johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sijajua Kwanini anairudia rudia 🐼Huyu ni mara nyingine anatoa kauli za namna hii.
Ataondoka .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua Kwanini anairudia rudia 🐼Huyu ni mara nyingine anatoa kauli za namna hii.
Ataondoka .
Hata leo leo ikibidi amalize vita,aende.Mwambieni maombi yake yamekataliwa kama anavyotaka! Bali yatajibiwa kwa namna ambayo atajutia yale aliyofanya kwa ukubwa uleule
Betina bana.Akishiriki kuaga mwili wa aliyekua Mbunge wa Kigambonio na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Ukanda wa Afrika Dkt. Faustine Ndugulile, leo tarehe 02 Disemba, 2024, Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson amesema:
"Namuomba Mungu kwenye hii safari ambayo kila mmoja ataenda basi mimi anicheleweshe kidogo, kama neno linavyosema ili tukisema nimevipiga vita iwe nimevipiga kweli na Imani nimeilinda"
Soma, Pia: Dkt. Tulia: Dkt. Faustine Ndugulile ametuachia simanzi kubwa
Kabisa kabisa.Huyu ndo spika wa hovyo kuwai kuliongoza Bunge la Tanzania
Ukiwa mtenda mema, uko tayari saa na wakati muumba wako akipenda. Wenye makando kando ndio wanaomba muda wa kumalizia kudhulumu watu ili baadae waombe msamaha.Akishiriki kuaga mwili wa aliyekua Mbunge wa Kigambonio na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Ukanda wa Afrika Dkt. Faustine Ndugulile, leo tarehe 02 Disemba, 2024, Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson amesema:
"Namuomba Mungu kwenye hii safari ambayo kila mmoja ataenda basi mimi anicheleweshe kidogo, kama neno linavyosema ili tukisema nimevipiga vita iwe nimevipiga kweli na Imani nimeilinda"
Soma, Pia: Dkt. Tulia: Dkt. Faustine Ndugulile ametuachia simanzi kubwa
Kwa ujinga anao fanya pale bungeni Mungu ana andaa file lake, soon tuta imba parapandaAkishiriki kuaga mwili wa aliyekua Mbunge wa Kigambonio na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Ukanda wa Afrika Dkt. Faustine Ndugulile, leo tarehe 02 Disemba, 2024, Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson amesema:
"Namuomba Mungu kwenye hii safari ambayo kila mmoja ataenda basi mimi anicheleweshe kidogo, kama neno linavyosema ili tukisema nimevipiga vita iwe nimevipiga kweli na Imani nimeilinda"
Soma, Pia: Dkt. Tulia: Dkt. Faustine Ndugulile ametuachia simanzi kubwa
Duh 🙄 !Wee naue
Wee naye vita gani utavipiga? Vilio vya walio tekwa na kuuliwa ww ulitakiwa uwatetee lakin ulikaa kmya ,ivyo vita na Iman unayolinda labda ya ccm ila sio ya mbingun
Duh 🙄 !Ukiwa mtenda mema, uko tayari saa na wakati muumba wako akipenda. Wenye makando kando ndio wanaomba muda wa kumalizia kudhulumu watu ili baadae waombe msamaha.
Huyu mama Mbinafsi sanaAkishiriki kuaga mwili wa aliyekua Mbunge wa Kigambonio na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Ukanda wa Afrika Dkt. Faustine Ndugulile, leo tarehe 02 Disemba, 2024, Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson amesema:
"Namuomba Mungu kwenye hii safari ambayo kila mmoja ataenda basi mimi anicheleweshe kidogo, kama neno linavyosema ili tukisema nimevipiga vita iwe nimevipiga kweli na Imani nimeilinda"
Soma, Pia: Dkt. Tulia: Dkt. Faustine Ndugulile ametuachia simanzi kubwa
Huyu ana roho mbaya sana akiwahishwa itapendeza zaidi.Akishiriki kuaga mwili wa aliyekua Mbunge wa Kigambonio na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Ukanda wa Afrika Dkt. Faustine Ndugulile, leo tarehe 02 Disemba, 2024, Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson amesema:
"Namuomba Mungu kwenye hii safari ambayo kila mmoja ataenda basi mimi anicheleweshe kidogo, kama neno linavyosema ili tukisema nimevipiga vita iwe nimevipiga kweli na Imani nimeilinda"
Soma, Pia: Dkt. Tulia: Dkt. Faustine Ndugulile ametuachia simanzi kubwa
Amcheleweshe yeye kama naniAkizungumza kwenye hafla ya Kuuaga mwili wa Dr Faustine Ndugulile, Mh Spika wa Bunge la Tanzania, huku akibubujikwa na Machozi, Amemuomba Mungu wake asimchukue mapema kama alivyomchukua Dr Faustine, ameomba aachwe japo kwa Muda.
Bado haijajulikana kama maombi yake hayo muhimu yamejibiwa au La .
Bali kikubwa kinachofahamika ni kwamba MUNGU si Athumani
View attachment 3167645
Toa Maoni yako
😆😆😆😆Amcheleweshe yeye kama nani
Ova