ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Hata hii katiba mbofumbofu iiyopo haisemi hivyo.... alikoipeleka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hii katiba mbofumbofu iiyopo haisemi hivyo.... alikoipeleka.
Ndio hatutaki tena kumbe ni ras wa makao makuu ya nchi mama fukuza hii familia ya masnichRekebisha hapo tafadhali
Siku hizi Mke wa Ndugai(Dr. Fatma Mganga) sio Ded wa Bahi tena, bali ni RAS(Katibu Tawala wa Mkoa wa Dodoma)
Kwani wewe ESPRESSO COFFEE COFFEE unaelewa nini marehemu magufuli alipomwambia CAG musa Assad kuwa kuna muhimili uliojichimbia chini zaidi??Lakini sisi Watanzania Ni Watu wagumu sana na Tusio Eleweka Nini Tunataka.
Tanzania Kuna Mihimili 3 na Hii Mihimili haingiliani Kwa Mujibu wa Katiba, NDUGAI alikuwa kiongozi wa Muhimili wenye haki kikatiba ya Kumkosoa Rais Popote Pale kama wataona Mambo Hayaendi sawa...
Hamia uarabuni kwa mashetani wenzako utuanchie nchi yetu na asili yetu. Ushetani huo si hapa kwetu.Mke wa ndugai nae apigwe chini atamsnich mama hata kama ni ngazi ndogo ila apigwe chini hatutaki masnichi.
Boss wako alikua muuaji. Mungu ampunguzie adhabu za kaburi huko alipo InshaAllah!!Nalinda kaburi la boss wangu
Aatoroke saa'sita za usikuuu! 🎤🎼🎼🎵🎶🎶Na kama hao unaowaita wahuni wakipewa nafasi utafanyaje?
Utakuwa mtoto wa jobo agweHamia uarabuni kwa mashetani wenzako utuanchie nchi yetu na asili yetu. Ushetani huo si hapa kwetu.
Najua hawawezi kupewa nafasiNa kama hao unaowaita wahuni wakipewa nafasi utafanyaje?
Hapo ni muhimili upi uliojichimbia chini zaidi? Case study ni the late John Pombe magufuli..Mihimili wa bunge umetikiswa na mhimili mwingine...hii si afya kwa nchi.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji2532][emoji122][emoji122][emoji122]Sanaaa!!kwani muhimili wa pili wa utesaji awamu 5, umedondoka tena kipuuzi kweli ila Mungu anatisha sana!!ubabe wote ule chaliiii!!!
Anatakiwa atubu tu Mungu atamsamehe,Ila alikuwa mbabe sanaNa Mungu azidi kumlaani kwani amewanyanyasa sana wapinzani pale mjengoni
Wewe unaumwaHawezi jiuzulu. Huu upepo utapita na ataendelea kuwa speaker hadi 2025.