Spika Ndugai: Asiyetaka tozo ya kizalendo atupe njia mbadala ya kupata fedha

Spika Ndugai: Asiyetaka tozo ya kizalendo atupe njia mbadala ya kupata fedha

Tatizo nyie manawaza watu wafe tu hivi nyie mna mkataba na mungu?
Na nyie kwa roho zenu za kinyama na kigaidi kwa nini msife?
Kutofautiana kimawazo ni kutafuta njia mbadala na sio kuwazia watu wafe.
Nyie mna faida gani kwenye hili taifa?

Tuonyeshe ni mtu gani wa upinzani anaeongoza kuchangia kodi kubwa hapa tanzania?

Bosi wenu mbowe mwenyewe ni mkwepa kodi,
Kodi ta miamala hakuna anayeipenda na kila mtu ametoa maoni yake kwa ustarabu na jambo liatashughulukiwa na tuataka wafanye haraka na sio kuchelewa na ikiwezekana wazuie huu utaratibu kuanzia sasa.

Lakini sio kuombeana vifo,
Kuombeana vifo ni uzwazwa na ugaidi.
Mkwepa kodi mkubwa ni Mwigulu

IMG_20210723_083919.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
..Magufuli aliumiza watu na ndio maana wako baadhi ya wachangiaji hapa JF wamevunja mwiko wa Watz na kushangilia kifo chake.

..Natumaini tunachokishuhudia hapa kitakuwa funzo kwa viongozi wa sasa na wajao.

..Uongozi ni pamoja na kuheshimu UTU wa wale unawaongoza. Kiongozi hapaswi kuwa na CHUKI au VISASI haswa anapokuwa na madaraka ya kidola kama Raisi wa Tanzania.

..Sifurahishwi na hawa wanaochekelea kifo cha Magufuli. Natamani wakome muenendo huo. Lakini pia naelewa kwanini wamefikia hatua hiyo.
Umeongea kwa busara sana sana, Mungu akusaidie uendelee kuwa na busara hii hii
 
Ukiwa mdhalimu na mnyang'anyi lazima uombewe kifo ili usilete madhara zaidi, na bahati nzuri maombi yao yanajibiwa positively!
Ukiombewa wewe kifo na dua ikasikika tambua kuwa maisha yataendelea kama kawaida.
 
..Magufuli aliumiza watu na ndio maana wako baadhi ya wachangiaji hapa JF wamevunja mwiko wa Watz na kushangilia kifo chake.

..Natumaini tunachokishuhudia hapa kitakuwa funzo kwa viongozi wa sasa na wajao.

..Uongozi ni pamoja na kuheshimu UTU wa wale unawaongoza. Kiongozi hapaswi kuwa na CHUKI au VISASI haswa anapokuwa na madaraka ya kidola kama Raisi wa Tanzania.

..Sifurahishwi na hawa wanaochekelea kifo cha Magufuli. Natamani wakome muenendo huo. Lakini pia naelewa kwanini wamefikia hatua hiyo.
Maisha yanaendelea kama kawaida. Mwenye kujiamini haogopi kufanya anachokiamini eti kwa sababu kifo kipo.

Anakufa imamu, anakufa Papa, anakufa mzee anayeheshimiwa na jamii!.

Cha muhimu hapa duniani tuheshimiane tusitake kupandana juu ya vichwa. Mtu asitake ku-blackmail ufanisi wa mtu eti kwa kitisho cha kifo!.

Maisha yote kwa ujumla wake ni neema tu.
 
Ila ebu msikieni huyu MZALENDO wa Ughaibuni..
 
Huyo mpuuzi bora akae kimya asubiri zanu yake aende zake.....hana jioya kwa Taifa.....puuzi tu sawa na pa kutolea ushuzi
 
Kwa kauli hii maana yake bunge limeshindwa kuishauri serikali inabidi sisi wananchi tuingilie kati! Shame, very shame!!!
Wakwepa kodi waliojijazia mishahara na marupurupu wanashindwa kazi wanataka kusaidiwa,hawawezi kufanya utafiti? Wenzao nchi jirani petrol bei chini,sukari chini,gharama za simu nafuu na wabunge wanalipa kodi.... Jinga sana
MTU anakwambia kuna sheria ilipita anahisi alilala huyo ni kiongozi gani? Wanatunga masheria ya ujinga Leo ukiuza mirungi unafungwa miaka 30 alafu Kenya wanapiga mihela kibao kwa kuexport iyokitu na wanamaakili mazuri hats kutuzidi.
Walipaswa kutenga madawa hatari zaidi na ya kati! Bangi nisawa na unga?? Ujinga gani huu,atakuja sema iyosheria ikipitishwa alikua kaenda kunya huyu!!!!
1) wao wabunge waanze kulipa kodi
2) serikali ipunguze gharama za magari etc
3) Mali kadhaa za ccm zirudi serikalini na ziendelezwe vyema
4) kodi ya majaazi isimamiwe vyema,kimaeneo na kimatumizi! Mfano karemu ka biashara mjini kati ni 600,000/- serikali inapata ngapi?
5) kampuni za bima,betting, vileo kodi iongezeke zakimataifa zidhibitiwe.
6) madini hayajasimamiwa vyema.
7) wasanii wakubwa wapigwe vyema kodi kuendana na vipato sio wanakufuru na mihela.
8) matajiri wakubwa wafatiliwe makusudi ulipaji wao wakodi,tunawaskia wakihojiwa wanaficha biashara zao huku wanachezea fedha.
9)kodi yakimya ipigwe kwenye baadhi ya program mtandaoni mfano Instagram,youtube, tik tok hawataki wafungiwe
10)
 
