Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Tuwape mda mkuu naimana wataboresha huduma zaolabda kwa Dar lakini huku mikoani ni changamoto, kama mdau mmoja hapo juu alipolalamika kufata mzigo wake nyumbani kwa mtu ana akamkuta na pacel kibao
Chukua hio trackin number kisha track kupitia website ya posta mwa inter .parcel utaona jibu sahihiWakuu nmenunua kitu AliExpress tarehe 28 Disemba 2022 kwenye akaunti imeaniandika estimated delivery by January 20,ila mpaka leo niki track inaonesha hv..je hapo parcel Itakuwa imefika wapi?na je ikipita hyo tarehe 20 waliyo estimate natakiwa kufanya nn?View attachment 2488130
Nenda posta kachukue goma lako hio ni Bukoba au wapi hapoWakuu nmenunua kitu AliExpress tarehe 28 Disemba 2022 kwenye akaunti imeaniandika estimated delivery by January 20,ila mpaka leo niki track inaonesha hv..je hapo parcel Itakuwa imefika wapi?na je ikipita hyo tarehe 20 waliyo estimate natakiwa kufanya nn?View attachment 2488130
Chukua hio trackin number kisha track kupitia website ya posta mwa inter .parcel utaona jibu sahihi
Nenda posta kachukue goma lako hio ni Bukoba au wapi hapo
Nimepigiwa simu na jamaa.hiv ofisin kwao kiurahis unafikaje?shipping inategemea upatikanaji wa ndege kwa wahati huo ( au/na aina ya parcel yako, kama ina battery, kemikali flani, etc)
na siyo kwamba ina-ship moja kwa moja mpaka Tz hapana, hua zinaunga unga
mfano: inaweza ship toka China mpaka Singapore, Singapore mpaka Dubai, Dubai mpaka Nairobi, Nairobi mpaka Tz
na kila stop mzigo unakaa siku 1, 2 mpaka tatu au zaidi kusubiria ratiba ya ndege husika
hii ina maana terehe ikivukwa, mzigo wako umepotea (likely), ni tarehe ambayo ikizidi uko na haki ya kudai refund kama hujaupata
ni mikocheni kwa Dar , ila wanafanya deliveryNimepigiwa simu na jamaa.hiv ofisin kwao kiurahis unafikaje?
Upo dar? Kama ndioNimepigiwa simu na jamaa.hiv ofisin kwao kiurahis unafikaje?
Unatumia nguvu kubwa kusolve tatizo dogo.Hello habari wadau wa jukwaa la teknolojia na wanajamiiforum kwa ujumla.
Kutoka na kasi ya maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia si ajabu tena kwa mtu kufanya manunuzi mitandaoni .
Vivyo hivo hata Tanzania kwa sasa idadi ya watu wanaofanya manunuzi hayo imeongezeka maradufu, hasa masoko ya kutoka Uchina(nduguzetu wa damu).
Zimekuepo njia nyingi zitumikazo kusafirisha mizigo kutoka mataifa hayo (Uchina ikiwemo) kwa mda mrefu sasa .Hivi karibu kampuni ya speedaf ilifungua branch Kenya na kua mkombozi huko kwa huduma yao ya door to door delivery lakini uharaka wa mchakato mzima wa kupata mzigo wako toka siku ya manunuzi ulikua ni wa haraka na kuridhisha
Baada ya ujio wao Tanzania tulifurahi sana na kuamini kua nasi sasa tutaendana na kasi ya wenzetu kwani kampuni ile ile imeingia nchini kwetu kutoa huduma zile zile.
La hasha ,vilio vimeanza kusikika kila kona ya nchi yetu .Mizigo inatoka China vizuri, inafika mpka mkoa mhusika ulipo , maagent wanawakabidhi watu wafanye delivery kwa mteja husika ila kimbembe kinaanzia hapa .
1.Mteja hapokei simu ya wito kwa ajili ya kupokea mzigo wake .
2.Ukifuatilia ofisini speedaf unakuta sometimes mzigo ushasaini kua uliiuchukua ilhali haujauchukua wewe mhusika .Meanz agent wa kuleta anajisainia mwenyewe kua kafanya delivery( Kum make zenu tamaa mbaya). Sasa unapoingia kwa seller kudai refund unakuta seller anaevidence inayoonesha kua mzigo umepokelewa na mhusika alieununua.
Sasa kwa hali hii kweli tutafika .Mnafanya huduma nzuri au makampuni mazuri yasije nchini kwa tamaa ndogo ndogo kabisa .
WADAU KAMA SPEEDAF HAWALETI MAREKEBISHO HARAKA,tuanzeni napema kampeni ya kufosi seller kutokutumia hawa speedaf kwani ni hasara kubwa mno tuipatayo wote mnunuzi na muuzaji. Hapa chini naweka ushahidi wa item nisioipokea ila agent uchawara kasign kua umefika na kapita nao kaenda kuhonga kwa demu wake manina
View attachment 2434527View attachment 2434883
Mzigo wako uliupata?Ni mwendo wa kuwapiga majungu wasepe posta na kina silent ocean au unique wanatutosha
Jifunze kutrack mzigo mwenyewe na kumjua alisign mzigo wako. Mbona rahisi tu.Hawa Speedaf mzigo hata kama ni economy unawahi sana kufika Tanzania, lakini sasa kama wameanza hizi mambo naanza kuwaogopa aisee
mpaka leo hujui jinsi ya kutrack mzigo?Wamekuwa wakikaa na mizigo na hawatoi tarifa yoyote, Wana sign mizigo imepokelewa angali bado muhusika hajapokea Wana ukakasi sana.
duh, em muwe na uungwana , umethibitisha kabisa mzigo umefika ukawa delivered kwa mtu mwingine bado ukadai 'refund' kweli ? sishangai kwanini baadhi ya sellers hawa ship Tz
Tracking number ilikuwa inasoma mzigo umekuwa derivered kwa nani?Kosa ni lipi au hujaelewa hoja item ifike posta kwa mfano mtu wa posta ajifanyie delivered mwenyewe , ukienda unaambiwa item yako haijawahi fika hapa na hawaitambui, ungefanya nini kwa mfano
Hakuna seller atakupa refund kwa mzigo ambao unaonesha tayari upo delivered.Hudai refund - unakaa kimya kuwa umepigwa au utafanya jambo gani?
Hii inanihusu mimi ama umekosea uliemdhamiria kumjibu mkuu 😅Jifunze kutrack mzigo mwenyewe na kumjua alisign mzigo wako. Mbona rahisi tu.
Refund unapewa depending na fault ipo wapi hata kama ulishapokea mzigoHakuna seller atakupa refund kwa mzigo ambao unaonesha tayari upo delivered.
Mimi walinipigia simu a week sasa, lkn hawaja deliver mzigo na simu hapokei!!Hawa Speedaf mzigo hata kama ni economy unawahi sana kufika Tanzania, lakini sasa kama wameanza hizi mambo naanza kuwaogopa aisee