gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 2,187
- 2,794
Hebu tutajie ni silaha zipi kubwa mrusi katumia kwenye hii vita? pardon me na ni gharama kubwa kiasi gani katumia in figure i mean how much billions of dollar did he spend? hivi unajua hii ni millitary operation na sio an all out war? hivi unajua lengo la mrusi kwenye hii vita?Mkuu Putin kwa gharama kubwa za maandalizi ya vita alizofanya Putin dhidi ya Ukraine hakuna mtu alietarajia kuwa jamaa angeanza kuomba poo kabla hata ya week.