Yudasti
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 1,002
- 1,443
Spika kamuandikia barua katibu wa bunge ambaye ni bosi wake na hata wakati wa kumuapisha katibu alimwapisha so Job kafata protocali... hatujaletewa barua humu; kilicholetwa humu ni taarifa kwa umma kwamba Ndugai kaandika barua ya kujiuzulu. Kuhusu kujiuzulu mbele ya Bunge, kama ndivyo sheria inavyosema, hatua ya kwanza ni kuandika barua then "ikikubaliwa" mengine yanafuata ikiwemo kujiuzulu mbele ya Bunge.