LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Live coverage on JamiiForums
Nimescreenshoot twiti ya Rais wa Ukrein kuwa mpaka Sasa Kuna casuality ya watu 700000 kwa jeshi la Urusi huku 198000 ndo wamekufa kati Yao.
Ijapokuwa ni taarifa ya upande mmoja lakin ni kigezo kimojawapo Cha wale watu wanaotudanganya hum kuwa wanajeshi wa Urusi zaidi ya laki 7 wamekufa.
Nakala Kwa lipanya namba 44 , also known as kp kipanya44 .
 
kuna siku watatuelewa, subiri mpaka wajinga waondoke na roho ya gerasimov.

RUSSI wamepoteza mtu muhimu sana ila naamini hili litapita kama kawaida.
Watashambulia vyanzo vya nishati kwa siku moja then wanatulia.

Warusi nimewatoa thamani kwenye kulipa kisasi.

Ndugu anayekuletea adui karibu yako huyo ni shetani, putin apunguze utakatifu asiokuwa nao
View attachment 3178977
Muda ni mwalimu mzuri, ipo siku watatuelewa tu!
 
1734528189547.png
 
Mkuu umeongea kwa usahihi sana.Wengi wanataka PUTIN afanye wanayowaza wao kwenye akili zao.Muda umefika sasa mpaka military analyst wa West wamekubali kwamba RUSSIA anapata ushindi mkubwa kwenye uwanja wa vita.Juzi BBC ambalo ni shirika la serikali ya Uingereza limetoa taarifa yao inkionyesha kuwa jeshi la UKRAINE linaelekea kusambaratika wakati wowote, na kwamba RUSSIA is winning.PUTIN hana haja ya kubadili mbinu yake kwa sababu inampa ushindi mkubwa na kupunguza sana idadi ya wanajeshi wake wanaoathirika vitani.Malengo yote ya SMO yanatimizwa kwa nini wapanick.
kama kuna mtu amenipa funzo kwa maisha ni RUSSIA under PUTIN. never be distracted or disrupted if you set your goals. ata Nato watumie long range, terrorism, ata waingie kursk and any other means dont kurupuka na retaliation usahau lengo kuu. be focused always
DEMILITARISATION
DENATONIZATION
DENAZIFICATION
 
kama kuna mtu amenipa funzo kwa maisha ni RUSSIA under PUTIN. never be distracted or disrupted if you set your goals. ata Nato watumie long range, terrorism, ata waingie kursk and any other means dont kurupuka na retaliation usahau lengo kuu. be focused always
DEMILITARISATION
DENATONIZATION
DENAZIFICATION
Huku ni kujifariji tu, Putin kawa mlenda haswa
 
The United States believes that the assistance provided to Ukraine will be sufficient for its defense until the end of 2025, according to State Department spokesman Matthew Miller.

He highlighted that the Biden administration’s military support, combined with ongoing aid, will ensure Ukraine has the resources to continue resisting Russian aggression.

In addition, the U.S. has contributed $20 billion to a special World Bank fund for Ukraine and plans to provide over $440 million to support agriculture, reconstruction, and the broader economy.
 
kuna siku watatuelewa, subiri mpaka wajinga waondoke na roho ya gerasimov.

RUSSI wamepoteza mtu muhimu sana ila naamini hili litapita kama kawaida.
Watashambulia vyanzo vya nishati kwa siku moja then wanatulia.

Warusi nimewatoa thamani kwenye kulipa kisasi.

Ndugu anayekuletea adui karibu yako huyo ni shetani, putin apunguze utakatifu asiokuwa nao
View attachment 3178977
Urusi hawana jipya wanaloweza kufanya.

Hii vita imewaletea fedheha
 
North Korea troops are reportdly facing unexpected struggles with high casualties and poor communication with Russian forces in the Kursk region, likely disrupting coordination between North Korean and Russian personnel and undermining Russian military operations.
The Institute for the Study of War (ISW) said this in a new report, according to Ukrinform.

ISW analysts mentioned a statement issued by the Ukrainian Defense Ministry's Main Intelligence Directorate (HUR) on December 14 that North Korean forces operating in the Kursk region recently fired at Chechen "Akhmat" Spetsnaz battalion vehicles and killed eight Chechen personnel in a friendly fire incident, likely due to the language barrier between the Russian and North Korean forces.
 
Nadhani hii cease fire deal ni mbinu ya usa his allies ya kuisave Ukraine nzima isichukuliwe na mrusi. Mwanzoni walidhani kuwa kwa msaada wanaompa Ukraine angeweza kumzuia Russia besides kumdhoofisha kwenye hii smo yake.
Ila walichosahau ni kuwa, mrusi alikuwa anaihudumia almost Dunia nzima either kwa gesi au mafuta yake. Hii biashara iliimarisha misuli ya Russia kiuchumi kupita fikra zao.
Pia, tangu cold war, Russia alikuwa akijiimarisha kwa kujiandaa kwa vita maana anajua NATO iliundwa kwa theme ya kuja kumuangusha. Ila baada ya vita kuanza, Russia ameongeza uzalishaji wa dhana za kivita, ametengeneza viwanda vipya vya silaha za kivita juu ya kubadilisha viwanda vingine kubadilika kuwa viwanda vya kutengeneza silaha za kivita. So Russia amekuwa na nguvu na hatari kwa sasa kuliko awali.
So in the long run, sio kwamba America anaijali sana Russia hadi kutaka hii vita iishe ili Russia isianguke. Adui wa kwanza wa USA ni Russia. So haiwezekan USA kumsaidia Russia. Amedraft cease fire deal baada ya kuona Ukraine inaenda kuchukuliwa yote na mrusi. Juu ya yote, tumeskia UK wakisema kuwa kwa sasa Russia anauwezo wa kuzalisha silaha nyingi kuliko NATO nzima navyoweza kutengeneza zaidi ya mwaka mzima.
 
Ukweli ni lazima usemwe hata kama unauma! Yale majimbo ndiyo yameenda!

Volodymyr Zelenskyy admits Ukraine cannot remove Russian troops from occupied parts​


Ukraine cannot remove Russian troops from the land they occupy in the east of the country and Crimea, Volodymyr Zelenskyy has admitted.

Thursday 19 December 2024 01:32, UK

 
Wachambuzi wa kimagharibi wanakubali jamaa ameelekea kibla!

Zelenskyy now voicing the reality that's been apparent for a long time​


Mr Zelenskyy has altered his language when describing how the conflict could end and admits his military doesn't have the strength to force the Russians out

For Volodymyr Zelenskyy, he is fast adapting to the new reality his country is facing.

Thursday 19 December 2024 00:31, UK

 

25% of Russian malls may face bankruptcy in 2025​

Approximately one quarter of Russia's shopping centers face pre-bankruptcy conditions and risk closure by 2025, according to reports from industry leaders published by Russian media on Dec. 18.

The forecast comes as Russia faces record-breaking interest and inflation rates amid an ongoing economic crisis.

Representatives from the Russian Council of Shopping Centers (RCSC) said that about 25% of Russia's malls are at risk of closure in the coming year
 
Back
Top Bottom