Spika Ndugai: Asiyetaka tozo ya kizalendo atupe njia mbadala ya kupata fedha

Spika Ndugai: Asiyetaka tozo ya kizalendo atupe njia mbadala ya kupata fedha

Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025

Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.

Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.

Ijumaa kareem?

---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.

Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.

Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;

"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.

Chanzo: Malunde
huyu naye bata kweli.. akameze vidonge huko
 
Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025

Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.

Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.

Ijumaa kareem?

---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.

Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.

Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;

"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.

Chanzo: Malunde
Ni kweli tunahitajika kuwa Wazalendo kwa Taifa letu kwa kulipa kodi.
Vyanzo vipya vya kodi vinaweza kuwa

1.Tozo ya Uzalendo kwenye VIP lounges, matamasha makubwa, viwanjani /mpirani ,Night Clubs & Casinos.

2.Tozo ya uzalendo kwenye Sherehe za Harusi.

3.Tozo ya uzalendo kutoka kwa Taasisi za Dini, Mashirika yasiyo ya Kiserikali NGO.

4.Tozo ya Uzalendo kwenye madini hasa kwa Wachimbaji wadogo wadogo waliwezeshwa.

5.Tozo ya Uzalendo kwenye mishahara na marupurupu ya Wabunge.

6.Kubana matumizi na posho zitolewazo kwa Watumishi wenye mishahara.

7.Tozo ya Uzalendo kwenye Highways kwa wenye kuhitaji kuendesha kwa speed kubwa vigezo na masharti vizingatiwe.

8.Tozo ya Uzalendo kwa wale wote waliosomeshwa na Serikali wakatumia Elimu yao kwa manufaa ya nchi nyingine.

9.Uundwe mfuko maalum kwa Watanzania waliopo nje ya nchi ili waweze kuichsngia nchi yao kama wataona inafaa.

10.Tozo ya Uzalendo kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii.

11.Tozo ya uzalendo kwenye michezo ya kubahatisha /Betting.

12.Tozo ya uzalendo kwa wenye kuvunja sheria za usalama barabarani.

13.Tozo ya Uzalendo kwa Viwanda vya kutrngeneza mvinyo/vileo kwani vinafaidika ilihali wajenga nchi wanakuwa maskini na wengine kupoteza maisha kwa ajali na wengine kushindwa kuhudumia familia sababu ya ulevi.

14.Tozo ya uzalendo kwa Wataalamu wetu wote wa ndani ama kupitia bodi zao za kitaaluma,Bodi za usajili wa makampuni/Viwanda au vyovyote vile ilimradi tu na wao wanapatiwa Kazi za kufanya ili kukuza Uchumi na kuendelea kufundisha wataalamu wengine.
 
Mkuu afadhali umekemea huu upumbavu. Umejaa sana humu jukwaani haswa baada ya kifo cha JPM. Wanavyoombea watu wafe utadhani wao kwa sasa wanaishi mbinguni na duniani kwa wakati mmoja.

Ni aina fulani ya mawazo ambayo ni ya kipuuzi sana.
Hawa jamaa washapoteana mzee, after 2025 ndiyo watafutika mazima. Ukiona kamanda kama Mdee pamoja na damu yote aliyomwaga kwa ajili ya chama lakini anaamua kujiondoa ujue hapo ndani kuna tatizo kubwa
 
Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025

Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.

Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.

Ijumaa kareem?

---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.

Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.

Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;

"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.

Chanzo: Malunde
Inaleta kinyaa kiongozi wako akiwa abaongea haya ile hali yy atumbua tu kodi zetu. Hivi hajui kuwa tozo zitapunguza miamala..? Tutatuma pesa kwa njia za zamani kupitia mabasi kuwalelemea ndugu na jamaa zetu kama zamani
 
Empty head.

83172019-D889-413B-AD5C-B0DC208BC99B.jpeg

Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025


Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.

Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.

Ijumaa kareem?

---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.

Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.

Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;

"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.

Chanzo: Malunde
 
Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025

Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.

Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.

Ijumaa kareem?

---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.

Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.

Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;

"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.

Chanzo: Malunde
Spika Ndugai aelewe kuwa wananchi wana mzigo wa tozo la nduguzake OMBAOMBA mijini, na linavoongeza hili tozo la miamala, mzigo unazidi kua mkubwa!
 
