Albaab
JF-Expert Member
- Jun 6, 2015
- 1,555
- 2,216
Tizama dakika 35 za mwanzo👆 kuelewa chimbuko la mgogoro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni chuki zake dhidi ya Uislamu tu hamna kingineHuyu jamaa akili hana kabisa aisee
Ukisubiri ajiunge unakuwa unapigana na NATOSasa mbona mpangaji mwenyewe hajapanga nyumba hiyo kwanini uanze kumshambulia?
Ukraine hajajiunga na Nato ila alikuwa na kusudio hilo tu sasa imekuwaje Urusi iishambulie kijeshi wakati hata hajajiunga?
Mlisema hawezi vamia leo mmebadilisha maneno.Game ndio kwanza imeanza na team Russia wanaongoza dhidi ya Kikosi dhaifu.
Naona lengo la Kocha USA ni kusoma mchezo na mbinu za Russia kabla ya kuingiza Kikosi chake cha kwanza(NATO).
Na pasipo shaka Mashabiki wa team NATO watashangilia mwishoni kwa ushindi mkubwa huku kukiwa na hat trick za kutosha. Team Russia itashuka daraja na haitaweza tena kupanda kucheza Ligi ya Mabingwa.
Hahahhaha.. ukraine kwa jinsi ilivyokuwa unstable mrusi anaenda mwongezea maumivu zaid. Unajua ukraine imebomoka kiuchumi kabisa sabab ya chokochoko hiz za kila siku.. sasa imagine jamaa wanakukandamizia misumari zaidOya dingi putin njoo Kuna genius wa Nanjilinji anakupa mawaidha Huku,
Note usiseme hukuambiwa Mimi nakutag tu mkuu Sina ubaya na Wewe Labda mtoa maada Ndio anakukashifu
Et Wewe ni Wuuuu! Wuuuu! Wuuuu!
Mbwa kokoooooooooo!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji91]
Hovyo kabisa hii mifumo ya mavikundi ya wachache kuhodhi Nchi na ku dictate kila kitu..Mkuu viongozi wa nchi za kijamaa mara nyingi hujali matumbo yao/ namna ambavyo wataendelea kutawala kwao hakuna issue za utu. Hiyo russia viongozi wao wameiba pesa wanaenda ficha london na kuwekeza western. Ujamaa na ushetani ni pua na mdomo muda wote viongozi na vyama vya kijamaa huwaza kuendelea kutawala hata watu mamilioni wakifa hawajali.
Kolo 🚮🚮They fighting for their security kama vile America alivyotumia kuivamia Iraqi na Afghanistan
Game ndio kwanza imeanza na team Russia wanaongoza dhidi ya Kikosi dhaifu.
Naona lengo la Kocha USA ni kusoma mchezo na mbinu za Russia kabla ya kuingiza Kikosi chake cha kwanza(NATO).
Na pasipo shaka Mashabiki wa team NATO watashangilia mwishoni kwa ushindi mkubwa huku kukiwa na hat trick za kutosha. Team Russia itashuka daraja na haitaweza tena kupanda kucheza Ligi ya Mabingwa.
We mshenzi upo faster kujibu, yaani nimepost hata sekunde 30 umejibu. Simu yako ina auto reply auMlisema hawezi vamia leo mmebadilisha maneno.
In the age of Nuclear Capabilities hakuna Kidume wa Dunia kuna wajitoa muhanga na Dare Devils...Mbupu kola.🤣
Russia ni kidume cha dunia kama hujui.