Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ndugai asingejiuzulu kama mwenyekiti wa ccm angekuwa mwingine na Rais wa Tanzania angekuwa mwimgine

Ccm sasa ndio muone ukubwa na.nguvu ya mwemyekiti wenu ambaye ni rais

Hamuwezi hata kupumua.hutakiwa mkosoa wala kumpinga wazi wazi hata kama hamkubaliai

Democracy iko hapo sasa

Ccm mpambane saaa hizo kofia zitenganishwe

Matokeo kams haya hupelekea watu kama akina kigwangala wawe waumini wa TUMBO-CRACY and

UGALI- nomics[emoji1787][emoji2]
 
Wenyewe wazee wa fursa, wanaangalia Rais anataka nini, siku Samia akijitokeza akasema hawataki COVID utauona moto wataopelekewa!
Yaani wanaishi maisha ya wale ndege kwerea kwerea
 
Rais mama, spika mtarajiwa mama, waziri wa ulinzi mama, IGP mtarajiwa mama, CDF mtarajiwa mama, waziri wa madini mtarajiwa mama, mkuu wa mkoa wa morogoro mtarajiwa mama, Gavana wa BOT mtarajiwa mama, sasa wamama mkae mkao wa Kula bata
 
Mfungo wa massa 72 Toka kwa mchungaji Gwajima hatimae Mungu amesikia Sala na maombi yake.

Amaleki ndio hivyo Tena. Kaondoka mwenyewe. Keeli Mungu hujibu maombi.
 
Kosa la ndugai liko wapi kwa mjibu wa sheria? Je, ndugai kavunja katiba katika kutoa maoni yake...!

Kosa la ndugai, linapaswa liwe la kichama na si kama anavyosakamwa aachie ngazi!

Kwa katiba ipi na sheria ipi inayodai sipika akitoa maoni yake kuhusu jambo la kiserikali atawajibika/wajibishwa?

Chama ndicho chaweza kumwajibisha ikiwa ziko taratibu za aina hiyo ila si kwa kumvua madaraka ya usipika!

Ngoja litokee hili, Tutajiona mapanzi mbele ya dunia kwa jinsi itavyoonyesha katiba yetu isivyiheshimiwa na kujitoshereza!

Sasa nimeelewa kwamba, Tz katiba yetu ni mbovu kuliko chochote!

Kwa nchi zenye watu wenye kupima ukweli wa jambo kupitia katiba walizonazo, Kusingeeleweka ikiwa sipika anashinikizwa kuachia ngazi kwa jambo ambalo halipo kikatiba

Mh Sipika ni mkuu wa mhimili unaojitegemea, lkn pia ni RAIA wa Tz mwenye Uhuru wa kutoa maoni yake katika jambo lolote lile huku akizingatia sheria za nchi

Niko na Ndugai na hana kosa kisheria na kikatiba
hivi wewe hujui ccm ndio kila kitu? kuna katiba nchi hii? mkiambiwa tunataka katiba mpya mnabambkia kesi za ugaidi, wacha waparulane wenyewe kwa wenyewe, Majaliwa kaa mguu sawa
 
Kama haikuyumba alipokufa Magu basi hilo unalotamani halitokuja kutokea kamwe! Wewe na huyo mwenzio muelewe Sasa Kwa nini wanajiita chama Dola, na hakuna wa kuiyumbisha Dola! Baba yako kaomba msamaha na kujiuzulu juu, anasubiriwa mwingine alete chokochoko
Sasa ni zamu ya Mr. Mafweza yule mnec aliyewezesha na kuratibu uchafuzi mkuu &co.
 
IMG_3294.jpg
 
Back
Top Bottom