Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

[emoji849][emoji2960]
 

Kutuandikia barua kwa herufi kubwa ni dharau kubwa sana... Ni uhaini
Hiyo sio barua, ni tangazo kwa umma
 
COVID-19 ni Wabunge wa Ndugai ambaye leo kaondoka tena bila heshima
Nao pia waondoke kwasababu si wabunge wa JMT bali wa Ndugai

COVID-19 Waondoke na Mteule wao

JokaKuu
 
Hapo nafikiri somo kuhusu umuhimu wa kuwa na katiba mpya ndio linaanza kueleweka sasa kwa wana CCM. Walipoambia katiba ya sasa imempa madaraka makubwa mno, kiasi kwamba ukipingana naye unakwenda na maji walikuwa hawaelewi kabisa.

Sasa ndiyo waelewe, kama "mti mbichi ndio umetemdewa hivi, Je! itakuwaje kwa mti mkavu!?". Shoka limeinuka sasa na tayari kukata kila tawi linalonekana kuwa halifai kwa kigezo cha walioushika mpini wake.

Ole wao wale wote wenye kutamani na kikinyemelea kiti kile kitukufu tuelekeapo mwaka 2025.
 
Mkuu nchi zote RAIS ana mamlaka makubwa, hakuna chini Rais akawa hana madaraka makubwa. Itakuwa haina maana ya yeye kuwa RAIS.
... uko sahihi sana Mkuu; Rais kwa vyovyote ni lazima awe the highest authority. Tatizo linakuja pale mamlaka hayo yanapopindukia ni hatari sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…