Kun
Mkuu afadhali umekemea huu upumbavu. Umejaa sana humu jukwaani haswa baada ya kifo cha JPM. Wanavyoombea watu wafe utadhani wao kwa sasa wanaishi mbinguni na duniani kwa wakati mmoja.

Ni aina fulani ya mawazo ambayo ni ya kipuuzi sana.
Mkuu afadhali umekemea huu upumbavu. Umejaa sana humu jukwaani haswa baada ya kifo cha JPM. Wanavyoombea watu wafe utadhani wao kwa sasa wanaishi mbinguni na duniani kwa wakati mmoja.

Ni aina fulani ya mawazo ambayo ni ya kipuuzi s7ana.
Kuna mwana jamii forum mmoja alikuwa akishabikia sana vifo kwa wenzie kwa uzi wa kijeuri ameondoka kwa resperatory failure complications. Waacheni tu wajigambe. Hakuna bingwa wa kifo
 
Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025

Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.

Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.

Ijumaa kareem?

---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.

Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.

Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;

"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.

Chanzo: Malunde
Naona uwezo wa kufikiri umefika mwisho, hebu tuwasaidie kidogo, tukilipia kadi za nida kwa elfu 20 tu, hazina itapata 1000bn mara mbili ya fedha tunazotegemea kukamua miamala, tukibadili kadi za machinga zikawa za kieletronic na zikatozwa elfu 50, tutapata 800bn+.

Tukishirikiana na sekta binafsi kuendesha shule za primary na sekondari serikali itajitua mzigo wa 600bn kwa kuzipa ruzuku kidogo nazo zikapunguza ada serikali itapumua kukimbizana na madawati na madarasa.

Tuki ubinafsisha mradi wa uda kwa shabiby serikali itajitua mzigo wa 400bn wa kukimbizana na mayutong yenye gearbox mbovu, tukiwakopesha magari wakuu wa mikoa wilaya na wakurugenzi kama wanavyopewa wabunge tutajitua mzigo wa 600bn, tukipunguza idadi ya wabunge kutoka 360+ wa sasa hadi wabunge 90+ tutajitua mzigo wa 300bn, tukimuuzia Diamond ile ndege ya rais G550 ambayo sijawahi mwona rais akiitumia kwani "hapa kazi tu" ndio anavinjari nayo maza. Kwa maana nyingine sio lazima tuongeze kodi tunaweza punguza matumizi ili ile kodi kidogo itosheleze mahitaji.
 
WaTanzania what is going on,is a full scale government psy-op,,mmepewa Tozo,Mbowe na sasa Habari Za taharuki ya covid ,these things are related!!!keep your eyes on the prize...
 
muda mwingine neno huwa tusi kutegemea ulivyolitamka, hivi wangesema hizi tozo ni chagizo la ujenzi wa bwawa la nyerere na wakaanzisha kipindi maalumu kwenye tv tukawa tunaona ujenzi unavyoendelea sote tungekubaliana nalo, mbona tunatozwa railway development levy wakati tunapoingiza magari nchini na hatulalamiki, ni kwasababu tunaona SGR ikijengwa. Tanesco tunaponunua umeme tunatozwa ada ya REA nakweli tunaona nyumba za nyasi zikiwekewa umeme mbona hatulalamiki.
 
Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025

Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.

Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.

Ijumaa kareem?

---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.

Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.

Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;

"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.

Chanzo: Malunde
Kwakuwa kuna ushabiki wa kipumbavu linapotokea suala lolote iwe kisiasa, iwe mambo ya haki za kikatiba au za kisheria, iwe masuala ya utawala bora na utawala wa kisheria. Hivyo hakuna atakayekuwa na ubavu wa kupinga kile ambacho kimeshapitishwa na bunge la CCM, nami pia kama raia mwema kwa moyo mkunjufu kabisa nasema hongera wabunge kwa ubunifu kwani taifa linahitaji pesa nyingi sana ili wafanye yale waonayo ni muhimu na wafikirie zaidi bado kuna maeneo mengi ya kuongeza tozo au kodi whatever the fvck the difference is ili wazidi kukusanya pesa mpaka tufanikiwe kuvuka kutoka uchumi wa kati mpaka uchumi wa juu.
Nchi huendeshwa kwa kodi/tozo[emoji1][emoji1]
Viva Jobu nntu ya dili.
 
Back
Top Bottom