Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Hivi katika hili sakata kuna mahala zitto kwabwe kaccoment hata mara moja?
 
Narudia Tena.

Magufuli Asinge Ua Upinzani, 2025 ilikuwa ni wakati sahihi wa Upinzani Kuchukua Nchi.

Bado hawajachelewa wajipange… Katika Historia Ya CCM , Basi CCM hii ndio CCM yenye Mpasuko Mkubwaaaa kuliko ile ya 2025. Yaani Yanayotokea CCM na Yatakayo Tokea Hadi 2025 ni Makubwa Kuliko Haya Ya Ndugai, Subiri Baraza Livunjwe na Mengine Mengi.

CCM hii Iko Vipande Vipande mpaka Mama Atakapo Acha Unzanzibar
 
Nyie endeleeni kushangilia tu wakati Mwenzenu tayari Maisha alishayapati siku nyingi tu. Na huenda ana nyumba Kaperinaumu
 
Acha apotelee mbali kwa uonevu mkubwa aliowah fanya ktk bunge ...malipo Ni hapa hapa dunian
 
Kwanini Spika awasilishe barua ya kujiuzuru kwa katibu mkuu CCM. Je katibu mkuu ndio kiongozi wa juu wa Bunge?
 
Kwanini Spika awasilishe barua ya kujiuzuru kwa katibu mkuu CCM. Je katibu mkuu ndio kiongozi wa juu wa Bunge?
Kwa sababu ni spika kupitia tiketi ya CCM! NI CCM ndio walimhidhinisha kugombea kiti!
 
TUMEKUELEWA NDUGAI

Kusema ukweli aliyekuwa spika wa Bunge la JMT Job Yustino Ndugai ameonesha uwezo mkubwa wa uwajibikaji (accountability). Hii hali kwa Afrika ni jambo gumu sana na hufanyika kwa nadra sana. Ameonesha njia ya kidumisha misingi ya demokrasia, hivyo ni muda wa viongozi wengine kuiga mfano wake.
 
waige wale kwako au polisi, acha hizo!
 
Daah bora katoka tutasahau mambo ya kuitwa kwenye kamati za maadili na kuzarau taasisi zingine..
 
Usinpake mafuta Kwa mgongo was chupa kwenye democrasia no mfano was kuepikwa, kwenye kuijiwajibisha angalau Kwa Sasa nampa30 %
 
TUMEKUELEWA NDUGAI

Kusema ukweli aliyekuwa spika wa Bunge la JMT Job Yustino Ndugai ameonesha uwezo mkubwa wa uwajibikaji (accountability). Hii hali kwa Afrika ni jambo gumu sana na hufanyika kwa nadra sana. Ameonesha njia ya kidumisha misingi ya demokrasia, hivyo ni muda wa viongozi wengine kuiga mfano wake.
 
Job umetuangusha sana usingejiuzulu ungekaa bungeni usile wala kunywa na kulia tuu kuwa ulimi hauna mfupa na una familia ya kulisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…