka Rais Bora wa Russia Hadi kuifumbukiza kwenye matatizo ya Dunia tuombe uzima tutaona mengi
Historia inamhukumu aliyeshindwa na kumtukuza mshindi

Halafu historia haitokuwa kizazi chetu.

Hata Hitler, Neo Nazis wanamchukulia ni shujaa mkubwa kuwahi kutokea duniani

Na hao Neo nazingome kubwa ipo Ukraine
 
Assessment niliyofanya mpaka sasa kwa Russian landing forces, their military gears, troops, tectics nakuhakikishia Russia hana uwezo wa kuvamia Marekani. Labda hiyo Marekani uwe unaisema iliyochorwa kwenye kikaratasi chumbani kwako umeiweka uvunguni mwa kitanda. Poland tu the way walivyo wanaweza mount resistance kwa invading Russian forces. Uturuki hii pekee inaweza zuia landing kama iliyofanyika leo.
Mkuu umeandika kweli ila kwenye asessment yako umejumlisha S400, S500 na S550
SU 57
T14 ARMATA
 
Assessment niliyofanya mpaka sasa kwa Russian landing forces, their military gears, troops, tectics nakuhakikishia Russia hana uwezo wa kuvamia Marekani. Labda hiyo Marekani uwe unaisema iliyochorwa kwenye kikaratasi chumbani kwako umeiweka uvunguni mwa kitanda. Poland tu the
Toa Ballistic missile, toa Intercontinental missile, hypersonic missile and other strategic weapons, tupe analysis
 
Assessment niliyofanya mpaka sasa kwa Russian landing forces, their military gears, troops, tectics nakuhakikishia Russia hana uwezo wa kuvamia Marekani. Labda hiyo Marekani uwe unaisema iliyochorwa kwenye kikaratasi chumbani kwako umeiweka uvunguni mwa kitanda. Poland tu the way walivyo wanaweza mount resistance kwa invading Russian forces. Uturuki hii pekee inaweza zuia landing kama iliyofanyika leo.

Silaha kubwa zilizotumika leo: ukituma Mi-8s na Ka-52s unakutana na MANPADS na short range air defence systems, ukituma tanks ardhini unakutana na Uturuki au Poland wanazo German made Leopard 2 na ATM za kutosha. Ukija na Sukhoi na MiG haziko stealth hata bila ground radar Poland wakinyanyua AWACS mbili tu angani zinatoa mwongozo wa fighters zao kushambulia adui akiingia anga lao. Russia ikitumia artillery, self propelled howitzers na MRLS kama Smerch, Uragan hao members wa NATO karibia wote huwa wana counter battery radars. Kitu pekee ambacho Russia ana edge ni missiles hizo Kalibr zilizotumwa kama 160 hivi. Russian navy ilikuwa na meli zaidi ya 12 baharini na imeteka mji wa Maliupol na navy base ya Ukraine. Meli zinaleta shida kiasi, hakuna ASM za range kubwa ila landing crafts zitazuilika. Kuna nchi kibao hapo zinaweza hold more than a month zikivamiwa na Russia.

Ukraine sio level za Urusi na haina silaha za kutosha, wala sioni kama ina mobilization ya maana, kwanza jeshi ni 160,000 hivi ukiongeza na reserve wasiofika milioni moja. Hata hivyo Ukraine imefanya counter attack mida ya jioni, imepeleka mashambulizi kujaribu kuzuia airports za karibia na mji mkuu kutekwa. Naamini wakishindwa wataweka craters kwenye runways ili ndege za Urusi zisitue hapo.

Siwezi ilinganisha Russian na Marekani, ikitokea vita kati yao doctrine zao zinaonesha kabisa kwamba Russia atakuwa na defensive position na US atakuwa na offensive position. Hatotokea mwanajeshi yeyote wa Urusi aingie ardhi ya Marekani. Kwa mfano atapita wapi na kwa kutumia nini?
Kuhusu nuclear capabilities achana na idadi ya warheads sema nuclear delivery systems, preemptive strike capability na response. Hawazidiani sana idadi ya makombora na hawahitaji kutumia hata robo yake kumaliza vita.

Vita ya Russia vs USA haipo. NATO vs Russia haipo zitakuwepo operations za kuunga mkono au kumpinga third party

Usiwachukulie poa warusi they are not military slouches as you think.

Hiyo ni story ya zamani, mwaka jana tu waingereza walikuwa na inquiry nuclear submarine yao mpya ilifuatwa na chombo cha Russia kwa masaa kadhaa bila ya wao kujua; walipoona awajagundulika kwa muda mrefu warusi wakawawashia sonar tupo nyuma yenu.

EU kwenye hili ni wachokozi ni sawa na U.S kufikiria tu kuwa rafiki wa karibu na N.Korea achilia mbali kuweka military base; China awezi kuruhusu kirahisi ilo jambo miaka 800.

