LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Mkuu vita ya Ukraine imetufunulia mengi tulivyokua tunadanganywa.
Urusi peke yake inapigana na silaha dhidi ya jeshi linalopewa silaha Bora kabisa kutoka nchi tulizoambiwa ni nchi zenye tech ya Hali ya juu sana ya silaha,yaani nchi zote za west.
Achilia mbali silaha pia Ukraine imekua ikipewa mafunzo Bora kabisa kutoka nchi tulizokua tuliambiwa ni nchi Bora kijeshi hapa duniani,yaani nchi ya USA na NATO yake.
Sio TU silaha Bora na mafunzo Bora,Bali Ukraine imekua ikipata ushauri kutoka Kwa makammanda Bora kabisa wa USA,UK,FR, German NATO wengine.
Lakini muhimu zaidi ambacho Ukraine amekua akipata ni huduma za satellite za kijeshi na za kiraia kutoka nchi zote za west kwa ajili ya kuonesha mienendo ya jeshi la Urusi.
Na zaidi kuliko yote ni huduma za kiintelijensia.
Ukraine imepata faida kubwa sana ya misaada ya intelijensia kutoka mashirika ya kijasusi ya kijeshi na kiraia kutoka nchi zinazosifika katika tasnia hiyo ambazo ni USA,UK, German,fr, na NATO wengine.
Lakini Cha ajabu Urusi peke yake imeweza kuwadhibiti kabisa licha ya misaada yote hiyo.
Dunia inashihudia Yale iliyokua haiyajui.
Mlipoambiwa Urusi sio Msumbiji mlikuwa mnakaza ubongo miaka mitatu iliopita. Leo hii mmekubali kwamba Russia ndio mkali wa hizi shughuli za mapigano ya kivita.
 
Hapa bila shaka ameenda chaka.
Kuanguka kwa Chasiv Yar kunafungua njia kwa kumshambulia majiji manne yaliyopo upande wa magharibi wa Chasiv Yar.

Ambayo ni Konstanivka, Dughanivka, Kramatorsk na Slovyansk ambayo iwapo yatakombolewa basi vita ya Donbas itakuwa imefikia mwisho.

Kuanguka kwa Chasiv Yar kutaipa pia Urusi nafasi(access) ya kuweza kuona na kumshambulia chochote kwenye huo upande, kwa sababu Chasiv Yar ipo kwenye muinuko.

Ila sio mbaya Tupo nae pamoja.
Uraaa Uraa Uraaaaaa Uraaa
Lakini pia mji wa Chasiv Yar ni sehemu ambapo Ukraine anaanzishia mashambulizi kuipiga Russia. Kama mnakumbuka kabla Russia hajaukaribia mji huo, Ukraine walikuwa wanaishambulia sana Russia katika maeneo yake na yale iliyoyateka. Kwa sasa mashambulizi ya Ukraine kwa Russia yamepungua sana. Hivyo, kuanguka kwa mji huo mikononi mwa Russia kutasababisha Ukraine asiwe na platform ya kumshambulia Russia. Majeshi ya Russia yameapa kuuteka mji huo na kuukabidhi kwa viongozi wao tarehe 09 Mei, 2924 ambayo ndio siku ya sikukuu ya kusherehekea ushindi wa Vita ya Pili ya Dunia dhidi ya Nazis.
 
Ni BUK-M3, jana imezikalisha ATACMS 15, nne kati ya hizo zilikuwa zinaelekea Crimea
8e465167f11b36cf402a737da92cc6ad.png
 
Hapa bila shaka ameenda chaka.
Kuanguka kwa Chasiv Yar kunafungua njia kwa kumshambulia majiji manne yaliyopo upande wa magharibi wa Chasiv Yar.

Ambayo ni Konstanivka, Dughanivka, Kramatorsk na Slovyansk ambayo iwapo yatakombolewa basi vita ya Donbas itakuwa imefikia mwisho.

Kuanguka kwa Chasiv Yar kutaipa pia Urusi nafasi(access) ya kuweza kuona na kumshambulia chochote kwenye huo upande, kwa sababu Chasiv Yar ipo kwenye muinuko.

Ila sio mbaya Tupo nae pamoja.
Uraaa Uraa Uraaaaaa Uraaa
Thank you
 
Naona Jana walipata ahueni kidogo! Ni mianane na sitini tu ndio walilambishwa mchanga!
 

Attachments

  • 1714899388937.jpg
    1714899388937.jpg
    246 KB · Views: 3
Hili hata mimi limenifikirisha,naomba ufafanuzi Chasiv Yar ina kitu gani cha ziada ambacho wengi hatukijui.
Chasiv Yah ni kama ilivyokuwa Avdiivka.ni ukuta wa ulinzi kuelekea miji ya Kramatorsk, Slaviansk ambayo ndo miji ya mwisho kwenye jimbo la Donesk.

Maana yake ikianguka tu hii miji basi Warusi watakuwa wana uwezo wa kushambulia Kharkiv kwa nyuma.kwa iyo itakuwa ngumu kukinga mashambulizi mbele na nyuma.Pia jimbo la Zaphorozhyia nalo itabidi vikosi vya Ukraine kuondoka kwa sababu barabara ya kuingia itakuwa kwenye range ya Warusi.
 
😂😂😂😅😅😅baada ya wagonjwa atapeleka viwete sasa
Viwete tayari walishapelekwa.
Kuna komenti humu ilimuonesha mpigamaji wa Ukraine alievunjika miguu yote miwili,anatumia ya bandia,aliambiwa kua anatakiwa vitani,akajibu kua Hana miguu,imekatika,akaambiwa alete cheti Cha daktari.
Na wote wenye ulemavu wapeleke vyeti vya dakatari.
 
Back
Top Bottom