Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,629
- 2,733
Karma is a Bitch....
What goes around comes around.
What goes around comes around.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweliHata mimi kwa hili nampa pongezi, kwa Afrika mtu kuachia madaraka ni ngumu mno. Waafrika tunapenda sana kuwa na madaraka makubwa na kuabudiwa, ndio maana hata mtu akiwa na nafasi au elimu fulani anatamani kuitwa na nafasi hiyo.
Wenye madaraka waige hili, ukiona haupo sawa na wenzako just waache waendelee coz mawazo yenu na dira zenu ni tofauti.
Ninamlaumu tu kwa kuomba msamaha, terrible and technical mistake.
Nalinda kaburi la boss wanguUmefufuka mkuu?
Usihitimishe hivyo mkuu...huwezi kujua kesho kuna nini.Job ndie speaker wa hovyo kabisa tangu bunge liwepo ameshushaa Sana hadhi ya bunge
Kwahiyo kuna mtu ajiandae kurogwa??woiNdugai ni mume wa Fatuma Mganga.
Kama masikhara hivi Matonya chaliiiiii! Dhambi ya usaliti haijawahi kumuacha mtu salama. Mungu hadhihakiwi.Karma is the bitch. Dhambi ya kumnyanyasa Lisu haitamuacha. Hata akijiuzulu bado mabalaa yatamwandama
Mi pia nawashangaa wanaodai kuwa bunge ni Muhimili huru.Mhimili wa bunge haupo,tangia chini ya Nyerere mpaka leo. Labda siku ikitokea speaker anatoka chama tofauti na chama tawala.
PSafi sana.tusonge mbele.je?Katiba inasemaje?akijiuzulu spika inakuwaje?.tutajua hatujui
#Mboe sio gaidi.
Watoto wamefunga shule wanajua spika ni Ndugai
Wakifungua shule wakute spika mmwingin
Hakika tujiandae Kula kande.Huyu ana siku chache Sana Kabla ya kumfuata Jiwe.
Huu ni uthibitisho na ushahidi kuwa katiba iliyopo haifaMihimili wa bunge umetikiswa na mhimili mwingine...hii si afya kwa nchi.