Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani huyo Gibril angekuwa na fikra funza kama zako angekuwa ashakuondosha wewe kwanzaHuyu Pimbi mfupi mi msumbufu sana ila Gibril hayupo mbali kiviiiile
Hiyo haitafutwa kamwe, hapo mnapigwa geresha muizoee then watawajia na hadithi nyingine, wako hatua kadhaa mbele yenu.Huyo atakuwa hajitambui kidogo!!, sasa atuambie baada ya 2025, kodi hiyo itasitishwa??!!---- yaani Bunge litapelekewa Muswada wa kufuta hiyo kodi???
Wazo jemaa KABISA kuchangia nchi yangu na maendeleo yake
wakati muafaka Kama wananchi tusikomae tu iondoelewr
TUTOE ushauri nn kifanyike seerikali iendelee kupata pesa za KUFANYA maendeleo ya NCHI yetu
nimeona dini zilizoea Kupitisha.mizigo bila Kodi leohii zinalipa...
Hili la wabunge kulipa.kodi.nalo n wazo jemaa pia na ikiwezekana kuwe na punguzo ktk posho wanazopata KUSAIDIA kuendeleza maendeleo ya NCHI yetu
kingine serkl ingekaa wakubaliane kiasi KIDOGo kaama n 200 ama 500 kilamhamala si mbaya huku kampuni zikiendelea kulipa kodizao kama kawaida....mwananchi atajisikia amechangia nchi yake..
kuwe na costant amount ushauri 200-500 KIla.mhamala SI.mbaya isiangalie kiasi anachotuma mtu...
nawatakia mjadala mwema nikisubiri wabunge nao wapewe hiihoja kujadili MBADALA wa hii tozo
kulipa mtalipa nchi iendee tuombee majadiliano mema
Mungu ibariki Tanzania
#VAAABARAKOA
#NAWAMIKONO
#COVID
#INAUA
Weka mawasiliano ya mtu wa kkupewa hizo taarifa.Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025
Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.
Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.
Ijumaa kareem?
---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.
Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.
Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;
"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.
Chanzo: Malunde
Hahaahahahhaa nimecheka sana yani😅😅😅Huyu Pimbi mfupi mi msumbufu sana ila Gibril hayupo mbali kiviiiile
[emoji16][emoji16][emoji16]Huyu Pimbi mfupi mi msumbufu sana ila Gibril hayupo mbali kiviiiile
Laki ya nini,madakitari na walimu wanalipwa hiyo posho?Wabunge wapewe salary ya M 3,na posho iwe laki
Fungu lingine lote liende kwa maendeleo
Huyu mzee ni mpumbavu sana.Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025
Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.
Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.
Ijumaa kareem?
---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.
Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.
Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;
"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.
Chanzo: Malunde
Mkuu afadhali umekemea huu upumbavu. Umejaa sana humu jukwaani haswa baada ya kifo cha JPM. Wanavyoombea watu wafe utadhani wao kwa sasa wanaishi mbinguni na duniani kwa wakati mmoja.
Ni aina fulani ya mawazo ambayo ni ya kipuuzi sana.
Nilitegemea hili wazo la Slaa litolewe na akina Msigwa kipindi wapo bungeni!!!😂😂😂😂 ndoto za alinacha hizi. Halafu acha kupotosha ukweli Mzee Mdee hakujiondoa bali ALIFUKUZWA. Jerry Slaa: Sasa Wabunge tuanze kukatwa kodi kwenye Mishahara yetu