Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Nchi ya Kusadikika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora kufa kuliko kuishi kama digidigi.
Watapiga nduru haooo,haiatwezekana kabisa ni sawasawa na kumkonyeza rais.wakifanyiwa hvi sawa na kumshika njeree makalio
Ni hivi, wafe tu wapuuzi kama dogo jobu amfuate dikteta hayawani ila tozo liko pale pale na ninaliunga mkono.Mkuu afadhali umekemea huu upumbavu. Umejaa sana humu jukwaani haswa baada ya kifo cha JPM. Wanavyoombea watu wafe utadhani wao kwa sasa wanaishi mbinguni na duniani kwa wakati mmoja.
Ni aina fulani ya mawazo ambayo ni ya kipuuzi sana.
Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;
"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo
Leadership ya Kikwere🤣Kwa hiyo kumbe lile agizo la Rais hiyo tozo iangaliwe upya ilikuwa ni usanii? ndio maana mpaka leo kimya.
India wenyewe na Corona yao wanatafuta pakukimbilia huyu ataishia pale MNH au BMH hapo Dodoma Mungu ni mwema siku hizi tupo sawa mwenye uwezo asiyekuwa na uwezo wote tunakutana viwanja vya nyumbani leo utasikia huyu Regency huyu Muhimbili huyu Hindu Mandal alimradi hakuna anayetoka nje ya mpaka.Anachukua kwenye miamala ili ziwe zinamsaidia India.Huku maskini wanakwenda na dumu la maji hospitalini.
Mshahara wako mwenyewe hukatai Kodi. Tutapata pesa kutokana na Kodi za mishahara ya wabunge.tuanzie hapoSpika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025
Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.
Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.
Ijumaa kareem?
---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.
Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.
Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;
"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.
Chanzo: Malunde
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watapiga nduru haooo,haiatwezekana kabisa ni sawasawa na kumkonyeza rais.
Exactly.watu hawaamini bado kama tupo capitalism, survival for the fittest
Watanzania wote tunalipa.kodi, ukinunua pipi unalipa Kodi nguo unalipa Kodi, watafute Mbinu nzuri ya kusanya Kodi, hata huko kwenye miamala wanakata Kodi mbili, asilimia 18 na Kodi ya uzalendo ambayo inaenda sambamba na faida ya mtoa huduma au mbunifuKuna makundi mengi ya Watanzania hayalipi kodi..
Kuna mdau The Boss alishayaweka humu kwa urefu kabisa
Ukiwa mdhalimu na mnyang'anyi lazima uombewe kifo ili usilete madhara zaidi, na bahati nzuri maombi yao yanajibiwa positively!Mkuu afadhali umekemea huu upumbavu. Umejaa sana humu jukwaani haswa baada ya kifo cha JPM. Wanavyoombea watu wafe utadhani wao kwa sasa wanaishi mbinguni na duniani kwa wakati mmoja.
Ni aina fulani ya mawazo ambayo ni ya kipuuzi sana.
We ishia hapo hapoWatanzania wote tunalipa.kodi, ukinunua pipi unalipa Kodi nguo unalipa Kodi, watafute Mbinu nzuri ya kusanya Kodi, hata huko kwenye miamala wanakata Kodi mbili, asilimia 18 na Kodi ya uzalendo ambayo inaenda sambamba na faida ya mtoa huduma au mbunifu