SPEEDAF Carrier na uhuni wenu wa kitoto mnaotufanyia

SPEEDAF Carrier na uhuni wenu wa kitoto mnaotufanyia

jarib hapa kama ni speedaf courier


ina maana iko njiana, ukifika ndiyo wata update
Mtaalam usichoke.nimejaribu hio link kuingiza track no.naona 12.01.2023 arrived at airport. Swali. Mbona naambiwa expected delivery 12feb.ndege gan inachkua week 4.au wanatuma kwa meli.?
 
Swali. Mbona naambiwa expected delivery 12feb.ndege gan inachkua week 4
shipping inategemea upatikanaji wa ndege kwa wahati huo ( au/na aina ya parcel yako, kama ina battery, kemikali flani, etc)

na siyo kwamba ina-ship moja kwa moja mpaka Tz hapana, hua zinaunga unga

mfano: inaweza ship toka China mpaka Singapore, Singapore mpaka Dubai, Dubai mpaka Nairobi, Nairobi mpaka Tz
na kila stop mzigo unakaa siku 1, 2 mpaka tatu au zaidi kusubiria ratiba ya ndege husika

expected delivery 12feb
hii ina maana terehe ikivukwa, mzigo wako umepotea (likely), ni tarehe ambayo ikizidi uko na haki ya kudai refund kama hujaupata
 
shipping inategemea upatikanaji wa ndege kwa wahati huo ( au/na aina ya parcel yako, kama ina battery, kemikali flani, etc)

na siyo kwamba ina-ship moja kwa moja mpaka Tz hapana, hua zinaunga unga

mfano: inaweza ship toka China mpaka Singapore, Singapore mpaka Dubai, Dubai mpaka Nairobi, Nairobi mpaka Tz
na kila stop mzigo unakaa siku 1, 2 mpaka tatu au zaidi kusubiria ratiba ya ndege husika


hii ina maana terehe ikivukwa, mzigo wako umepotea (likely), ni tarehe ambayo ikizidi uko na haki ya kudai refund kama hujaupata
Mimi naomba mnisaidie namna ya kuwaingiza hawa speedaf kwenye order yangu ili waniletee mzigo.
Mpaka sasa bado sielewi utaratibu wa kufuata mpaka kufikia hatua ya mzigo kusafirishwa
 
Kiuhalisia hawa SPEEDAF kwa suala la speed delivery wapo vizuri, ikiwa wao ndo carrier wanakutumia na email wanakua wanakupa updates...

Tatizo linaanza mzigo ukifika Bongo

1. Hawana Ofisi just incase mwenye mzigo hayupo basi atajua mahali la kuupata (may be wanakwepa kodi).

2. Wanatumia watu wahuni wahuni

3. wanasaini Pacel za wateja (inapunguza usalama wa mizigo), mimi pacel yangu ya kwanza ndo nilisaini, the rest nakuta washasaini wenyewe..sasa wana haraka gani?

4. Unachukua pacel just kwa kutaja jina tu [emoji15] which means ni rahisi kuibiwa mtu akijua umeagiza mzigo.

5. Nimegundua wanawatumia watu walewale wa KIKUU

Nakumbuka pacel yangu ya kwanza kuja na SPEEDAF ilipofika kumbe wakaipaki ofisi za KIKUU, mtu wa kikuu akanitunia txt "kuna mzigo wako ofisi za kikuu fika uuchukue" wala hakufafanua kuwa nfo ule niliagizia aliexpress. Mimi nikapuuzia nikahisi wamejichanganya, halafu huku inaonesha pacel delivered, kwenda posta hamna, ndipo nikapata wazo la kumrudia yule mtu wa KIKUU ndo nikaupata.

Niseme tu kwamba, SPEEDAF boresheni namna ya kufilisha pacel kwa walengwa.
Speedaf ofisi wanayo mkuu
 
copy link, pestia hapa
Nashindwa ku copy link labda kwa sababu natumia app.

Angalia hapa, haioneshi mahala pa kuchagua shipping
Screenshot_20230114-142014.jpg


Au hapa.
Screenshot_20230114-142608.jpg
 
soma comment #66 hapo juu
ni vyema ku-chat na seller na kumuuliza juu ya courier atayemtumia, kama ni speedaf, posta, etc
Do you have a freight forwarder in China?

Hapa mchina namjibu je ili kurahisisha usafirishaji wa parcel mapema
 
Back
Top Bottom