Spika mjinga kuwahi kutokea hapa Tz

Ilo bunge lililopitisha hayo mashudu ni bunge lenye chama kimoja tu tena cha mafisi
 
Watanzania wote tunalipa.kodi, ukinunua pipi unalipa Kodi nguo unalipa Kodi, watafute Mbinu nzuri ya kusanya Kodi, hata huko kwenye miamala wanakata Kodi mbili, asilimia 18 na Kodi ya uzalendo ambayo inaenda sambamba na faida ya mtoa huduma au mbunifu
Bado ten percent kila mwisho wa mwezi kwenye total commission.
 
Maisha yanaendelea kama kawaida. Mwenye kujiamini haogopi kufanya anachokiamini eti kwa sababu kifo kipo.

Anakufa imamu, anakufa Papa, anakufa mzee anayeheshimiwa na jamii!.

Cha muhimu hapa duniani tuheshimiane tusitake kupandana juu ya vichwa. Mtu asitake ku-blackmail ufanisi wa mtu eti kwa kitisho cha kifo!.

Maisha yote kwa ujumla wake ni neema tu.

..Yote uliyosema nayakubali kwa 100%.

..Duniani kote vifo vya MADIKTETA vina washangiliaji.
 
Spika Ndugai amesema wabunge wameshapitisha tozo ya kizalendo kwenye miamala ya simu na sasa ni sheria hivyo asiyeitaka atupe njia mbadala ya kutufikisha 2025

Roho wa Bwana akamshukia mtumishi wake Jerry Slaa mbunge wa Ukonga naye akajibu; Wabunge tuanze kulipa kodi.

Labda kama Spika ana swali lingine....lakini sidhani.

Ijumaa kareem?

---
Baada ya mijadala mingi kuhusiana na tozo ya miamala ya simu hususani kwenye mitandao ya kijamii ,Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai ameibuka na kudai kuwa tozo hizo ni halali na kwamba fedha hizo zitachagiza masuala ya maendeleo ikiwemo huduma za kijamii kama vile shule,hospitali na maji.

Hatua hiyo imekuja kufuatia baadhi ya wananchi kulalamika kwamba kumekuwa na tozo kubwa katika miamala ya simu huku akipigilia msumari kwenye tozo hizo kwa kudai kuwa Bunge ndio limepitisha na kwamba wanaopinga wanatakiwa kutoa mawazo mbadala nini kifanyike huku akisisitiza lengo ni ifikapo 2025 Tanzania iwe Taifa tofauti katika suala la Maendeleo.

Akizungumza mapema leo Julai 23,2021,katika kikao kazi kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Anthony Mtaka,Spika Ndugai amesema "Sisi kama Bunge tulikaa kwa pamoja na kujadiliana kisha tukaamua kuwa na tozo katika miamala ya simu kwa sababu fedha zitakazopatikana zitaenda katika mfuko Maalum ambao utawasaidia wananchi,"amesema na kuongeza;

"Tumepitisha na tukatunga sheria , tunataka kuliona hilo,sasa wewe ambaye unapinga tupe njia mbadala tutapata wapi fedha, tunafikaje 2025, kwa hiyo maamuzi ni hayo tumeyafanya, kwa nia njema kabisa kwamba 2025 tuwe tumetoka, tuwe ni taifa la Tanzania ambalo ni tofaut,CCM hoyee,nimemaliza,"amesema Spika huyo.

Chanzo: Malunde
ALIPE lile deni na kodi zetu alizozitumia ngambo kujitibu na mshahara wake na posho zikatwe kodi hiyo ndo njia mbadala
 
Huyu Pimbi mfupi mi msumbufu sana ila Gibril hayupo mbali kiviiiile
Siandiki kumtetea Ndugai, ila nakuuliza Je wewe unajua umbali wa huyo Gibril na wewe? Nadhani maeneo mengine tungepitaga mbali tu!
 
Hiyo haitafutwa kamwe, hapo mnapigwa geresha muizoee then watawajia na hadithi nyingine, wako hatua kadhaa mbele yenu.
Hiyo wameshamaliza na sasa wanapiga hesabu za mbele kupata vyanzo vingine, mtafinywa sana tu.
Hakuna kuzoea kuibiwa.. watu tunatafuta namna ya kuminimize hiyo miamala na hatimaye kuacha kabisa.
Impact kubwa ipo kibiashara, mawakala washaanza kulia njaa wateja hakuna.
 
Back
Top Bottom