LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Si unaona hapo wameandika web site yao(MANAZ NET)

Kama iyo uikubali basi nakupa hii ya wikipediaView attachment 2142378
Kumbe akili unazo sasa hayo macho yako mawili makubwa kiasi cha kutosha je huoni tofauti ya izo map mbili hij ya pili ndo ya ukweli na ndo iko kwenye vyombo karibia vyote vya habari iyo nyingine ni ya Wafussia wameibumba ili waonekane wameadvance kumbe hamna kitu

Sasa siku nyingine fanya kwanza uchunguzi kabla ya kupost vitu vya ajabu kama ivi

Mwisho je huoni kuwa jeshi lenu liko pale pale mlipokuwa tangia siku ya mwanzo wa vita yaani ni kama vile mmekwama kwenye magope hakuna advancing yoyote ya maan mlioifanya mpaka sasa zaidi ya kuambaa ambaa apo mipakani mnayopakana na Urusi
 
Hali ya Hewa, terrain na uzoefu wa kivita vinaikwamisha sana Russia... Ukraine wakipata ndege 100 utaona Kila siku watakuwa wanawarudisha Russia nyuma... yaani leo tu wamekomboa mji mmoja
Na ndicho wanachopigania kupata kwa sasa kama.mbadala wa no fly zone

Screenshot_20220307-193042.png
 
Wamogoma kuwaachia kwa sababu nyie watz ni wajinga kupitiliza yaani mwenye nchi ni ukrain ndo ana mamlaka na mandate ya Ardhi ya Ukrain alafu mlivuo mapopo eti mnaenda kuongea na Russia ambaye ni mvamizi na hana mamlaka ndani ya Ukrain eti awaondoe sasa mtu unajiuliza uyo mrussia atapitia wapi mpaka awafikie hao wanafunzi bila kushambulowa na majeshi ya ukrain

Ni lazima serikali ya Tz ijiisalimishe na kuongea na serikali ya ukrain ndo hao wanafunzi wataweza kutoka hapo walipk tofauti na ivyo hawatokaa watoke mpaka hii vita inaisha ama watapigwa mabomu kaMa watu wengine

Sisi watanzania ni watu tusiotumia akili ata kidogo unaweza vip kuongea na uganda ambaye kaivamia tanzAnia na anashikilia mkoa wa kagera eti awaondoe Raia wa south Africa walioko Arusha hii i awezekanaje watz tuwe tunashilikisha mafuvu yetu ya vichw kufikiri na kuchanganua
Umeongea pointi kubwa sana mzee.
 
Aiseee,Russia kimewatokea nn?aibu naona .mie
Mkuu kwenye vita lazima watu wafe, hata Urusi mwenyewe Kakiri kuwa karibia wanajeshi wake 500 wamefariki na ni kitu ambacho kilitarajiwa, ila hakutangaza kabisa ameua wanajeshi wangapi wa Ukrane.

Sema habari nyingi zinazotoka Ukrane mfano hizi za maafa zinatolewa na vyombo vya magharibi ambavyo ant Rusia.

Kikitokea chombo au kurasa ambacho kinarusha maafa ya Wanajeshi wa Ukrane kinafungiwa moja kwa moja.

Kingine wanajeshi wa Urusi hawaruhusiwi kipiga picha na kuzirusha kwa sababu za kiusalama na kupunguza propaganda za kimagharibi..

US na NATO wapo kwenye propaganda kuidanganya Dunia ila Urusi yupo kazini anajua anachokifanya.

Jiulize kwa nini picha za miili ya raia wao hazirushwi japo inatangaza wamekufa maelfu.

Binafsi naamini wanajeshi wa Ukrane wanakufa kwa mamia ila huwezi kuona picha zao, sababu wanaotuletea habari wanachagua za kutilisha kwa maslahi yao.
 
Hapo malengo yatakuwa hayajafanikiwa kama ni hivyo.Hakukuwa na maana ya kwenda kupigana kama unajua mwisho wa siku huwezi kuwacontrol hao uliokuwa unapigana nao baada ya kuwashinda.Watarudi pale pale na malengo yao watayaendeleza.Nilimwelewa member mmoja alicomment hapa,kwa nini Putin hakutumia indirect way ya kuwafitinisha Ukraine wakagombana wao kwa wao ili apenyeze agenda yake kati kati ya mgogoro badala ya hii direct confrotation ambayo kawapa mwanya rahisi mahasimu wake wa kumwadhibu kwa vikwazo.
Ni ngumu kwa sababu kiev inashikiliwa na Neo Nazi wenyewe wanawaita Ultra Nationalist, kundi kama Azov
Hivyo mtu yoyote amabye ana mawazo mbadala anauwawa
 
The first photo from the third round of negotiations between the Russian and Ukrainian delegations.

