LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Ikumbukwe WWII kutoka mashariki Russia pekee ilikuwa nchi ya kwanza kuingia Germany, huku US , France na UK zikitoka magharibi wakamkuta Russia amepiga kambi tayari Berlin. Hivyo West kutengeneza NATO wanaifahamu siri na nguvu ya Russia kijeshi toka WWII.
Hata kwa upande wangu naona kwenye Historia iliyopo wazi kuna uongo mwingi sana. Yes katika wengi nikiwa mmoja wapo sikuepo enzi hizo lakini kile kilicho andikwa na kinachoendelea sasa kinatia mashaka.

Mfano ukiingia wikipedia, kuna hiki kitu kuhusu WWII,
1000056577.png


Upande wa allies kuna USSR, USA, UK na CHINA ya enzi hizo. Upande wa axis kuna Germany, Japan na Italy. Imeandikwa kwamba "Allies" ndio walikua washindi baada ya miaka hiyo 6 ya vita.

Sasa ilikuaje allies kama UK, US kuungana na "axis" kama Germany na Italy kutengeneza umoja wa kujihami (NATO) against "allies" mwenzao kwa wakati huo ambae ni USSR?

Hapo hapo tena unajiuliza if really allies kama UK na US walikua wanapigana na Unazi, ikawaje sasa makamanda wa kinazi kukimbilia kwe nchi hizo kujificha baada ya vita?

Nachelea kusema history iliyopo na inayosomwa sana sio halisi tena imejaa pumba sana sio kidogo 🤣🤣🤣.
 
Hio movie naisubiri kwa hamu sana.
Je, Zelensky atakaa pale Kyiv akubali akutwe na majeshi ya Russia kama sehemu ya kuonyesha uzalendo na kutokata tamaa?
Kwa sababu akikimbia itakuwa aibu na fedheha,askari walioko vitani watamuona msaliti, kama wengine wamefariki vitani kwa nini yeye akimbie?

Je kutatokea nini Russia wakifika Kyiv? Je NATO itapeleka majeshi, kwa maana tunaona sasa NATO wakiongozwa na France wanapiga mikwara kupeleka askari Ukraine sasa sifahamu wanamtishia Russia ama wanamaanisha naona maji yanazidi unga.

Je NATO watakubali Zelensky waliyemshawishi apambane na Russia akamatwe kama kuku huku wao wakishuhudia, hii nayo ni aibu kwao NATO.

Maswali ni mengi sana nakosa majibu.
Ngoja tusubiri
Haya maswali yako yote jibu ni moja tu.

Marekani haitokaa kamwe iruhusu Urusi ajitwalie ushindi na heshima dhidi yake. Urusi nayo vilevile.

Umoja wa NATO uko tayari kuwatoa kafara watu wote ulimwenguni, ikiwezekana, ilimradi ijaribu kujisitiri aibu.

Kauli za Putin nazo haziko mbali na ukweli huo mchungu.

Maana yake ni nini? Tunaelekea kushuhudia mtukuso wa kijeshi (military showdown) wa namna yake ambao haujawahi kutokea kamwe katika historia ya ulimwengu.

Matokeo? Muda wenyewe utazungumza. Lakini ukweli tuujuao yakini ni kwamba kamwe katu hatakuwepo mshindi--si Marekani wala Urusi!
 
Hata kwa upande wangu naona kwenye Historia iliyopo wazi kuna uongo mwingi sana. Yes katika wengi nikiwa mmoja wapo sikuepo enzi hizo lakini kile kilicho andikwa na kinachoendelea sasa kinatia mashaka.

Mfano ukiingia wikipedia, kuna hiki kitu kuhusu WWII,
View attachment 2980840

Upande wa allies kuna USSR, USA, UK na CHINA ya enzi hizo. Upande wa axis kuna Germany, Japan na Italy. Imeandikwa kwamba "Allies" ndio walikua washindi baada ya miaka hiyo 6 ya vita.

