Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Kishenge nakumbuka ni mtaa mmoja uko BK.
Hilo bunge la CCM siku hizi hata sifuatilii sijui nini kinaendelea
Hilo bunge la CCM siku hizi hata sifuatilii sijui nini kinaendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo wala si ya kuyazungumzia yanadhani pesa tu inaweza kukupa heshima,,,kumbe vitu vidogo vinakufanya uwe mbuzi flani hivi au lipaka shumeHivi wale UVICO 19 mbona wamepwaya sana?
Kishenge nakumbuka ni mtaa mmoja uko BK.
Hilo bunge la CCM siku hizi hata sifuatilii sijui nini
Bahati mbaya wanaongozwa na mazuzu/ccmDola ya Roman ilipotea duniani
Dola ya Ottomans ilipotea duniani
Ijekua kidola cha CCM !
Kuna vichekesho vya bure mle ndani me lazima nkaongeze siku za kuishiSi mlisema kuwa watanzania wamesusia kuangalia bunge kumbe nyie nyumbu mnalifuatilia bunge kwa uakaribu zaidi[emoji2957][emoji2957][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Wacha Mazuzu WazuzukeWacha Mazuzu wazuzuane.
Mazuzu yakizinguana yazichape basiManyau yakizodoana kwenye shamba la mahindi.
Pole xn Bwana PGOMpwa huna adabu, huwezi kunichekesha kiasi hiki aiseeee, nimevuta picha fulani nikacheka sana
Waendelee kujadili nguvu za kiume.. Sie tuna jipanga kuwaondoa mazuzu bungeni.Spika dhaifu Mh.Ndugai amegeuka kuwa kiongozi wa kambi rasmi ya Upinzani bungeni,,,Hii inatokea pale ambapo Ndugai anasimama kila mara kuziba pengo la wapinzani baada ya kuona Mazuzu yaliyomo bungeni+ yeye hayana uwezo wa kujenga hoja za kulivusha Taifa,,,Tunayakumbusha kwamba wala yasijali tumeshayaachia shamba yale yatakavyo,,,sisi wananchi tunajipambania
Yaani Mungu hupanga mambo yake kwa wakati. Jiwe alipanga bunge lake ili atawale milele. Mungu kamuambia mpumbavu wewe. Leo nataka roho yako.Ila Mungu fundi jamani, dhalim alifikiri ataishi milele kuwatesa wapinzani
Luka 12:20Yaani Mungu hupanga mambo yake kwa wakati. Jiwe alipanga bunge lake ili atawale milele. Mungu kamuambia mpumbavu wewe. Leo nataka roho yako.
Mungu fundiYaani Mungu hupanga mambo yake kwa wakati. Jiwe alipanga bunge lake ili atawale milele. Mungu kamuambia mpumbavu wewe. Leo nataka roho yako.