EU wamesogea kwenye mipaka ya Russia nje ya makubaliano yao mpaka imekuwa too dangerous for comfort kwa upande Russia na bado wanataka waimeze na Ukraine; jamaa washari.
 
[emoji599] Ukraine’s Zelensky: “Today I asked the 27 leaders of Europe whether Ukraine will be in NATO, I asked directly. Everyone is afraid, does not answer. And we are not afraid, we are not afraid of anything.”
 
[emoji599] Ukraine’s Zelensky: “Today I asked the 27 leaders of Europe whether Ukraine will be in NATO, I asked directly. Everyone is afraid, does not answer. And we are not afraid, we are not afraid of anything.”
Any update ya hii vita, mambo yapoje?
 
Ukrainian official says Friday will be "the worst day" of Russian attack, expects airstrikes, landings, penetrations, and encircling - BNO
 
Ujerumani kuna kitu anakiogopa hatujui ni nini [emoji23][emoji23]

The German Chancellor said that cutting off #Russia from the #SWIFT global interbank payment system should not be part of the second #EU sanctions package against Russia.

#Ukraine
#NATO https://t.co/Z45YfPi9Ju
 
Assessment niliyofanya mpaka sasa kwa Russian landing forces, their military gears, troops, tectics nakuhakikishia Russia hana uwezo wa kuvamia Marekani. Labda hiyo Marekani uwe unaisema iliyochorwa kwenye kikaratasi chumbani kwako umeiweka uvunguni mwa kitanda. Poland tu the way walivyo wanaweza mount resistance kwa invading Russian forces. Uturuki hii pekee inaweza zuia landing kama iliyofanyika leo.

Silaha kubwa zilizotumika leo: ukituma Mi-8s na Ka-52s unakutana na MANPADS na short range air defence systems, ukituma tanks ardhini unakutana na Uturuki au Poland wanazo German made Leopard 2 na ATM za kutosha. Ukija na Sukhoi na MiG haziko stealth hata bila ground radar Poland wakinyanyua AWACS mbili tu angani zinatoa mwongozo wa fighters zao kushambulia adui akiingia anga lao. Russia ikitumia artillery, self propelled howitzers na MRLS kama Smerch, Uragan hao members wa NATO karibia wote huwa wana counter battery radars. Kitu pekee ambacho Russia ana edge ni missiles hizo Kalibr zilizotumwa kama 160 hivi. Russian navy ilikuwa na meli zaidi ya 12 baharini na imeteka mji wa Maliupol na navy base ya Ukraine. Meli zinaleta shida kiasi, hakuna ASM za range kubwa ila landing crafts zitazuilika. Kuna nchi kibao hapo zinaweza hold more than a month zikivamiwa na Russia.

Ukraine sio level za Urusi na haina silaha za kutosha, wala sioni kama ina mobilization ya maana, kwanza jeshi ni 160,000 hivi ukiongeza na reserve wasiofika milioni moja. Hata hivyo Ukraine imefanya counter attack mida ya jioni, imepeleka mashambulizi kujaribu kuzuia airports za karibia na mji mkuu kutekwa. Naamini wakishindwa wataweka craters kwenye runways ili ndege za Urusi zisitue hapo.

Siwezi ilinganisha Russian na Marekani, ikitokea vita kati yao doctrine zao zinaonesha kabisa kwamba Russia atakuwa na defensive position na US atakuwa na offensive position. Hatotokea mwanajeshi yeyote wa Urusi aingie ardhi ya Marekani. Kwa mfano atapita wapi na kwa kutumia nini?
Kuhusu nuclear capabilities achana na idadi ya warheads sema nuclear delivery systems, preemptive strike capability na response. Hawazidiani sana idadi ya makombora na hawahitaji kutumia hata robo yake kumaliza vita.

Vita ya Russia vs USA haipo. NATO vs Russia haipo zitakuwepo operations za kuunga mkono au kumpinga third party
Sio kwamba mrusi kaingia vile kutokana na jinsi myukrein alivyo, sasa kama Ukraine haiko imara saana ya nini kutumia miguvu mingi zaidi.. Mrusi aamue kufanya lake kisha mpoland ammzuie, masihara hayo mzee, mtu mwenye nguvu ya kijeshi namba 2 duniani jnamdharau kiasi hiki, acheni ushabiki.
Hilo moja pili, ikitokea vita ya magwiji hayo itakuwa ni piga nikupige, hypersonic missiles za mrusi zitaland kwa mmarekani vizuri tu, mrusi ana makombora ya kupiga popote duniani, ila sema tu vita hii itapiganwa ndani ya urusi, mmarekani atajaribu kuingia na kushambulia kutokea kambi zake za karibu. Ila mrusi atapiga kutokea kwake na sio kuzuia tu, sio Chelsea ya mourinho ile.
 
Back
Top Bottom