Sasa ilikuaje allies kama UK, US kuungana na "axis" kama Germany na Italy kutengeneza umoja wa kujihami (NATO) against "allies" mwenzao kwa wakati huo ambae ni USSR?

Hapo hapo tena unajiuliza if really allies kama UK na US walikua wanapigana na Unazi, ikawaje sasa makamanda wa kinazi kukimbilia kwe nchi hizo kujificha baada ya vita?

Nachelea kusema history iliyopo na inayosomwa sana sio halisi tena imejaa pumba sana sio kidogo 🤣🤣🤣.
inatafakarisha sana.
 
Haya maswali yako yote jibu ni moja tu.

Marekani haitokaa kamwe iruhusu Urusi ajitwalie ushindi na heshima dhidi yake. Urusi nayo vilevile.

Umoja wa NATO uko tayari kuwatoa kafara watu wote ulimwenguni, ikiwezekana, ilimradi ijaribu kujisitiri aibu.

Kauli za Putin nazo haziko mbali na ukweli huo mchungu.

Maana yake ni nini? Tunaelekea kushuhudia mtukuso wa kijeshi (military showdown) wa namna yake ambao haujawahi kutokea kamwe katika historia ya ulimwengu.

Matokeo? Muda wenyewe utazungumza. Lakini ukweli tuujuao yakini ni kwamba kamwe katu hatakuwepo mshindi--si Marekani wala Urusi!
Hakuna kitakacho tokea!
Mzigo wote ataangushiwa Zelensky. Au ili kuficha aibu yao wanweza wakaruhusu Trump apite aokoe jahazi la aibu kwao. Kisha historia itabaki kumlaumu Trump.
 
Hata kwa upande wangu naona kwenye Historia iliyopo wazi kuna uongo mwingi sana. Yes katika wengi nikiwa mmoja wapo sikuepo enzi hizo lakini kile kilicho andikwa na kinachoendelea sasa kinatia mashaka.

Mfano ukiingia wikipedia, kuna hiki kitu kuhusu WWII,
View attachment 2980840

Upande wa allies kuna USSR, USA, UK na CHINA ya enzi hizo. Upande wa axis kuna Germany, Japan na Italy. Imeandikwa kwamba "Allies" ndio walikua washindi baada ya miaka hiyo 6 ya vita.

Sasa ilikuaje allies kama UK, US kuungana na "axis" kama Germany na Italy kutengeneza umoja wa kujihami (NATO) against "allies" mwenzao kwa wakati huo ambae ni USSR?

Hapo hapo tena unajiuliza if really allies kama UK na US walikua wanapigana na Unazi, ikawaje sasa makamanda wa kinazi kukimbilia kwe nchi hizo kujificha baada ya vita?

Nachelea kusema history iliyopo na inayosomwa sana sio halisi tena imejaa pumba sana sio kidogo 🤣🤣🤣.
Adui wa Adui yako??
 
Mkuu vita ya Ukraine imetufunulia mengi tulivyokua tunadanganywa.
Urusi peke yake inapigana na silaha dhidi ya jeshi linalopewa silaha Bora kabisa kutoka nchi tulizoambiwa ni nchi zenye tech ya Hali ya juu sana ya silaha,yaani nchi zote za west.
Achilia mbali silaha pia Ukraine imekua ikipewa mafunzo Bora kabisa kutoka nchi tulizokua tuliambiwa ni nchi Bora kijeshi hapa duniani,yaani nchi ya USA na NATO yake.
Sio TU silaha Bora na mafunzo Bora,Bali Ukraine imekua ikipata ushauri kutoka Kwa makammanda Bora kabisa wa USA,UK,FR, German NATO wengine.
Lakini muhimu zaidi ambacho Ukraine amekua akipata ni huduma za satellite za kijeshi na za kiraia kutoka nchi zote za west kwa ajili ya kuonesha mienendo ya jeshi la Urusi.
Na zaidi kuliko yote ni huduma za kiintelijensia.
Ukraine imepata faida kubwa sana ya misaada ya intelijensia kutoka mashirika ya kijasusi ya kijeshi na kiraia kutoka nchi zinazosifika katika tasnia hiyo ambazo ni USA,UK, German,fr, na NATO wengine.
Lakini Cha ajabu Urusi peke yake imeweza kuwadhibiti kabisa licha ya misaada yote hiyo.
Dunia inashihudia Yale iliyokua haiyajui.
Kutoka Javelin,Himars…..Abrams,Leopold mpaka Atacms..

