Spika Ndugai: Asiyetaka tozo ya kizalendo atupe njia mbadala ya kupata fedha

Spika Ndugai: Asiyetaka tozo ya kizalendo atupe njia mbadala ya kupata fedha

Nchi imeshaharibika. Kitendo cha kuruhusu biashara ya mkononi na kwenye meza ndo kifo cha kodi Tz. Nchi zilizoendelea hata karanga zinafungwa kwenye mfuko na kuwekwa barcode. ushuru unakuwa mdogo kiasi kwamba mfanyabiashara haumii lakini kila mfanya biashara analipa kodi. Sasa uongozi wetu umeona fahari kuruhusu biashara ziendeshwe kwa mtindo wa kuagiza mzigo wa kichina na kuwakabidhi machinga, sahau mapato ya serikali. Vijana badala ya kutumika kufanya kazi za uzalishaji wanafanya kazi ya kusaidia kuchepusha kodi na serikali imebariki.
Wasipokuelewa hapa hawatakuelewa tena.
 
Inaçhekesha na kukera sana! Yaani mtu asiyelipa kodi ndo anakuja na wazo la kodi ya uzalendo!! Waxiolopa kodi wote siyo wazalendo wala tusidanganyane!! Yesu alilipa kodi, kwa hiyo hakuna sababu ya mtu yeyote kutokulipa kodi! Awe padri, mchungaji, askofu, mufti, Rais, askofu, mbunge, waziri nk lazima alipe kodi.0
 
Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025

Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.

Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.

Ijumaa kareem?

---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.

Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.

Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;

"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.

Chanzo: Malunde
Wabunge wenye kipato cha uhakika kila mmoja akatwe sh 2,000,000/= kwa mwezi,tutapata pesa nzuri tu
 
Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025

Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.

Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.

Ijumaa kareem?

---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.

Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.

Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;

"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.

Chanzo: Malunde
Uwezo wa kufikiri ndiyo umefikia peak, hawezi kufikiri zaidi ya hicho alichosema
 
Nchi imeshaharibika. Kitendo cha kuruhusu biashara ya mkononi na kwenye meza ndo kifo cha kodi Tz. Nchi zilizoendelea hata karanga zinafungwa kwenye mfuko na kuwekwa barcode. ushuru unakuwa mdogo kiasi kwamba mfanyabiashara haumii lakini kila mfanya biashara analipa kodi. Sasa uongozi wetu umeona fahari kuruhusu biashara ziendeshwe kwa mtindo wa kuagiza mzigo wa kichina na kuwakabidhi machinga, sahau mapato ya serikali. Vijana badala ya kutumika kufanya kazi za uzalishaji wanafanya kazi ya kusaidia kuchepusha kodi na serikali imebariki.
Wenyewe wanakuambia wapiga kura wetu. Kuna wamachinga anaingiza zaidi ya milioni 2 ila halipi kodi.Nchi Ina walipaji kodi wachache Sana kwa ajili ya siasa zetu za kipuuzi.
 
Hivi Ndugai anaisemea serikali au ana wasemea Wagogo wenzake wa Kongwa?
Huyu jamaa ni zero kabisa.
Wabunge wana takiwa kuwasemea wananchi na sio kuisemea serikali.
Sasa naamini Ndugai ana faili Mirembe.
 
