Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Kufa kufaana

images (8).jpeg
 
Absolutely! Alikosea sana kuomba radhi, hapo nilimshangaa sana. Ila kitendo cha kujiuzulu kwangu ni kitendo cha kishujaa kabisa. Ni watanzania wangapi wakipishana mawazo na watawala wanachukua maamuzi magumu kama haya ya Ndugai na Lowasa?
Kwani amajiuzuru kwa hiari yake au kwanguvu za chama, hata hiyo taarifa uenda nayeye anaisoma tu humu humu, unacheza na state......lazma first citizen ambaye ni raisi alindwe kwa mbinu zote
 
Nipo na dada tulia hapa tunafanya tafrija fupi maana njia n nyeupe

Tumeusotea Sana huu uspika sema magu alikuwa kikwazo

Sasa mihimil itakuwa hivi

Wazir mkuu mwanamke

SPika mwanamke

Prof Juma anastaafu mwaka huu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Naona kama vile Job ameonewa tu.
Bunge ni muhimili unaojitegemea. Pia Kazi ya Bunge ni kutunga sheria, kukosoa na kuisimamia Serekali. Hivyo Job kuikosoa Serekali ilikuwa haki yake ya Kikatiba.
Wale wote walioko mjengoni hakuna anayejua haki zake kikatiba ndio maana pesa nyingi utumika ili kuingia pale.
 
What goes around comes around..... licha ya yote jamaa anaendwa na hisiakuliko akili...
 
Shinikizo la kutaka Spika ajiuzulu ktk nafasi yake limeshikiwa bango zaidi na wafuasi wa Mbowe/Chadema.

Niwazi kabisa Spika alikuwa mwiba mkali sana kwa ktk kusimamia sheria na kanuni za mbunge na haswa kwa wapinzani ambao walitaka kuleta mchezo.

Sasa leo hii hatuwezi kushangaa kuona genge la Mbowe likishangilia na kupiga mayowe eti Spika ajiuzulu.

Kamwe wana CCM Makini wasikubali kuingia ktk mtego huuu.

Inatosha na Inatosha sana kwa kitendo cha kiungwana alicho kifanya Spika cha kuomba radhi.

Kamwe tusikubali kuendelea kumdhalalisha Spika wetu aliye fanya kazi kwa umahiri mkubwa na kuisaidia nchi yetu.

Ni vyema wana CCM wakawa makini ktk kipindi hiki cha upepo mbaya, wapaswa kuwa watulivu na nidhamu ya hali ya juu.
Mungu Ibariki Tanzania.
Kazi iendeleee kama kawaida.
Ashajiuzulu sasa. Kaandamane sasa
 
Jema si jema lisipo pema!
Ni vyema tukajifunza na kuzingatia maadili ya uongozi tunapo pata fursa ya kuwa viongozi,
Yawezekana Mwamba alikuwa sahii katika hoja yake ya msingi, ila je aliiwakilisha kwa usahii na wakati sahii?
Uhu mtindo wa kukurupuka kwenye vyombo vya habari wakati zipo njia sahii za kikanuni za kufuata na kuwkilisha hoja kabla ya kuzitawanya, hazimpendezi KIONGOZI bora anaye wakilisha mhimili mmoja wapo wa nchi,
Ni vyema angepata ridhaa ya wanataasisi kwa ujumla kuliko kukurupuka kiasi kile, nadhani ilikuwa ni ulevi wa madarakaView attachment 2070823
Siyo ulevi wa madaraka tu. Yule alikuwa tungi. Yaani alikuwa nyagi. Kwa akili za kawaida hawezi fanya aliyoyafanya. Bila kujali uzito wa hoja yake.
 
Kwani amajiuzuru kwa hiari yake au kwanguvu za chama, hata hiyo taarifa uenda nayeye anaisoma tu unacheza na state......lazma first citizen ambaye ni raisi alindwe kwa mbinu zote
Kwamba ameshinikizwa au hapana mimi sijui mkuu, Ila kujiuzulu ni ishara ya ukomavu, popote pale.
 
Back
Top Bottom