Mukua
Senior Member
- Sep 30, 2021
- 157
- 203
Wanabodi, kwa kitendo alicho kifanya Job Ndugai , ukweli ni kwamba alichelewa kuandika hiyo barua ya kujiuzulu.
Kilicho Baki sasa ni kwa Rais kusafisha vimelea vyote ili afanye kazi kwa kwa Uhuru.
Lazima wakubali kuwa Rais wa JMT ni Mama SAMIA SULUHU HASSAN.
Kilicho Baki sasa ni kwa Rais kusafisha vimelea vyote ili afanye kazi kwa kwa Uhuru.
Lazima wakubali kuwa Rais wa JMT ni Mama SAMIA SULUHU HASSAN.