Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kuongea straight maana wote wale wale.Wanapopishana maslahi ndipo vimaneno maneno utavisikia ila wakichovya wote kwenye chombo cha mema ya nchi hutasikia neno zaidi yakusifia nakusema kila kitu kiko vizuri.
Mbona amenena vema kabisa au ulitaka alopoke na kutukana, au kwamba ulipendelea bunge lake lote likae lijadili hilo swala akat PM wako nae mule na wote ni Kada moja. Linao wahusu watalichukua ikiwa wataona umuhimu wa kufanya hivyo, vinginevyo basi wanayafanya hayo kwa maslahi yao.
Dikteta Hana lakukumbwa hila mabaya yake mengiMatumizi ya tozo.
R.I.P JPM
Na ndio maana kama uliwahi kuona kuna picha yuko ofisini watu wakabeza ofisi kama ya mkuu washule. Rais ni taasisi kubwa ina wasaidizi na ofisi ya Rais bado haijakamilika. JPM alikuwa ana residence temp tu na ndio maana hakuwa moja kwa moja pale. Kikwete aliongelea hili kuwa kulikuwa na mawazo ofisi ya Rais ijengwe mjini ila changamoto ya safari haikuwa nzuri kwa salama. Ujenzi wa ofisi unajengwa ili ofisi ya Rais ihamie na wafanyakazi wote.JPM alikua anafanya kazi kwenye ofisi zipi
😀 😀 Sterling wa movie hatari, kila siku safari kama miguu imelambwa na mbwa vile.Hii nchi ni linii rais naye ataambiwa ukweli?? Naye Dar kilaleo sio mawaziri tuu...
Tangu Ndugai amuone yesu na mkewe Akili kama zimerudi sehemu yake.Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.
Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.
View attachment 1932327
OVER 99% COUNTRIES WORLDWIDES STATE CITIES ZIPO PEMBEZONI MWA BAHARI ZIPO SABABU ZA KIUSALAMA HAPA NA SI BLAH BLAH.Watanzania siyo vilaza kama wewe
Hana time kabisaaNchi ya kisanii hii mama anakula Bata tu Hana habari kazi tunayo
Narudia tena acheni kumhujumu Rais Samia. Ndugai analalamika Mawaziri na Rais Samia kuonekana DSM lakni wakati JPM alipohamia Chato tena kwenye hoteli yake na convoy kubwa ya wasaidizi wake hakulalamikia hiyo expenditure wala Dodoma kuwa jeopardized. Wanafiki na wasaga sumu wakubwa.Mnakosea sana mnapilinganisha awamu ilopita na hii kwa kusema “Eti wakati wa JPM angeyasema hayo”?
Hiyo ni inferiority complex!
Basi muulize pia je wakati wa JK mtu angeyasema hayo?
Watu wenye mawazo kama yako iwapo wakiwa karibu ya Rais mtamfanya aanze kujisikia -inferiority complex kitu ambacho sio kizuri.
Epukeni kabisa hiyo hali ya kujiuliza Eti ingekuwa wakati wa JPM angeyasema hayo? So what?
Madhara ya inferiority complex yanajulikana!
Uongozi si lelemama, unapaswa kuwa na kifua kipana cha kukabiliana na mambo mazito!
Narudia tena acheni kumhujumu Rais Samia. Ndugai analalamika Mawaziri na Rais Samia kuonekana DSM lakni wakati JPM alipohamia Chato tena kwenye hoteli yake na convoy kubwa ya wasaidizi wake hakulalamikia hiyo expenditure wala Dodoma kuwa jeopardized. Wanafiki na wasaga sumu wakubwa.
Kaa chini utafakari ulichoandika
Watanzania watawaonyesha kazi ,wezi wa mali za uma nyinyiNarudia tena acheni kumhujumu Rais Samia. Ndugai analalamika Mawaziri na Rais Samia kuonekana DSM lakni wakati JPM alipohamia Chato tena kwenye hoteli yake na convoy kubwa ya wasaidizi wake hakulalamikia hiyo expenditure wala Dodoma kuwa jeopardized. Wanafiki na wasaga sumu wakubwa.