Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tuangalie ya kusema kwa wakati na cheo/mamlaka uliyonayo. Imemgharimu pakubwa
 
Kufa kufaana,acha na wengine wakaandike historia ya kuukwaa uspika
 
Huu ni uthibitisho na ushahidi kuwa katiba iliyopo haifa

Watu wasijiulize mhimili umetikisaje mwingine, waulize mihimili inafanyaje kazi

Ule mwingine kwani hamuoni unavyofanya madudu na matapu tapu kwa ile kesi maarufu

Ndugai alikuwa mlinzi wa katiba ya 1977 sasa ni mhanga kwasababu haikumlinda kama kiongozi wa mhimili. Aliishi kwa mazoea na ubabe, good riddance
Kaacha joho kaondoka mtupu ! bila heshima yoyote

JokaKuu

..kilichotokea ni sawa na jambazi Sugu akamatwe na kuhukumiwa kwa uonevu faini kwa kosa la barabarani.

..Job Ndugai amefanya madudu mengi ya kuinajisi Ofisi ya Spika na mhimili wa bunge, na alitakiwa aondoke kwa makosa hayo, na sio kwasababu amekosoa serikali ya CCM na mwenyekiti hapendi kukosolewa.

..Kwangu mimi Ndugai kulazimishwa kujiuzulu ni " NON SENSE. "
 
Shinikizo la kutaka Spika ajiuzulu ktk nafasi yake limeshikiwa bango zaidi na wafuasi wa Mbowe/Chadema.

Niwazi kabisa Spika alikuwa mwiba mkali sana kwa ktk kusimamia sheria na kanuni za mbunge na haswa kwa wapinzani ambao walitaka kuleta mchezo.

Sasa leo hii hatuwezi kushangaa kuona genge la Mbowe likishangilia na kupiga mayowe eti Spika ajiuzulu.

Kamwe wana CCM Makini wasikubali kuingia ktk mtego huuu.

Inatosha na Inatosha sana kwa kitendo cha kiungwana alicho kifanya Spika cha kuomba radhi.

Kamwe tusikubali kuendelea kumdhalalisha Spika wetu aliye fanya kazi kwa umahiri mkubwa na kuisaidia nchi yetu.

Ni vyema wana CCM wakawa makini ktk kipindi hiki cha upepo mbaya, wapaswa kuwa watulivu na nidhamu ya hali ya juu.
Mungu Ibariki Tanzania.
Kazi iendeleee kama kawaida.
MKUU NIKIKUITA MPUMBAVU NITAKUWA NIMEKOSEA?
 
Hamia uarabuni kwa mashetani wenzako utuanchie nchi yetu na asili yetu. Ushetani huo si hapa kwetu.
Hajawahi kutokea shetani tena subiani kabisa kama mwendazake. Ile sio haiba ya mwenye kitovu kilichozikwa ardhi ya Tanzania.
 
Baada ya spika job ndugai kuamua kuutema ukuu pale bungeni,hii imeashiria kwamba ndio mwisho wa sukuma gang ndani ya bunge na kwenye serikali Kwan sasa wanaenda kupotea kabisa na hii inaenda kuzalisha kundi kubwa lingine litakaloitwa Samia gang kuanzia ndani ya chama

Wana sukuma gang kwass watakuwa wametulia tuli kama maji ya mtungi Kwan kwasasa watakuwa wazee wa ndiyo tu watake wasitake

Acha tuone Samia gang itakuwa ya namna ipi ni ile ya akina poleple ya kuendesha mavieite au yakina bashiru ya kutotaka cheo lakini mpaka sasa ni mbunge

Nawasilisha!!
 
Back
Top Bottom