kwanza acheni kununua magari ya kifahari, punguzeni posha ya Tshs 300,000.00 kwa siku kwa wabunge, mna wachumi kwa nini kabla ya kupitisha hizo tozo msiwaulize wananchi mnauliza sasa? huo ni ujinga mkubwa na ulevi wa madaraka
Kateni posho za vikao vya Bunge(Sitting allowances) na mishahara ya wabunge,wawalazimishe kampuni za simu wapeleke serikalini mabaki ya dakika,SMS na bando ambazo hazijatumika na wateja baada ya kujirusha na viongozi wote wa serikali walipe kodi kuanzia Rais mwenyewe.
Serikali iache kutumia magari ya kifahari na waote wapewe Noah/Prado,SUZUKI/MARUTI au RAV 4 ili kuokoa fedha.
Pia tuondoe ma-RC&DC's maana hawana kazi yoyote ya kuinua uchumi.
Mawazo mbadala ya kuinua kipato cha serikali ni mengi ila viongozi wanafikiri wao tu ndiyo wenye mawazo mazuri.
Ndugai yupo tayari kupewa ushauri?Kulikuwa na ulazima wa kuweka tozo kubwa kiasi hicho?Nani kawaambia kuwa turning point I we 2025?Sisi wengine tunadhani hizo tozo ni matokeo ya hofu yao kuwa miradi hiyo isipokamilika 2025 CCM inaenda kukosa kura?
 
You nail it....wajinga hawataelewa🙌🙌👏👏
Nchi imeshaharibika. Kitendo cha kuruhusu biashara ya mkononi na kwenye meza ndo kifo cha kodi Tz. Nchi zilizoendelea hata karanga zinafungwa kwenye mfuko na kuwekwa barcode. ushuru unakuwa mdogo kiasi kwamba mfanyabiashara haumii lakini kila mfanya biashara analipa kodi. Sasa uongozi wetu umeona fahari kuruhusu biashara ziendeshwe kwa mtindo wa kuagiza mzigo wa kichina na kuwakabidhi machinga, sahau mapato ya serikali. Vijana badala ya kutumika kufanya kazi za uzalishaji wanafanya kazi ya kusaidia kuchepusha kodi na serikali imebariki.
 
Utakuta mwalimu mwenye mshahara wa laki 3 anakatwa Kodi ila machinga hawalipi
Wenyewe wanakuambia wapiga kura wetu. Kuna wamachinga anaingiza zaidi ya milioni 2 ila halipi kodi.Nchi Ina walipaji kodi wachache Sana kwa ajili ya siasa zetu za kipuuzi.
 
Uzalendo siyo kuvaa skafu za kijani na kuandika majina yako kwenye mawe nchi nzima. Tuonyeshe huyo first clasa yako unaimudu vipi kusaidia vyanzo vya mapato.
Vijana mnawaambia wajiajiri na watumie elimu zao kujenga nchi wkt wewe na mfirst class wako umezusha taaruki kubwa.
 
Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025

Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.

Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.

Ijumaa kareem?

---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.

Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.

Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;

"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.

Chanzo: Malunde
Huyu kibushuti apuuzwe tu ana faili Mirembe
 
Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025

Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.

Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.

Ijumaa kareem?

---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.

Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.

Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;

"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.

Chanzo: Malunde
Sasa hayo mawazo mbadala si yalitakiwa yachagizwe bungeni na wabunge wenye akili?
Ninyi wa sisiem hapo ndio mwisho wenu wa kufikiri.
Wale wenye uwezo wa kufikiri mlikula njama za kuwaengua kwa hila halafu sasa mnaomba mawazo yao.
Achieni bunge upinzani ulichukue halafu uone maendeleo ya watu bila kuwapora fedha zao kinguvu kwa kivuli cha mshikamano.
 
Auwezi kutengeneza lindude lisilo na maana halafu utuambie kama atulitaki utuletee mbadala, hilo dude liuwe tu alina mbadala, linavunja sheria uwezi ingia mifukoni mwa watu uchukue fedha zao bila kujuwa wamepata wapi!
 
Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025

Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.

Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.

Ijumaa kareem?

---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.

Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.

Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;

"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.

Chanzo: Malunde
Kama yeye na vyanzo vyote vya Habari na kuwepo Bungeni kwa muda mrefu hajui, basi tutakuwa na tatizo kubwa la kiuongozi.
Na anakuwa sio msaidizi mzuri kwa Raisi.
 
Back
Top Bottom