Hahahahahaa
 
Ikumbukwe WWII kutoka mashariki Russia pekee ilikuwa nchi ya kwanza kuingia Germany, huku US , France na UK zikitoka magharibi wakamkuta Russia amepiga kambi tayari Berlin. Hivyo West kutengeneza NATO wanaifahamu siri na nguvu ya Russia kijeshi toka WWII.
Lina movie inaitwa spy city, inaonesha wote wamepiga kambi berlin wakijasusiana. Je Russia alifikaje kutokea East??
 
Amekosa shukrani huyu

Ishu iliyopo sio "enough weapons". Ishu ni air superiority

Juzi hapa Russia ametoka kuangamiza silaha kule Odessa, hizi za kifurushi cha $61bil. Pia akapiga train iliyokuwa inaleta silaha.

Sasa kwa namna hii concept ya enough weapons inatokea wapi?

Russia ameshafunga anga kwa satellites na ana monitor every movement. Mkileta silaha anajua movements zake. Sasa hapo unatarajia nini?
Sasa NATO si wafungue hiyo Anga
 
Majeshi ya Russia kuingia mji wa Chasiv Yar muda wowote baada ya kuchukua Adviivka.
Zelensky alishasema mji huu ni ngome isiyoweza kupenyezeka, inasemekana mji huu ni ngome muhimu sana kwa majeshi ya Ukraine.

Kuchukuliwa kwa Chasiv Yar kutapelekea majeshi ya Russia kuingia Kyiv.

Ukrainian Military Intelligence General Bw Skibitsky amesema kuwa itakuwa ni habari mbaya na itakayo waharibu askari wa Ukraine kisaikolojia endapo ngome hio ya Chasiv Yar itaangukia mikononi mwa Russia.
Skinitsky anaeleza kwamba kuna uwezekano kwa majeshi ya Ukraine kusalimu amri/kurudi nyuma endapo tu hakutokuwa na msaada wa vifaa/silaha.

Inasemekana majeshi ya Russia yanakwenda mbele kwa km 20 hadi 25 kila siku.



Ukraine ina hali mbaya sana, jamaa ni kama wanakata tamaa, Russia sio watu poa.
Chasiv Yar inaonekana ni ngome muhimu sana katika kuzuia majeshi ya Russia kuingia Kyiv, lakini inavyoelekea Kyiv inakwenda kuanguka.
Ni suala la muda tu.
Mkuu mbona Chasiv Yar na Kyiv ni mbali sana?! Una uhakika na ulichoandika?
 
Mkuu mbona Chasiv Yar na Kyiv ni mbali sana?! Una uhakika na ulichoandika?
Hapa bila shaka ameenda chaka.
Kuanguka kwa Chasiv Yar kunafungua njia kwa kumshambulia majiji manne yaliyopo upande wa magharibi wa Chasiv Yar.

Ambayo ni Konstanivka, Dughanivka, Kramatorsk na Slovyansk ambayo iwapo yatakombolewa basi vita ya Donbas itakuwa imefikia mwisho.

Kuanguka kwa Chasiv Yar kutaipa pia Urusi nafasi(access) ya kuweza kuona na kumshambulia chochote kwenye huo upande, kwa sababu Chasiv Yar ipo kwenye muinuko.

Ila sio mbaya Tupo nae pamoja.
Uraaa Uraa Uraaaaaa Uraaa
 
Mkuu mbona Chasiv Yar na Kyiv ni mbali sana?! Una uhakika na ulichoandika?
Ndivyo mkuu wa intelligence katika jeshi la Ukraine anasema hivyo.
Ni mji ambao utampa urahisi Russia kuingia Kyiv, ni ngome iliyokubalika sana hadi Zelensky kuiita haipenyezeki.

