Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati mbaya huo mda wala hautakuwepo tena.Ukiwa mtenda mema, uko tayari saa na wakati muumba wako akipenda. Wenye makando kando ndio wanaomba muda wa kumalizia kudhulumu watu ili baadae waom
be msamaha.
"Ombeni kwa Allah pepo ya Firdaus, kwani hiyo ndiyo pepo iliyo juu zaidi na ni sehemu ya karibu na Arshi ya Allah."Akishiriki kuaga mwili wa aliyekua Mbunge wa Kigambonio na Mkurugenzi Mteule wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Ukanda wa Afrika Dkt. Faustine Ndugulile, leo tarehe 02 Disemba, 2024, Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson amesema:
"Namuomba Mungu kwenye hii safari ambayo kila mmoja ataenda basi mimi anicheleweshe kidogo, kama neno linavyosema ili tukisema nimevipiga vita iwe nimevipiga kweli na Imani nimeilinda"
Soma, Pia: Dkt. Tulia: Dkt. Faustine Ndugulile ametuachia simanzi kubwa
BWANA YESU ONDOA HII KIMBAOMBAOWee naue
Wee naye vita gani utavipiga? Vilio vya walio tekwa na kuuliwa ww ulitakiwa uwatetee lakin ulikaa kmya ,ivyo vita na Iman unayolinda labda ya ccm ila sio ya mbingun