View attachment 2142281
Warusi wote wazee wenye mawazo ya kizamani ya kutumia mabavu ,upande wa Ukraine ni vijana wa kisasa ,wako kikazi zaidi hakuna cha masuti kama ya hao Wazee.Hapa sitegemei la maana sana kwakuwa Wazee siku zote wako rigid. Frustration msiwe mnaleta hivi vikongwe kwa mazungumzo,vitaturudisha kwa mawazo ya 60"s huko.
 
Wamogoma kuwaachia kwa sababu nyie watz ni wajinga kupitiliza yaani mwenye nchi ni ukrain ndo ana mamlaka na mandate ya Ardhi ya Ukrain alafu mlivuo mapopo eti mnaenda kuongea na Russia ambaye ni mvamizi na hana mamlaka ndani ya Ukrain eti awaondoe sasa mtu unajiuliza uyo mrussia atapitia wapi mpaka awafikie hao wanafunzi bila kushambulowa na majeshi ya ukrain

Ni lazima serikali ya Tz ijiisalimishe na kuongea na serikali ya ukrain ndo hao wanafunzi wataweza kutoka hapo walipk tofauti na ivyo hawatokaa watoke mpaka hii vita inaisha ama watapigwa mabomu kaMa watu wengine

Sisi watanzania ni watu tusiotumia akili ata kidogo unaweza vip kuongea na uganda ambaye kaivamia tanzAnia na anashikilia mkoa wa kagera eti awaondoe Raia wa south Africa walioko Arusha hii i awezekanaje watz tuwe tunashilikisha mafuvu yetu ya vichw kufikiri na kuchanganua
Mkuu una nondooo hadi raha daah.Tungekua na watanzania wenye vichwa kama vyako wengiii
 
Acha propaganda twambie Russia ameachieve nini cha maana mpaka sasa katika hii vita ukiniuliza mimi nitakwambia mpaka sasa Ukrai ndo mshindi maana kaweza kuilinda kwa nguzu zote mipaka ya Ardhi vip kwa Russia mvamizi yeye kagain kipi cha maana kwenye hii vita mpaka sasa
Maadaui wapo ndani ya Taifa lao, halafu unauliza na kusema Ukraine ndio mshindi?
 
Elewa kwamba Yugoslavia ilikuwa ni muungano wa mataifa sita wakati Ukraine ni taifa moja.

Marekani ameshasema litaundwa serikali ya Ukraine ambayo itafanya kazi nje ya nchi na ndio itatambulika kimataifa wakati huo wavamizi wa Russia watakuwa wakimenyana na "Guerrilla Warfare" ndani ya Ukraine.

Scenario itakayokuwepo nchini Ukraine itakuwa kama ile iliyokuwepo kule Afghanistan wakati Marekani akiwa huko.

The Russian invaders won't be given a breathing space and worse enough is that they're not welcome by the locals.
Hata Ukraine si Taifa Moja ila ni muunganiko kati ya watu wenyewe asili ya Urusi, Ukraine, Wageorgia, wapoland, Waromania.

Hasa ugonvi uliopo ni kati ya wamashariki wenyewe asili ya Urusi na watu wenye msimamo mkali juu ya utaifa wao wa Ukraine.

Kumbuka hata mariupol ilikuwa pro Russia kabla ya kupigwa miaka mitano nyuma
 
Fanya research ndo urudi apa tujadili la sivyo nikuache uendelee kulishwa taarifa hewa na Rt
Research hiyo haifanyie wapi?
BBC, CNN, DW au REUTERS [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
Haya ni maneno ya kwenye kanga ila ukija uwanjani warusi wanasonga mbele, wala hakuna hata dalili ya kurudi nyuma.muda sio mrefu tutatangaza umiliki wa kinu cha 3.na kufanya tuwe tuna miliki 75% ya umeme wa ukraine.
Hamkomi tu haya majigambo yenu? Tukija kuwakumbusheni baada ya week moja mtatokwa na povu maana huwa hampendi kukumbushwa mliyoyasema huko nyuma.
 
Lawama zote anazibeba Putin kwa hili la sasa,kasababisha wananchi wake hata hawatumii tena mitandao ya kijamii,wako gizani wamerudi kuishi maishaa ya 60's huko wakisubiria kulishwa propaganda za RT peke yake
Watatumia WeChat na other alternative
 
Hapo malengo yatakuwa hayajafanikiwa kama ni hivyo.Hakukuwa na maana ya kwenda kupigana kama unajua mwisho wa siku huwezi kuwacontrol hao uliokuwa unapigana nao baada ya kuwashinda.Watarudi pale pale na malengo yao watayaendeleza.Nilimwelewa member mmoja alicomment hapa,kwa nini Putin hakutumia indirect way ya kuwafitinisha Ukraine wakagombana wao kwa wao ili apenyeze agenda yake kati kati ya mgogoro badala ya hii direct confrotation ambayo kawapa mwanya rahisi mahasimu wake wa kumwadhibu kwa vikwazo.
Malengo ya Russia yametimia sana ila ya kwako ndio hayajatimia
 
Back
Top Bottom