SPEEDAF Carrier na uhuni wenu wa kitoto mnaotufanyia

SPEEDAF Carrier na uhuni wenu wa kitoto mnaotufanyia

labda kwa Dar lakini huku mikoani ni changamoto, kama mdau mmoja hapo juu alipolalamika kufata mzigo wake nyumbani kwa mtu ana akamkuta na pacel kibao
Tuwape mda mkuu naimana wataboresha huduma zao
 
Wakuu nmenunua kitu AliExpress tarehe 28 Disemba 2022 kwenye akaunti imeaniandika estimated delivery by January 20,ila mpaka leo niki track inaonesha hv..je hapo parcel Itakuwa imefika wapi?na je ikipita hyo tarehe 20 waliyo estimate natakiwa kufanya nn?
IMG_1594.jpg
 

Attachments

  • 8D319546-7DD1-4463-BF13-76891950A120.jpeg
    8D319546-7DD1-4463-BF13-76891950A120.jpeg
    62.7 KB · Views: 40
Wakuu nmenunua kitu AliExpress tarehe 28 Disemba 2022 kwenye akaunti imeaniandika estimated delivery by January 20,ila mpaka leo niki track inaonesha hv..je hapo parcel Itakuwa imefika wapi?na je ikipita hyo tarehe 20 waliyo estimate natakiwa kufanya nn?View attachment 2488130
Chukua hio trackin number kisha track kupitia website ya posta mwa inter .parcel utaona jibu sahihi
 
Wakuu nmenunua kitu AliExpress tarehe 28 Disemba 2022 kwenye akaunti imeaniandika estimated delivery by January 20,ila mpaka leo niki track inaonesha hv..je hapo parcel Itakuwa imefika wapi?na je ikipita hyo tarehe 20 waliyo estimate natakiwa kufanya nn?View attachment 2488130
Nenda posta kachukue goma lako hio ni Bukoba au wapi hapo
 
shipping inategemea upatikanaji wa ndege kwa wahati huo ( au/na aina ya parcel yako, kama ina battery, kemikali flani, etc)

na siyo kwamba ina-ship moja kwa moja mpaka Tz hapana, hua zinaunga unga

mfano: inaweza ship toka China mpaka Singapore, Singapore mpaka Dubai, Dubai mpaka Nairobi, Nairobi mpaka Tz
na kila stop mzigo unakaa siku 1, 2 mpaka tatu au zaidi kusubiria ratiba ya ndege husika


hii ina maana terehe ikivukwa, mzigo wako umepotea (likely), ni tarehe ambayo ikizidi uko na haki ya kudai refund kama hujaupata
Nimepigiwa simu na jamaa.hiv ofisin kwao kiurahis unafikaje?
 
Hello habari wadau wa jukwaa la teknolojia na wanajamiiforum kwa ujumla.
Kutoka na kasi ya maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia si ajabu tena kwa mtu kufanya manunuzi mitandaoni .

Vivyo hivo hata Tanzania kwa sasa idadi ya watu wanaofanya manunuzi hayo imeongezeka maradufu, hasa masoko ya kutoka Uchina(nduguzetu wa damu).

Zimekuepo njia nyingi zitumikazo kusafirisha mizigo kutoka mataifa hayo (Uchina ikiwemo) kwa mda mrefu sasa .Hivi karibu kampuni ya speedaf ilifungua branch Kenya na kua mkombozi huko kwa huduma yao ya door to door delivery lakini uharaka wa mchakato mzima wa kupata mzigo wako toka siku ya manunuzi ulikua ni wa haraka na kuridhisha
Baada ya ujio wao Tanzania tulifurahi sana na kuamini kua nasi sasa tutaendana na kasi ya wenzetu kwani kampuni ile ile imeingia nchini kwetu kutoa huduma zile zile.

La hasha ,vilio vimeanza kusikika kila kona ya nchi yetu .Mizigo inatoka China vizuri, inafika mpka mkoa mhusika ulipo , maagent wanawakabidhi watu wafanye delivery kwa mteja husika ila kimbembe kinaanzia hapa .

1.Mteja hapokei simu ya wito kwa ajili ya kupokea mzigo wake .

2.Ukifuatilia ofisini speedaf unakuta sometimes mzigo ushasaini kua uliiuchukua ilhali haujauchukua wewe mhusika .Meanz agent wa kuleta anajisainia mwenyewe kua kafanya delivery( Kum make zenu tamaa mbaya). Sasa unapoingia kwa seller kudai refund unakuta seller anaevidence inayoonesha kua mzigo umepokelewa na mhusika alieununua.

Sasa kwa hali hii kweli tutafika .Mnafanya huduma nzuri au makampuni mazuri yasije nchini kwa tamaa ndogo ndogo kabisa .

WADAU KAMA SPEEDAF HAWALETI MAREKEBISHO HARAKA,tuanzeni napema kampeni ya kufosi seller kutokutumia hawa speedaf kwani ni hasara kubwa mno tuipatayo wote mnunuzi na muuzaji. Hapa chini naweka ushahidi wa item nisioipokea ila agent uchawara kasign kua umefika na kapita nao kaenda kuhonga kwa demu wake manina
View attachment 2434527View attachment 2434883
Unatumia nguvu kubwa kusolve tatizo dogo.

Chukua tracking number track uzuri speedaf kama mzigo umekuwa signed wanaandika namba ya mtu aliyesign.

Mpigie huyo mtu kama akikukataa then ndio utaanzia hapo.

Acha kuishi gizani mzee.
 
duh, em muwe na uungwana , umethibitisha kabisa mzigo umefika ukawa delivered kwa mtu mwingine bado ukadai 'refund' kweli ? sishangai kwanini baadhi ya sellers hawa ship Tz
IMG_20230218_093641.jpg


Just imagine ameshindwa hata kutrack na kuona taarifa za mtu aliyepokea mzigo wake.

Wanaweka jina na namba kabisa, In such a way akimpigia huyo mtu anaweza kupata mzigo wake.
 
Kosa ni lipi au hujaelewa hoja item ifike posta kwa mfano mtu wa posta ajifanyie delivered mwenyewe , ukienda unaambiwa item yako haijawahi fika hapa na hawaitambui, ungefanya nini kwa mfano
Tracking number ilikuwa inasoma mzigo umekuwa derivered kwa nani?

Kuna vitu umefanya havikuwa na ulazima wa kurudi kwa Supplier wa Aliexpress.
 
Icheleweshwe kupokea mizigo yako wala kupewa bei kubwa kusafirisha mizigo kutoka China-Tanzania kwa Ndege...!
Jiunge nasi ili :
■Uokoe pesa kwa kupewa gharama rahisi za usafirishaji
■Uokoe muda kwa kupata huduma kwa uharaka
■Uwahi soko kwa kupata mizigo yako kwa uharaka.

Extra: Home delivery IPO kwa wateja wa Dar na mikoani utatumiwa...!

Contact:

KARIBU NGOKA EXPRESS AIR CARGO.
IMG-20230208-WA0002.jpg
 
Hakuna seller atakupa refund kwa mzigo ambao unaonesha tayari upo delivered.
Refund unapewa depending na fault ipo wapi hata kama ulishapokea mzigo

Nimepata Refund Juzi kati Hapo..nilipokea mzigo lakini product haifanyi kazi nikadai refund na evidence nikawapa wakarudisha pesa yangu kiroho safi
 
Back
Top Bottom