Putin alikuambia mtegemeo yake kbla hajaivamia Ukraine au sio Bwana Sergei Bazhaiev. Hebu tueleze basi mategemeo yake yalikuwa ni yepi ili na sisi tujionee jinsi amekwenda nje ya hayo mategemeo yake. We si ndio Vladmir Laitanan ambaye ni ADC wa bwana Putin[emoji1787]
Yaani Russia anakwenda kuvamia moja ya mataifa makubwa ulaya tena yenye backup ya NATO & Co. alafu ategemee ngoma itakuwa rahisi!? Ni hisia zako tu zimekupelekea kuhisi kwamba Putin alihisi ngoma itakuwa rahisi au pengine wewe ndio ulihisi kuwa hiyo operation itakuwa rahisi kwa Mrusi. Nikuambie tu hakuna na hakujawahi kuwepo n vita rahisi duniani hapa. Ikishaitwa vita tu lazima iwe ngumu na hili of all people Putin ndio analijua zaidi.
Huwezi kuwa Raisi wa taifa lenye nguvu zaidi za nyuklia duniani na teknolojia ya silaha kwa ujumla, taifa la pili kwa nguvu za kijeshi duniani kwenye njanja zote na hasa military intelligence alafu eti uingie tu vitani kimakosa/bila kijipanga only kwa 'kuhisi' vita itakuwa rahisi. Dunia ya kwanza watu hawaendeshwi kwa hisia kama sisi huku tu mchambawima.
Sent from my SM-A107F using
JamiiForums mobile app