SPEEDAF Carrier na uhuni wenu wa kitoto mnaotufanyia

SPEEDAF Carrier na uhuni wenu wa kitoto mnaotufanyia

ofisi ziko wapi naomba ocation. Asante!!
Kama upo Dar ofisi zao zipo mikocheni migombani Street geti number 165

Kwa nje utaona geti hilo zama ndani ndo kuna ofisi
20230123_140643.jpg
 
Wakuu naomba kuuliza hao speedaf unawaselect vp kwenye shipping method?...maana inakuja aliexpress standard shipping...na je gharama zao zikoje kwa parcel?
 
Wakuu naomba kuuliza hao speedaf unawaselect vp kwenye shipping method?...maana inakuja aliexpress standard shipping...na je gharama zao zikoje kwa parcel?
Chagua hiyo-hiyo standard shipping, AliExpress wenyewe ndo watawatumia hao speedaf

Kama uko Dar Speedaf ni wazuri mzigo wako unafika ndani ya siku 10 tu.

Kwa sisi wa mikoani ni changamoto sana, tunatakiwa tusafiri kwenda Dar kufuata parcels zetu.
 
Wakuu naomba kuuliza hao speedaf unawaselect vp kwenye shipping method?...maana inakuja aliexpress standard shipping...na je gharama zao zikoje kwa parcel?
Kwa experience yangu ukitumia Aliexpress ukalipia na shipping...mzigo wako ukifika unapewa bure haulipii chochote
 
Halafu nilichogundua kuna Kampuni mbili lakini sisi tunatambua moja tu ambayo ni Speedaf

Pale kuna Speedaf na IAEXP...hawa Speedaf ndo Kampuni ya usafirishaji ambao kazi yao ni kusafirisha tu

Ikifika bongo ndo inapokelewa na hao IAEXP ndo wanatukabidhi sisi na kirefu cha hiyo IAEXP ni Inter Africa Express

Maana ukienda pale ofisini kwao unaona Kuna mabango ya IAEXP na sio Speedaf..

Pikipiki zao za delivery zimeandikwa IAEXP na sio Speedaf


Google maps pia Inaonekana IAEXP na sio Speedaf

Speedaf kwa bongo hawana ofisi..ila wana ofisi zao Kenya,Nigeria,Uganda,Egypt na hata ukienda Instagram utaona account zipo active

Kwahyo Mtambue hilo mna deal na Kampuni mbili zinazoshirikiana
 
Halafu nilichogundua kuna Kampuni mbili lakini sisi tunatambua moja tu ambayo ni Speedaf

Pale kuna Speedaf na IAEXP...hawa Speedaf ndo Kampuni ya usafirishaji ambao kazi yao ni kusafirisha tu

Ikifika bongo ndo inapokelewa na hao IAEXP ndo wanatukabidhi sisi na kirefu cha hiyo IAEXP ni Inter Africa Express

Maana ukienda pale ofisini kwao unaona Kuna mabango ya IAEXP na sio Speedaf..

Pikipiki zao za delivery zimeandikwa IAEXP na sio Speedaf


Google maps pia Inaonekana IAEXP na sio Speedaf

Speedaf kwa bongo hawana ofisi..ila wana ofisi zao Kenya,Nigeria,Uganda,Egypt na hata ukienda Instagram utaona account zipo active

Kwahyo Mtambue hilo mna deal na Kampuni mbili zinazoshirikiana
Habar mkuu.hivi nimeagiza vitu nashkuru awamu iliopita nilipata mzigo.ila sasa awamu hii kuna mzigo code yake inaanza na sy.inakuwa wanasema SUNYOU. Hawa jamaa code zao vip nawapata je.
 
Habar mkuu.hivi nimeagiza vitu nashkuru awamu iliopita nilipata mzigo.ila sasa awamu hii kuna mzigo code yake inaanza na sy.inakuwa wanasema SUNYOU. Hawa jamaa code zao vip nawapata je.
Kama Tracking number haianzii na Tz.....basi hao sio Speedaf ni Shipping company nyingine

Kwa Experience yangu hao Sunyou ni Courier(Shipping company) ila hao hawafanyi kazi na IAEXP ambayo kwa hapa bongo imezoeleka kama Speedaf

Kwahyo hao mzigo wako wataupeleka Shirika la posta ndo utaukuta huko
 
Kama Tracking number haianzii na Tz.....basi hao sio Speedaf ni Shipping company nyingine

Kwa Experience yangu hao Sunyou ni Courier(Shipping company) ila hao hawafanyi kazi na IAEXP ambayo kwa hapa bongo imezoeleka kama Speedaf

Kwahyo hao mzigo wako wataupeleka Shirika la posta ndo utaukuta huko
Duh.si ndio kuibiwa huko tena.
 
Eleza tatizo... Shida inaweza kuwa ipo kwako
March nilipigiwa simu saa 12 asbh wanauliza napatikana wapi. Nikawaelekeza kwangu ila nikawaambia kuanzia saa 2 asbh nakuwa ofisini (nikawaelekeza). Wakasema wataleta ofisini.

Ajabu saa 1 asbh wananipigia eti wameacha mzigo salon iko mtaa wa jirani na wa ofisi yangu. Ghafla app inaonesha nimepokea mzigo.

Kwenda salon jamaa hanijui, haniulizi ID, ananiambia nipekue kwenye draw nichukue mizigo yangu coz jamaa kaacha ya wateja kama wanne. Nikamuuliza kama yeye ni agent, hapana. Kamuomba tu amuchie. Baada ya kuchukua yangu nikamzuga jamaa wa saloon kuwa kuna parcel ina jina la jamaa yangu, nimchukulie. Kajibu sawa tu. Nikaiacha.

Sasa hivi wana wiki wamekaa na parcel yangu.
 
March nilipigiwa simu saa 12 asbh wanauliza napatikana wapi. Nikawaelekeza kwangu ila nikawaambia kuanzia saa 2 asbh nakuwa ofisini (nikawaelekeza). Wakasema wataleta ofisini. Saa 1 asbh wananipigia eti wameacha mzigo salon iko mtaa wa jirani na wa ofisi yangu. Ghafla mtandao unaonesha nimepokea mzigo.

Kwenda salon jamaa hanijui, haniulizi ID, ananiambia nipekue kwenye draw nichukue mizigo yangu coz jamaa kaacha ya wateja kama wanne. Nikamuuliza kama yeye ni agent, hapana. Kamuomba tu amuchie. Baada ya kuchukua yangu nikamzuga jamaa wa saloon kuwa kuna parcel ina jina la jamaa yangu, nimchukulie. Kajibu sawa tu. Nikaiacha.

Sasa hivi wana wiki wamekaa na parcel yangu.
Wachina wanajitahidi sana kufanya kazi yao. Watanzania ndio wanakuja kuvuruga
 
Back
Top Bottom