Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wanabodi, kwa kitendo alicho kifanya Job Ndugai , ukweli ni kwamba alichelewa kuandika hiyo barua ya kujiuzulu.
Kilicho Baki sasa ni kwa Rais kusafisha vimelea vyote ili afanye kazi kwa kwa Uhuru.
Lazima wakubali kuwa Rais wa JMT ni Mama SAMIA SULUHU HASSAN.
 
Hakika Mungu daima yupo kazini na machozi ya mnyonge daima upokelewa na Mungu.

Kitendo alicho mfanyia mh Lissu na mh Mbowe ni ukatili wa kiwango cha sgr.
 
Sio muda tunafika page 100 thread inakimbia balaa😀😀😀😀
 
Mifumo ya kipumbavu,kiunyanyasaji pamoja na mifumo ya kukanyaga haki ambayo MaCCM wameitengeneza katika nchi hii imeanza kuwatafuna wao wenyewe.

Walikumbatia upumbavu wa kukataa mihimili kuwa huru na sasa dhambi hiyo inawatafuna wao wenyewe.

Speaker ambae ni mhimili huru kujiuzulu kwa kuikosoa serikali ni utahira wa kiwango cha lami.He is hopeless fool.
 
Mbowe na CHADEMA wanatoka wapi tena huko kwa Katibu Mkuu wa CCM
umemalizieti Kazi iendelee kwa huyu jamaa hafai nenda kachunge naye Jimboni kwake mpaka upepo utulie la sivyo mtatutibua zaidi nyie Sukuma Gang
 
Hakuna cha utabiri wala nini, hii itufanye kung'amua jinsi tulivyo na katiba mbovu
 
Sukuma Gang mmevurugwa,nyie simlisema ndugai ana nguvu kuliko Taasisi kuu, wapuuzi nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…