Nadhani mahesabu yao hio ngome ikichukuliwa basi hakutakuwa na upinzani mkubwa mbeleni, kumbuka Russia wanachotaka ni kuingia Kyiv.

Kumbuka pia Russia ilishafika hadi km 31 karibu kuingia Kyiv 27 february, siku chache tu vita ilipoanza 2022 Feb 24 hapo ni siku kama 3 tu. Bila NATO Ukraine ai chochote.

Chasiv Yar kuwa chini ya Russia ni kurahisisha Russia kuifikia Kyiv kwa urahisi. Usiangalie umbali kwenye ramani bali ni ngome ngumu kupenyezeka. Kumbuka jeshi la Russia kwa kutoa kichapo na kusonga mbele wapo faster, hawana kuremba. Huo umbali wa kawaida tu, kama walitoka Russia hadi karibu na Kyiv kwa siku 3 hapo ni mbali?

Kama walimpiga mjerumani peke yao kutoka mashariki wakafika wa kwanza Berlin unafikiri ni mchezo.
 
Hakuna kitakacho tokea!
Mzigo wote ataangushiwa Zelensky. Au ili kuficha aibu yao wanweza wakaruhusu Trump apite aokoe jahazi la aibu kwao. Kisha historia itabaki kumlaumu Trump.
Watu wanaofanya maamuzi juu ya vita vya Ukreni vs Urusi ni walewale wa majanda ya juu (people from high places).

Wengi watashangaa kujua kwamba malengo yao, ingawa watu hao wako pande mbili zinazohasimiana, ni yaleyale.

Dunia inaelekea katika mfumo wa siasa, jeshi, uchumi na jamii ambao utaamua mapinduzi mapya na tofauti kabisa katika maisha ya mwanadamu.

Ni kana kwamba wakuu hao kutoka pande hasimu wako kwenye kiapo cha kufikia lengo lilelile moja licha ya njia, mbinu na mwonekano unaoweza kukinzana baina yao.

Ni vigumu kuamini kwamba hao ^wachezeshaji^ wakuu wa harakati hizi za siasa za kimataifa hawako katika namna fulani ya masikilizano ambayo yumkini hayafahamiki kwa kundi kubwa la daraja la chini.
 
DEMOKRASIA NI NINI?
JE DEMOKRASIA NDIO MFUMO SAHIHI KULIKO MIFUMO MINGINE?
NINI FAIDA NA HASARA ZA DEMOKRASIA?
DEMOKRASIA ILIANZIA WAPI? (Ugiriki)
JE MAENDELEO NI NINI?
JE KUNA UHUSIANO CHANYA AMA HASI WA DEMOKRASIA NA MAENDELEO? (TOA MIFANO 5 KWA HASI NA 5 KWA CHANYA)
TAJA NCHI 5 ZIFATAZO DEMOKRASIA NA ZINA MAENDELEO
TAJA NCHI 5 ZISIZOFATA DEMOKRASIA NA ZINA MAENDELEO
TAJA NCHI 5 ZIFATAZO DEMOKRASIA NA HAZINA MAENDELEO
TAJA NCHI 5 ZISIZOFATA DEMOKRASIA NA HAZINA MAENDELEO
TAJA MIFUMO MINGINE TOFAUTI NA DEMOKRASIA


View: https://x.com/FunnyWorld1313/status/1786718147644649851
 
Ukrainians with HIV to serve in army
The Defense Ministry in Kiev has explained how medical exemptions will work under new mobilization rules

People with HIV, tuberculosis and cancer, as well as some with substance addictions will be forced to serve in the Ukrainian armed forces, according to new draft rules published by the Defense Ministry on Friday.
Sahizi wameamua kuingiza wagonjwa kabisa 😂
 
Back
Top Bottom