Poleni sana, yaani huyu jamaa yenu alivyokuwa anajimwambafy mjengoni sikudhani kama angeweza kuwa mdogo kiasi kile kwenye kuomba msamahaKamba hukatikia pabovu!
To HellKamba hukatikia pabovu!
Nyinyi timu Marehemu bana. Aaah.Sisi Team Magu Tumepokea taarifa hii kwa masikitiko makubwa
Hakuna bunge la kishenzi kama la aliyekuwa JoBoSukuma gang ni imagination tu!
Ila nashangaa sana mnashangilia ujinga ambapo sasa bunge hili litakuwa kibogoyo mazima
Acha uongo ndugu hakuna real man anaeomba msamaha huku hajafanya kosaJob is a real man
i really hate him!Yani huyu msenge alishirikiana sana na jiwe kuumiza watu...i hate him.
Afadhari umempa za uso.Hivi kuna mbegu mbaya iliyopandwa nchi hii kama utawala wa magufuli? Muwe mnatumia vichwa vyenu vizuri
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sasa akikutana na huyo mungu wenu magumashi akimuuliza ulimfanya nini Lisu atajibu nini?Nchi hii bana noma Sasa uhuru wake uko wapi hongera mzee heri nusu Shari kuliko Shari kamili wewe ni shujaa umethubutu Mungu atakuvesha hii ni aibu ya dunuani Kwa Mungu uko salama kwani mang'ung'uniko c mazuri ya wanadamu baki na ubunge wako kwani cheo ni dhamana
Nadhani hiyo ndio sababu ya furaha yeti wengi.Sifurahii kujiuzulu kwake kutokana na maoni yake kuhusu mikopo, nafurahi kujiuzulu kwake kwa sababu alihakikisha bunge linakuwa la chama kimoja, na aliongoza bunge vibaya.
Naona ulifurahishwa sana na ukatili aliyofanyiwa Tundu Lisu na huyu mbwa wenu.kitendo cha Muhimili mmoja kuweza kushinikiza mkuu wa Muhimili mwingine kujiuzulu ni hatari kwa nchi.
Ni dalili ya Taifa ambalo limefika mwisho na limekufa.Siyo jambo la kushangilia kwa yeyote yule mwenye akili timamu.View attachment 2071081
Katiba ya nchi inasema hivyo kwa spika anayetaka kujiuzuluSasa unashangaa nini? Hujui fomu Huwa wanachukua kwanza Kwa katibu wao, baadaye wanapigiwa kura huko huko kwenye chama na anayeshinda ndiye anapelekwa bungeni kushindana na wagombea wa vyama vingine/binafsi?
Karni chonjo huyu akishika fimbo ni hatari sanaHuyo kakabidhi mkeka tangu jana labda uniambie anaondoa vyungu VYAKE kwenye nyumba ya bunge.